Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,912
- 70,668
Wanaboa ujue saiv sisi ndo tunaishi nao kwa akili kuliko wao?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mafurushi ya nguo chafu? Lol
Wanaboa ujue saiv sisi ndo tunaishi nao kwa akili kuliko wao?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mafurushi ya nguo chafu? Lol
Mkuu atajiju,Yaani arudi ujingani tena!? Si atampata wa hivyo tena!
Inamaana Hilo ni tatizo dogo eeUnaonekana hujapevuka kuingia kwenye ndoa, matatizo madogo hayo unalalamika.
NdiyoAnacholalamikia Yuko sahihi ila kuleta humu kabla ya kuongea na wife imeniboa na isitoshe Ni ishu nyepesi mno hii, inaonekana jamaa Ni mchelemchele/nyolonyolo tu huyu
"ishi nao kwa akili" kuna ujumbe mzito sana kwenye hii verse. Jitahidi uuelewe!!!Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,
Mwaka Jana mwishoni nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:
Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu
Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa
Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua
Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe
Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.
Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO
NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA
NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI
USHAURI WENU PLEASE....
Just reading your comment nikajua wewe bado una akili za kitoto ambazo by anyway huwez kumwongoza mwanamke mwenye akili timamu au hata mbuzi zizini,how on earth mwanaume ana make argument ya ugumu wa ndoa yake by justifying mahari aliyolipa kabla? Karne hii unasubiria kupelekewa maji bafuni hauna mikono? Wewe unadhan kazi ya mwanamke ni kukuwaza wewe everytime? Umeoa housegirl au msaidiz? Inawezekana huo ugumu anaoupata kwenye kujibu maswali yako ni kwa sababu una maswali na hoja za kitoto kiasi kwamba hata mtoto akikusikiliza hawezi ona point ya kukujibu.Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,
Mwaka Jana mwishoni nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:
Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu
Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa
Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua
Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe
Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.
Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO
NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA
NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI
USHAURI WENU PLEASE....
Mpeleke polisi tu mkuu hakuna namna huo ni uhujumu wa ndoa kama uhujum wowote ule mkuu.ukishindwa ww mpandishe cheo awe mke mkubwa tu..Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,
Mwaka Jana mwishoni nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:
Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu
Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa
Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua
Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe
Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.
Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO
NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA
NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI
USHAURI WENU PLEASE....
Nikijiskia ila sio jukumu langu. Jukumu langu ni kuleta hela na wewe kuhudumia nyumba sasa kama kuhudumia nyumba umeshindwa basi huna faida ndani ya nyumbaKwani mwanaume kupika huku akiwa ameoa ni dhambi?
Na kama wote mnaleta hela nyumbani kwa pamoja?Nikijiskia ila sio jukumu langu. Jukumu langu ni kuleta hela na wewe kuhudumia nyumba sasa kama kuhudumia nyumba umeshindwa basi huna faida ndani ya nyumba
Umeona eeeh? Hopeless kabisa. Wanadhani wanawake huwa hawachokagi, (na kazi za nyumbani).Hapo ukute mkewe ana mtoto mchanga.
Yaani ahangaike huku na mtoto,huku na mtu mzima mwenye mikono ila hataki kuitumia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badala atafute suluhu na mkewe eti anauliza huku.
Yaani mtu anayebaki nyumbani anaweza kuchoka hata zaidi ya yule aliyepo kazini.Umeona eeeh? Hopeless kabisa. Wanadhani wanawake huwa hawachokagi, (na kazi za nyumbani).
Hela ya mwanamke ni yake atumie atakavyo hela yangu ni ya wote na endapo hatotimiza majukumu yake kwa kisingizio cha yeye kuleta hela basi achague moja familia ama kazi either way sipati hasara yoyote. Msitake kubadilisha natureNa kama wote mnaleta hela nyumbani kwa pamoja?
Kama hana nyumba yenye bafu za kisasa na heaters nk. Anatengewa maji, manake bado hela haijamkubali
Binafsi nachukia umwinyi sana.Ndoa nyingi nw days wanaume wanalalamika changamoto lakin ukiangalia kiundani vijana wengi sana wameandamwa na mambo ya kijinga na uvivu,mwanaume unakuta amekaa anabet mkewe anapika alafu anamwita ampelekee maji bafuni-This is bullshit.Since naoa biashara ya kuwekewa maji bafuni niliikata unless ni mgonjwa sanaUmeona eeeh? Hopeless kabisa. Wanadhani wanawake huwa hawachokagi, (na kazi za nyumbani).
A person who is behaving this way is a Slave master and not a real husband.Hela ya mwanamke ni yake atumie atakavyo hela yangu ni ya wote na endapo hatotimiza majukumu yake kwa kisingizio cha yeye kuleta hela basi achague moja familia ama kazi either way sipati hasara yoyote. Msitake kubadilisha nature
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Unaoga na maji ya kwenye beseni?
Kabisa,Asilimia [emoji817].. na ndo ilivo mostly.Yaani mtu anayebaki nyumbani anaweza kuchoka hata zaidi ya yule aliyepo kazini.