Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Nina hasira na wife, ushauri wenu please

Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,

Mwaka Jana mwishon nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:

Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu

Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa

Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua

Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe

Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.

Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO

NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA

NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI

USHAURI WENU PLEASE....
Pole kwa maswahibu. Cha kufanya jirekebishe ww kwanza. Acha mipango ya kandoo.Umpe mke wako matumaini ya uwaminifu hata kama ni ngumu kuaminiwa. Na tafuta nafasi ya kukaa na mama watoto. Mtoke pamoja kwenda ktk nyumba za ibaada. Kwa kua matatizo mengine ndani ya ndoa mwanzilishi ni Mwanaume ila chida yetu hatupendi kutizama kwa undani...
Ndani ya Ndoa yenyu pameingiliwa na Fitna-Husda-Sighri.. Na upumbavu wenyu kwa kumsahau mwenyezimgu.
 
Kuna muda huwa wanawake hutingwa Sana na kazi nyingi ndogondogo za nyumbani,Sasa Kuna muda mwanaume Kama uko free inabidi ujiongeze kwa kumsaidia baadhi ya kazi haitaondoa cheo chako Kama kichwa Cha nyumba.Sometime unaweza ukajibebea maji ya kuoga au ukajipakulia chakula Kama unaona wife katingwa na kazi nyingi haitakupunguzia kitu.Ukitaka kujua ugumu wa kazi za nyumbani hebu siku moja mwambie wife apumzike alafu wewe mme uingie kuzifanya shughuli zote za nyumbani toka asubuhi mpaka jioni,iwe kupika,kufua,usafi,kubembeleza mtoto,kwenda sokoni.....hapo ndio utapata matokeo.kwa hiyo Kuna muda unaweza kumsaidia baadhi ya kazi za nyumbani mkeo Kama uko siku hiyo umeshinda home tu,kumlipia Mali mwanamke wakati wa kumuoa isiwe sababu ya kumtumikisha kwa Kila kitu hata Kama amechoka lazima afanye Kuna muda utu inatakiwa utumike,Adamu alipopewa Eva,Mungu alimpa wa ubavu wake Eva Kama msaidizi kumbe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume.Muite mkeo myaongee na myamalize usitumie nguvu kuanza kumpiga utaongeza tatizo badala ya kulitatua Yafuta sehemu tulivu iloyotulia wewe na mkeo myajenge mpate suluhu.Ndoa ni taasisi kubwa,Amani ikikosekana katika ndoa watoto ndio huteseka zaidi,wanaweza wakashindwa kupata haki yao ya msingi ya elimu au tukaongeza idadi ya watoto wa mitaani "wapiganapo mafahali wawili ziumiazo ni nyasi".Tatizo halikimbiwi ila angalia njia sahihi ya kulitatua.[emoji1241][emoji450][emoji447]
 
Huyo mpe psychological tocha, fanya hivi Kama umeshamuonya Mara kibao hasikii.! Nguo zako peleka dry cleaner Kama hazifui ongea pale ambapo Kuna ulazima ...Kama anaona uvivu kukujibu hizo Ni dharau ..... Simu yako ipige password mpya na kamwe usiruhusu mwanamke ashike sim yako Kuwa Mwanaume usikae kizembe Mwanamke usikae nae kimazoea .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri halisi wa kiume .
 
Kuna muda huwa wanawake hutingwa Sana na kazi nyingi ndogondogo za nyumbani,Sasa Kuna muda mwanaume Kama uko free inabidi ujiongeze kwa kumsaidia baadhi ya kazi haitaondoa cheo chako Kama kichwa Cha nyumba.Sometime unaweza ukajibebea maji ya kuoga au ukajipakulia chakula Kama unaona wife katingwa na kazi nyingi haitakupunguzia kitu.Ukitaka kujua ugumu wa kazi za nyumbani hebu siku moja mwambie wife apumzike alafu wewe mme uingie kuzifanya shughuli zote za nyumbani toka asubuhi mpaka jioni,iwe kupika,kufua,usafi,kubembeleza mtoto,kwenda sokoni.....hapo ndio utapata matokeo.kwa hiyo Kuna muda unaweza kumsaidia baadhi ya kazi za nyumbani mkeo Kama uko siku hiyo umeshinda home tu,kumlipia Mali mwanamke wakati wa kumuoa isiwe sababu ya kumtumikisha kwa Kila kitu hata Kama amechoka lazima afanye Kuna muda utu inatakiwa utumike,Adamu alipopewa Eva,Mungu alimpa wa ubavu wake Eva Kama msaidizi kumbe mwanamke ni msaidizi wa mwanaume.Muite mkeo myaongee na myamalize usitumie nguvu kuanza kumpiga utaongeza tatizo badala ya kulitatua Yafuta sehemu tulivu iloyotulia wewe na mkeo myajenge mpate suluhu.Ndoa ni taasisi kubwa,Amani ikikosekana katika ndoa watoto ndio huteseka zaidi,wanaweza wakashindwa kupata haki yao ya msingi ya elimu au tukaongeza idadi ya watoto wa mitaani "wapiganapo mafahali wawili ziumiazo ni nyasi".Tatizo halikimbiwi ila angalia njia sahihi ya kulitatua.[emoji1241][emoji450][emoji447]
Una akili Sana mkuu
 
Badala ukae umwambie hayo makwazo yako unayaleta hapa basi kwa niaba yake nasema amekuelewa
 
Wandugu mimi ni mfanyakazi katika taasisi binafsi ya elimu, nna mke na watoto wawili, nimeishi na mke wangu Sasa mwaka wa 4 baada ya kumzalisha baadae nikamchukua awe mke wangu,

Mwaka Jana mwishoni nlilipa mahari kiasi Cha tsh 1.5m na tumeishi maisha ya amani mpaka leo ila Ana matatizo haya ndio yamenifanya niwaone wakuu:

Mosi, huwa anapata wakati mgumu kunijibu ninapomuuliza kitu

Pili, ni muongo, anaweza kukueleza kwamba alikueleza kitu Fulani wakati hakusema kabisaaa

Tatu, amekuwa mvivu kunifulia hasa baada ya Mimi kufanya kufua nguo kipindi akiwa mgonjwa, now anahisi ni wajibu wangu kufua

Nne, Jambo la Mimi kuoga Wala usimuulize, nna Zaidi ya mwezi sijatengewa maji ya kuoga najitengea mwenyewe

Tano, anapenda Sana kunichunguza Kama nachepuka, juzi tumegombana kwa kusachi simu yangu japo hapakuwa na pa kunikamatia ila kuona sms ya mdada kanisalimia ilikuwa Vita.

Na hii ndio shida kuu, ananivizia usiku anasearch simu yangu Sana na sometime anawapigia wadada nilowasave namba zao, KEROOO

NATAMANI SANA AMANI LAKINI NAHISI ANATAFUTA SHIDA

NISHAACHA UJINGA JAPO HATA YEYE NILIMPATIA UJINGANI LAKINI NAHISI ATANIRUDISHA UJINGANI

USHAURI WENU PLEASE....
Weka picha ya mkeo tumuone kwanza kisha tutoe ushauri .nh kama hana tako usipoteze muda wako
 
Hapo jua unahasira na we mwenyewe, kwa sababu huyo ni sehemu yako hivyo badili andika nina hasira na mimi mwenyewe maana huyo ni mwili wako. Hizo tabia mbaya ni zako maana zinatoka katika mwili wako.
Cha pili huyo ni msaidizi kazi hizo ulizozitaja ni zako yeye ni msaidizi tu. Msaidizi asipofanya haulizwi msaidizi anaulizwa mwenye kazi yake.
Lazima kuwa na simu mbili moja ya public na ya pili ya majanga (private) hiyo ya private hata kuijua asijue, ukiacha michepuko utapata tabu sana kwa stress, ikibidi hata hizo nguo zifuliwe kwa mchepuko, stress unapambana nazo kwa akili.
 
Aisee hivi mwanaume unaanzaje kusumbuliwa na mwanamke, mimi kihelehele wa kwanza nilishafukuza kwa kipigo kitakatifu akaenda polisi nikaenda nikampa kipigo kingine palepale mbele ya askari na nikamuacha rasmi na nikamuachia nyumba.
 
Naona wewe bado ni mchanga katika maswala ya ndoa! Bado mpaka leo unataka mke akupelekee maji ya kuoga bafuni? Pamoja na mengine uliyotaja bado hujamsoma mkeo vizuri,fahamu ikifikia mkeo anakagua simu yako anakupenda sana na anaona wivu kwa ajili yako! Na wewe kama ni Mwaminifu unaogopa nini mkeo asikague simu yako?
 
Nioe halafu nijifulie nguo? Ni bora nimfukuze mke, niweke beki tatu awe ananifulia nguo.
Watu ambao hawana pesa, muda wote husema tafuteni pesa. Pesa haipatikani kirahisi hivyo ndiyo maana utakutana na wadada wanauza nyuchi ili wapate pesa.
Kwahyo hizi machine za kufua ndo wake, naamini mke ni zaidi ya kufua, pia mkewe sio mtumwa, mtu mzima mvivu unalaumu wengine kah.
 
Mwanamke nae ni binadamu kama ulivyo wewe na anachoka na kukinai kama watu wengine,jifunze kushukuru na kuappreciate vitu anavyofanya nyumbani hii itqmpa motisure ya kufanya zaidi na zaidi kwako.Mkeo ni MKE sio mtumwa kwako

Kingsmann
 
Mnataka haki sawa ila majukumu hamtaki. Hela ya chakula, matibabu, ada ya shule, mavazi n.k anatoa mwanaume.
Wanaume wote ni km wa baba mmoja. Hayupo mwanaume atakayekuwa anafua nguo au kupika wakati ameoa. Ukitaka mwanaume atakayekuwa anapika, kufua nguo n.k hakikisha umemuumba mwenyewe halafu umemtolea ubongo la sivyo atakugeuka na ataoa mwanamke mwingine.
Siyo utumwa kila mtu ana majukumu yake ktk ndoa.
Kwahyo hizi machine za kufua ndo wake, naamini mke ni zaidi ya kufua, pia mkewe sio mtumwa, mtu mzima mvivu unalaumu wengine kah.
 
Kama na ww utakuwa unatoa hela ya chakula, mavazi, matibabu, hela ya kodi n.k hayo unayosema yatawezekana.
Kwann wajibu wako unaita utumwa? Hayupo mwanaume aliyeoa halafu anajifulia nguo na kujipika. Ni bora nikufukuze niajiri beki 3.
Nikulishe, nikuvishe n.k halafu kazi yako inakuwa nini? Km sexy kuna wanawake wengi wanauza
Huyo kingsmann hawezi kuvumilia huu upuuzi 100%. Nafikiri kila mtu anaishi kwake, ngoja muanze kuishi pamoja halafu mpeane zamu ya kupika na kila mmoja awe anajifulia nguo.
Mwanamke nae ni binadamu kama ulivyo wewe na anachoka na kukinai kama watu wengine,jifunze kushukuru na kuappreciate vitu anavyofanya nyumbani hii itqmpa motisure ya kufanya zaidi na zaidi kwako.Mkeo ni MKE sio mtumwa kwako

Kingsmann
 
Back
Top Bottom