Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Mkuu ni kwamba amebadilika baada ya yeye kuumwa ,wewe ukamhudumia?

Au alikua hivyo tangu mnaooana mpaka sasa hivi...??

Kama alikua hivyo tangu zamani,then kosa ni lako kumuoa ukidhani atabadilika...

Na kama tabia ni imebadilika haikuwa hivyo zamani,...then... inawezekana kurekebishika, give her more attention,usimkaripie wala kumnunia, akipika onyesha umefurahia chakula,chukua au invest time kumuonysha she is loved, kidogo kidogo trust itarudi,and when she feels she can trust you,atakua rahisi kufunguka nini tatizo, na jinsi mtakavyolikabili pamoja... Kiufupi mkeo position yake iko threatened, hizo ni normal reactions kununa,kuona analofanya hu appreciate anaona why akuwekee maji ya kuoga, wakati kuna mwanamke mwingine anayekufanyia hayo?......rudisha trust then ndoa yako iko saved!, ...na usizunguke mbuyu kama sio insecurities zake then hujatuambia ukweli kuhusu wewe na michepuko, mkuu kama uli cheat muombe msamaha,muahidi hautarudia siku zisonge....
Umenena haswaaaaah.
 
wasije wakaanza kugombana huko huko out wakavurugana, maana demu anaweza kuuliza kwaio umenileta huku ili uniambie hayo[emoji23]
Yani akwambie hiv Unaweza mzaba hata kofi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo ana mwanaume nje mchunguze vizuri, lasivyo ana kibendi.
 
Kuwa mpole

Give her chance akuelezee kwanini anafanya hivyo

MWISHO: Maamuzi ya mwisho ni yako
 
Sasa faida yake ya kuoa hapo ikowa wapi kama atajifanyia hayo

Wanawake WA kileo ndoa znawashinda
Kwakujazana mambo kama haya huko saloon
Wewe huna mikono mpaka umfanye mkeo cheap labor, hivi ukibeba maji Hadi bafuni jinsia yako itabadilika au ukifua utakufa?
Mimi sioni mantinki ya kulaumu sijui hichi, sijui kile wakati naweza kufanya mwenyewe.
 
Yani akwambie hiv Unaweza mzaba hata kofi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ukimzaba kofi ndo ugomvi unakuwa mkubwa kabisa kwa aina ya mwanamke kama huyu wa jamaa
 
Una madai ya kijinga unataka akufulie nguo wewe huna mikono, eti akutengee maji wewe ni kiwete acha uvivu tafta hela, bila haya wataka ufuliwe maji yako ya kuoga hutaki kubeba mpaka umtese mkeo hujui ulezi ni kaxi?
Acha uvivu aisee
Sasa si afukuze tu huyo mwanamke ajue anaishi mwenyewe maana hakutakuwepo na tofauti bado kidogo tu utasema na ajipikie
 
Wewe huna mikono mpaka umfanye mkeo cheap labor hivi ukibeba maji Hadi bafuni jinsia yako itabadilika au ukifua utakufa?
Mimi sioni mantinki ya kulaumu sijui hichi, sijui kile wakati naweza kufanya mwenyewe.
Aisee mimi ndiyo napenda wanawake dizain hiyo
 
..usiruhusu mwanamke ashike sim yako Kua Mwanaume usikae kizembe
Hiyo ndo njia rahisi ya kumfanya mke ageuke 'chawote'.

Ashasema hafanyi ujinga, meaning hachepuki, sasa simu aweke password za nini?
 
Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,

Mwaka Jana mwishon nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:

Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu

Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa

Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua

Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe

Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.

Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO

NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA

NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI

USHAURI WENU PLEASE....
Mwanamke ni geresha tu home (wa kuuzia sura tu home). Achana nae fanya yako (mademu wabichi walivyo jaa kitaa bado unapambana na Mke)? We mpuuze malizana na michepuko usiku ndio urudi home, unakuja kulala tu kama Hotelini, Hapo utaishi kwa furaha miaka yote.
 
Una madai ya kijinga unataka akufulie nguo wewe huna mikono, eti akutengee maji wewe ni kiwete acha uvivu tafta hela, bila haya wataka ufuliwe maji yako ya kuoga hutaki kubeba mpaka umtese mkeo hujui ulezi ni kaxi?
Acha uvivu aisee
Ningependa kufahamu marital status yako kama hutojali plz
 
Wewe huna mikono mpaka umfanye mkeo cheap labor hivi ukibeba maji Hadi bafuni jinsia yako itabadilika au ukifua utakufa?
Mimi sioni mantinki ya kulaumu sijui hichi, sijui kile wakati naweza kufanya mwenyewe.
Labda ndio mazingira aliyokulia kwao, alikuwa anaona hivyo vinafanyika na yeye amekariri ni lazima mke amuwekee maji ya kuoga, kama yuko busy sana mke anaweza kumsaidia kufua ila sio kuweka maji ya kuoga mana huko ni kumfanya mke mtumwa sasa au thamani yake ya chini sana.

Bro beba maji nenda kaoge au funga bomba bafuni.
 
Hebu fanya kubadilisha mazingira muende sehemu tulivu umuweke kiti moto kwa upole kabisa, hii ni kama verbal warning flani.
Labda kama hachepuki yaani hii approach atakuona boya na unamwogopa. Hapa ndio unakuta mwanaume ndo utaanza kuomba msamaha hata kama kosa ni la mkeo. Mark my words!
 
Back
Top Bottom