Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Safir kw muda kapunzik huko na enjoy life then rudi endelea na Maisha. Haki nakuambia hayo usemayo wanapitia wanaume wengi mno ila tu hawana pa kusemea.

Kila mwanaume anazo sababu ambazo hufany amkasirikie mke wake baadh ni

Uongo
Uchafu
Umbea
Mapish
Wivu wa kijinga
Kuigiza maisha
Mke kutorifhik
Uchoyo
Kutokuwa msikivu
Nk

Haya ni baadh ya mambo ambay yanafany mme kukasirik hasa ikiwa mke hajirekebish.
 
Una madai ya kijinga, unataka akufulie nguo wewe huna mikono, eti akutengee maji wewe ni kiwete, acha uvivu tafuta hela, bila haya wataka ufuliwe maji yako ya kuoga hutaki kubeba mpaka umtese mkeo hujui ulezi ni kazi?
Acha uvivu aisee
Mmmmh kuna vitu vinamata kwa mstakabari wa mahaba, yaani viko kama kachumbari kunako pilau.
 
Huyo mpe psychological tocha, fanya hivi Kama umeshamuonya Mara kibao hasikii.! Nguo zako peleka dry cleaner Kama hazifui ongea pale ambapo Kuna ulazima ...Kama anaona uvivu kukujibu hizo Ni dharau ..... Simu yako ipige password mpya na kamwe usiruhusu mwanamke ashike sim yako Kuwa Mwanaume usikae kizembe Mwanamke usikae nae kimazoea .

Sent using Jamii Forums mobile app
Loh eti kamwe..
Yaan sim ya mme wangu nisiishike kwann?? Afu utakua una mfume dume ww.
 
Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,

Mwaka Jana mwishoni nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:

Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu

Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa

Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua

Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe

Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.

Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO

NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA

NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI

USHAURI WENU PLEASE....
Zungumza na mke wako, kama unafanya wajibu wako mweleze kwamba nae anapaswa kufanya wajibu wake kama mke

Mweleze aina ya maisha ambayo unapenda muishi kama wanandoa ikiwa ji pamoja na usafi, kuaminiana, kuwa mkweli na muwazi na kujua nafasi yake kama mke ndani ya nyumba, ikiwezekana mpe muda na umweleze kama atashindwa kubadilika wewe hutaweza kuishi maisha ya namna hiyo

Cha msingi tafuta namna nzuro ya kuzungumza nae pasipo kuumiza hisia zake na umpe muda maana tabia zingine katika mahusiano zinahitaji muda na uvumilivu na inawezekana mazingira aliyotoka ayanachangia tabia hiyo
 
Jamani maana ya kuandaliwa maji ya kuoga sio lazima kuwekewa ndoo bafuni, (au hujui kuwa hata kwa running water mtu huandaliwa?), hata kukaribishwa tu ile mume wangu karibu kuoga hapo ashaandaliwa bukta au kikoi/msuli wa kuvaa baada ya kuoga.

Babu na baba zetu walifaidi sana wallah
Ahsante kwa kunisaidiaa
 
Una madai ya kijinga, unataka akufulie nguo wewe huna mikono, eti akutengee maji wewe ni kiwete, acha uvivu tafuta hela, bila haya wataka ufuliwe maji yako ya kuoga hutaki kubeba mpaka umtese mkeo hujui ulezi ni kazi?
Acha uvivu aisee
Wewe taratibu bana,
 
Mimi kufua nguo eti heshima ni ujinga huo aisee, nunua machine ya kufua uanaume haupimwi kwa kugeuza mwanamke wako cheap labor
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,

Mwaka Jana mwishoni nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:

Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu

Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa

Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua

Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe

Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.

Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO

NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA

NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI

USHAURI WENU PLEASE....
Hayo mengine sawa lakini hilo la kutengewa maji labda anza kujiuliza mwenyewe kwa nini unataka kutengewa maji?
 
Wanatuchosha tu maana hii ishu Ni nyepesi angemuuliza mkewe Sasa hapa tutatoa ushauri kwa kutabiri tu,,,,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Halafu Sasa malalamiko yake ndio yaliyoniacha hoi zaidi
 
We naye, sasa utampata wapii mwanamke asiye na vijitabia hivyo!? Tena wewe mwenyewe unajua ulipompatia...sasa kipya ni kipi hapo!?
Kuwa kidume, asipokuwekea maji, msubirie muda mfupi kabla ya kulala mdai maji ya kuoga tena ya moto! Akibisha ww piga push up kama zote! Ukimaliza kupiga pushapu, mwambie tena akuwekee maji bafuni! Akikataa ww panda kitandani ukiwa na mijasho yako na kikwapa kama chote vile, lala kitandani na ujifunike naye shuka! Fanya hivyo uone kama kuna siku atasahau kukupelekea maji bafuni!
Kuhusu kufua nguo jiongeze ebo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Una madai ya kijinga, unataka akufulie nguo wewe huna mikono, eti akutengee maji wewe ni kiwete, acha uvivu tafuta hela, bila haya wataka ufuliwe maji yako ya kuoga hutaki kubeba mpaka umtese mkeo hujui ulezi ni kazi?
Acha uvivu aisee
Acha kumpotosha mwenzako,ndoa za kiafrika bila kuyafanya hayo anayolalamikia mtoa mada iyo ndoa itakufa
 
Aishi tu na huyo rafiki kwa kweli maana ingekuwa wangu kanipunguzia mzigo wa dhambi, sitegemei mtu anifuraishe duniani aisee, nafanya ninachojiskia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Kama hajakuoa, akuoe haraka please. Wanaume wa aina hiyo ambao wanapika huku mke anachati ni wachache sana. Hata waziri wa Afya Dr. Gwajima naona kaokota mojawapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ooh kumbe eeeh ndoa za Africa Zina u slave ndani yake
Sidhani kama ni uslave balii ni utaratibu wetu kila jamiii ina mila na desturi zake...so kwa sisi wafrika taratibu ndio ziko hivyo mkuu
 
Back
Top Bottom