Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kosa la uandishi lililopelekea kosa la matamshi lililotokea kwenye hotuba za Mhe Rais kuhusu akiba ya Taifa limekuwa likifanyika Katika hotuba za nyuma. Hotuba yake ya Juni alisema Tena USD Bilioni 4000+ na siyo Usd Milion 4000+, Juzi Bilioni 6000+ na siyo Milioni. Ukisoma vyombo vya habari yakiwemo magazeti huko nyuma na hata hii ya Sasa wameripoti Bilioni siyo Milioni.
Hapa unabaini lipo tatizo la wasaidizi wake kufanya copy na paste na hakuna anayeumizwa kichwa kusoma na kuandika. Lakini kosa la pili ni BOT na Hazina kushindwa kujua makosa haya Katika data wanazotoa. Tatu ni ukimya wa Waziri wa fedha may be nayeye ajipi muda wakusoma au kuzidua hotuba za mkubwa wake.
Nadhani upo umuhimu wakuondoa ndugu na makada ofisini nakuweka watendaji ambao Wana Moyo wakumsaidia Mhe. Rais. Watumishi wa umma awasomi Wala kufanya proof reading . Haya makosa yamekuwa yakijirudia hata kwenye teuzi unaona anateuliwa mtu Hadi watu wa nje wapige kelele ndipo unagundua ipo shida mahali.
Tunatakiwa kusuka upya hizi ofisi nyeti
Hapa unabaini lipo tatizo la wasaidizi wake kufanya copy na paste na hakuna anayeumizwa kichwa kusoma na kuandika. Lakini kosa la pili ni BOT na Hazina kushindwa kujua makosa haya Katika data wanazotoa. Tatu ni ukimya wa Waziri wa fedha may be nayeye ajipi muda wakusoma au kuzidua hotuba za mkubwa wake.
Nadhani upo umuhimu wakuondoa ndugu na makada ofisini nakuweka watendaji ambao Wana Moyo wakumsaidia Mhe. Rais. Watumishi wa umma awasomi Wala kufanya proof reading . Haya makosa yamekuwa yakijirudia hata kwenye teuzi unaona anateuliwa mtu Hadi watu wa nje wapige kelele ndipo unagundua ipo shida mahali.
Tunatakiwa kusuka upya hizi ofisi nyeti