Haijalisha unaumwa karibia na kufa. Tuhuma za mauaji ni non bailable. Kama unaumwa utatibiwa ukiwa mahabusu, na kama kuna haja ya wewe kupelekwa hospitali utakwenda kama mahabusu. Kufanya vinginevyo ni kuwa juu ya sheria.What if wakitumia sababu za KIAFYA, bado atanyimwa DHAMANA?