Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
.... Si wanafanya kile walichosomea na wenye utaalam nacho?Kwa kifupi ni kazi yao,ni sawasawa wangekuwa ni madaktari,haina maana wasingemfanyia upasuaji muuaji ambaye asipofanyiwa huo upasuaji atakufa.Maana ile ni kazi yao,na hai-specify wamfanyie nani wamuache nani.
......
Zanaki, hivi unajua kwa nini madaktari hawatakiwi kimaadili kumfanyia upasuaji ndugu wa karibu (mke, mtoto, mume, n.k)?