cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,696
Woooi hawajui maisha ni zaidi ya hvo hafu wamama wa nyumbani plus ulezi huwa vinachosha Bora hata kulimaWanataka kuifanya ndoa ionekane kama ufalme wa Mbinguni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]