ikindo

Senior Member
Nov 29, 2011
130
110
Wakuu,

Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa wanafunzi waliokuja kutoka Sudan kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo katika chuo cha Afya Muhimbili.

Nasema nimegadhabishwa kwa sababu mtizamo wa watanzania wengi umejikita kwenye utani wa kuwadhalilisha wanawake na kutweza uanaume kwa malengo yasiyofahamika.

Wachangiaji wengi wameonyesha kuwa vijana wengi wa Kitanzania hawana maadili na mawazo yao yamejikita zaidi kwenye masuala ya kingono kwa wanafunzi hao wa Ssudan na wameendelea mbele zaidi kuonesha kuwa wanaume wengi wa Tanzania fikra zao ni ngono tu na hawana jambo lingine wanalofikiria.

Nimestushwa hasa nilipoona kwenye baadhi ya magroup ya WhatsApp, redio, magazeti niliyodhani wana weledi wa kutosha kuhusu masuala ya kijamii kuangukia kwenye hoja kama hii, tena wengine ni wasomi wanaojinasibu kuwa wameelimika.

Tabia hii ya hovyo iliyooneshwa na wanajamii wenzetu inatuzalilisha kwa kiasi kikubwa na kutweza utu wetu sisi kama Watanzania, hasa nikirejea sakata lililotokea mwaka baada ya Klabu ya Simba kumsajili Mchezaji mmoja kutoka barani Ulaya ambapo waandishi wetu walijikuta wakifanya masihara kwa kumuita mzungu yaliyopelekea kuleta hisia za kibaguzi kwa mwana soka yule nguli kiasi cha kuamua kukatisha mkataba wake na kuondoka.
 
Ujinga wa watanzania wengi ndio unaosababisha wakenya wapate mwanya wa kuwatumia katika mambo mbali mbali yanayohusiana na vita vya kiuchumi, kama vile hili swala la bandari, ujenzi wa bomba kutoka Tanzania hadi Uganda, na lile lingine waliloshindwa la kule Loliondo.

Adui kabla ya kuku target ili akutumie huwa aangalia kwanza akili yako, mawazo yako, na uwezo wako wa kufikiri.

Akigundua uko weak katika mambo yote matatu, basi na yeye anapata mwanya wa kukutumia kwa njia anazozijua yeye kama wanavyotumiwa vijana wetu na wanasiasa wetu uchwara wa Tanzania.

Kamwe ujinga huo hawawezi kuwafanyia wanyarwanda, au waganda, maana wanajua fika kuwa jamaa wako vizuri vichwani mwao.
 
tupate mapumziko mafupi kutoka kwa wadhamini.
kidonga_jr_1687337265315912.jpg
 
Wakuu,
Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa Wanafunzi waliokuja kutoka Sudani kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo kasihara kwa kumuita mzungu yaliyopelekea kuleta hisia za kibaguzi kwa mwana soka yule nguli kiasi cha kuamua kukatisha mkataba wake na kuondoka.
Usipangie watu maisha wewe! Wewe na userious wako umefika wapi?
 
Elimu ya msingi iliyolenga kufuta ujinga wa watanzania ilikoma miaka ya 80, baada ya hapo hata elimu ngazi ya chuo kikuu bado haifuti ujinga, tuna maprofesa hapa lakini hawajafuta ujinga..ndio maana usishangae hawa wanaosema eti ni utani tu, au mzaha..No! kile mtu anachokisema huwakilisha kile anachfikiri muda mwingi! mawazo na fikra za vijana watanzania wengi ni kufikiria ngono tu! hata anapowaza kazi ili apate chochote cha kwanza anachowaza baada ya kupata pesa ni starehe..ngono ikiwa mojawapo! hakuna taifa hapa!
 
Wakuu,

Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa wanafunzi waliokuja kutoka Sudan kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo katika chuo cha Afya Muhimbili.

Nasema nimegadhabishwa kwa sababu mtizamo wa watanzania wengi umejikita kwenye utani wa kuwadhalilisha Wanawake na kutweza Uanaume kwa malengo yasiyofahamika, wachangiaji wengi wameonyesha kuwa vijana wengi wa Kitanzania hawana maadili na mawazo yao yamejikita zaidi kwenye masuala ya kingono kwa wanafunzi hao wa kisudan na wameendelea mbele zaidi kuonesha kuwa wanaume wengi wa Tanzania fikra zao ni ngono tu na hawana jambo lingine wanalofikiria.

Nimestushwa hasa nilipoona kwenye baadhi ya magroup ya WhatsApp, redio, magazeti niliyodhani wana weledi wa kutosha kuhusu masuala ya kijamii kuangukia kwenye hoja kama hii, tena wengine ni wasomi wanaojinasibu kuwa wameelimika.

Tabia hii ya hovyo iliyooneshwa na wanajamii wenzetu inatuzalilisha kwa kiasi kikubwa na kutweza utu wetu sisi kama watanzania, hasa nikirejea sakata lililotokea mwaka baada ya Klabu ya Simba kumsajili Mchezaji mmoja kutoka barani ulaya ambapo waandishi wetu walijikuta wakifanya masihara kwa kumuita mzungu yaliyopelekea kuleta hisia za kibaguzi kwa mwana soka yule nguli kiasi cha kuamua kukatisha mkataba wake na kuondoka.

Asa kama Millard ayo kapost picha 10 9 za pisi kali afu moja tuh ndio yawanaume ulitegemea tusipagawe
 
Wakuu,

Mimi nikiwa kama Mtanzania mwenye akili timamu, nimechukizwa sana na jinsi watanzania mbalimbali walivyolishadadia na kuendelea kuchangia maoni yao kwa wanafunzi waliokuja kutoka Sudan kufanya mafunzo yao ya udaktari kwa vitendo katika chuo cha Afya Muhimbili.

Nasema nimegadhabishwa kwa sababu mtizamo wa watanzania wengi umejikita kwenye utani wa kuwadhalilisha Wanawake na kutweza Uanaume kwa malengo yasiyofahamika, wachangiaji wengi wameonyesha kuwa vijana wengi wa Kitanzania hawana maadili na mawazo yao yamejikita zaidi kwenye masuala ya kingono kwa wanafunzi hao wa kisudan na wameendelea mbele zaidi kuonesha kuwa wanaume wengi wa Tanzania fikra zao ni ngono tu na hawana jambo lingine wanalofikiria.

Nimestushwa hasa nilipoona kwenye baadhi ya magroup ya WhatsApp, redio, magazeti niliyodhani wana weledi wa kutosha kuhusu masuala ya kijamii kuangukia kwenye hoja kama hii, tena wengine ni wasomi wanaojinasibu kuwa wameelimika.

Tabia hii ya hovyo iliyooneshwa na wanajamii wenzetu inatuzalilisha kwa kiasi kikubwa na kutweza utu wetu sisi kama watanzania, hasa nikirejea sakata lililotokea mwaka baada ya Klabu ya Simba kumsajili Mchezaji mmoja kutoka barani ulaya ambapo waandishi wetu walijikuta wakifanya masihara kwa kumuita mzungu yaliyopelekea kuleta hisia za kibaguzi kwa mwana soka yule nguli kiasi cha kuamua kukatisha mkataba wake na kuondoka.
utakufa ukiwa na umri mdogo wewe. vitu vingine unapotezea tu
 
Mkuu wala usitafakari sana hili, akili za wa Tz wengi hasa vijana hupenda kujadili petty issue badala ya issue zenye ustawi kwa nchi yao!
Kuna issue ya DPW wala hawana habari na hawapendi kuhoji kitu ktk hili, ndio maana kila siku wanalalama njaa kwani hata kazi zao ni hovyo!
 
Asa kama Millard ayo kapost picha 10 9 za pisi kali afu moja tuh ndio yawanaume ulitegemea tusipagawe
kwa hiyo wewe ukiona picha ya jinsia tofauti cha kwanza kufikiri ni ngono..ikiwa ni hivyo ujue una matatizo makubwa kichwani.
 
Exactly mkuu,ni taifa la kulalama kwenye soft landing, sex,mipasho ndio topic pendwa, tutafute fedha za kujenga family yako isije nayo ikapata shida
Ndo hivyo hawana utulivu wa akili kufanya vitu vya maana, ndo wakifika uzee wengine wanapewa hizo fedha million of shillings wanapeleka kwenye utani na kuzidiwa akili na wajanja zinapotea kama vile hawajawahi kushika hela.
 
Back
Top Bottom