Kabisaaa yaanPeople are negative and selfish
Ni madhara ya malezi
yaan wee acha tyuuh
Mmmwaa
yaan wee acha tyuuh
Ndo maana vijana wa saivi wengine wanakimbilia kuoa mapema huku hawajawa tayar kwa maisha ya ndoa, kisa ni wavivu wa kutojua kazi za nyumbani. Wanataka mwanamke awe cheap labour ndan ya ndoa, kitu ambacho hakiwezekan mwshoe ndoa zinavunjika holela tyuuh.Kweli kabisa watu tuliokuwa tunafanya hizo kazi tangu utoto ,tulivyooa hatukuwa tunasubiri wake zetu ndio wafanye!! Mimi hakuna kazi ya nyumbani ambayo siwezi kuanzia kupika,kufua,kufagia ndani/nje,kulima majani ,nikiona hakupo sawa narekebisha mwenyewe sisubiri wife au Hg ndio afanye!!
Wee ni uvivu unakusumbua na malezi pia.Mawazo mapana ni wajibu wa mwanaume kuosha na kupika na kudeki nyumba sivyo?
Poleeeh sana, sio kosa lako ni malezi tatizo.Huna time management ndo maana zinakushinda ungelikuwa unajipanga na ratiba ukafuata usingeshindwa kumpikia mumeo chakula cha jioni kwani maids huwa wanawezaje kukamilisha kila kitu on time? ina maana unapitwa uwezo na mfanyakazi wa ndani? sasa si utoke abaki yeye nijue moja tu. Huo ni uzembe na kujiendekeza na kutokujua majukumu yako ndani ya ndoa kwa kifupi ndoa imekushinda
Kunai vitu havihitaji malalamikoyaan wee acha tyuuh
Kwa hizi comments za wanaume ninazosoma humu, naeaza malezi yao yalikuaje, maana kaka zangu hawapo hivyo.Kunai vitu havihitaji malalamiko