Hotuba ya karne ya Benjamin Netanyahu - Umoja wa Mataifa 2023

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,200
22 September 2023
UN HQ, New York

Hotuba mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA : Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu 2023.


View: https://m.youtube.com/watch?v=kNH85jgzJ0Y

Asante Mheshimiwa Rais!(Wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa)

Mabibi na mabwana, zaidi ya milenia tatu zilizopita, kiongozi wetu mkuu Musa, alihutubia watu wa Israeli walipokuwa karibu kuingia katika nchi ya ahadi. Alisema wangekuta milima yao miwili ikitazamana. Mlima Gerizimu, mahali ambapo baraka kubwa ingetangazwa, na Mlima Ebali, mahali pa laana kuu.


Musa alisema kwamba hatima ya watu ingeamuliwa na uchaguzi waliofanya kati ya baraka na laana. Chaguo lile la enzi ya Musa, limekuwa likijirudia enzi na enzi, si kwa watu wa Israeli pekee. Lakini kwa wanadamu wote. Tunakabiliwa na chaguo kama hilo leo. Chaguo letu litaamua ikiwa tunafurahia baraka za amani ya kihistoria, ya mafanikio na matumaini yasiyo na mipaka, au tutapata laana ya vita vya kutisha vya ugaidi na kukata tamaa.

Nilipozungumza mara ya mwisho kwenye jukwaa hili hili la UNGA miaka mitano iliyopita, nilionya kuhusu madhalimu wa Tehran. Wamekuwa ni laana, laana kwa watu wao wenyewe, kwa eneo letu, kwa ulimwengu mzima. Lakini wakati huo, nilizungumza pia kuhusu baraka kubwa ambayo ningeweza kuona kwenye upeo wa macho.

Hivi ndivyo nilivyosema. Nanukuu: "Tishio la kawaida la Iran limeifanya Israeli na nchi nyingi za Kiarabu kuwa karibu zaidi kuliko hapo awali katika urafiki ambao sijawahi kuuona maishani mwangu."

Nilisema: “Siku ingefika hivi karibuni ambapo Israeli ingeweza kupanua amani nje ya Misri na Jordan hadi kwa majirani wengine Waarabu.” Mwisho wa kunukuu.

Sasa, katika mikutano isiyohesabika na viongozi wa dunia, nilitoa hoja kwamba Israeli na mataifa ya Kiarabu yalishiriki maslahi mengi ya pamoja, na kwamba niliamini kwamba maslahi haya mengi ya pamoja yangeweza kuwezesha mafanikio ya amani pana katika eneo letu la Mashariki ya Kati

Makofi

Asante (kwa makofi) . Naam, mnanipongeza sasa kwa makofi . Lakini wakati ule, wengi walipuuzia matumaini yangu kudhani kuwa ni ndoto za kufikirika. Kukata tamaa kwenu kulitokana na robo karne ya nia ya kuwepo kupatika amani , na lakini ikashindikana. Na kwanini amani ilifeli? Kwani kulikuwepo nia njema? Kwanini siku zote walikutana na kushindwa? Kwa sababu yaliegemezwa kwenye wazo moja la kwamba tusipohitimisha kwanza makubaliano ya amani na Wapalestina, hakuna nchi nyingine ya Kiarabu ambayo ingerekebisha uhusiano wake na Israeli.



Kwa muda mrefu nimetafuta kufanya amani na Wapalestina. Lakini pia ninaamini kwamba hatupaswi kuwapa Wapalestina kura ya turufu ya veto juu ya mikataba mipya ya amani na mataifa ya Kiarabu. Wapalestina wanaweza kufaidika sana na amani pana zaidi. Wanapaswa kuwa sehemu ya mchakato huo, lakini hawapaswi kuwa na kura ya turufu ya veto juu ya mchakato huo.


Na pia ninaamini kwamba kufanya amani na mataifa mengi ya Kiarabu kungeongeza matarajio ya kufanya amani kati ya Israeli na Wapalestina. Tazama, Wapalestina ni 2% tu ya ulimwengu wa Kiarabu. Maadamu wanaamini kwamba 90% nyingine itabaki katika hali ya vita na Israeli, umati huo mkubwa, ulimwengu huo mkubwa wa Kiarabu unaweza hatimaye kutumika kuharibu taifa la Wayahudi.

Kwa hiyo Wapalestina watakapoona kwamba sehemu kubwa ya ulimwengu wa Kiarabu imejipatanisha na dola ya Kiyahudi, wao pia, watakuwa na uwezekano mkubwa wa kuachana na dhana ya kuiangamiza Israel, na hatimaye kuikumbatia njia ya amani ya kweli.



Sasa, kwa miaka mingi, mtazamo wangu wa amani ulikataliwa na wale walioitwa wataalamu wabobezi. Naam, walikuwa na makosa. Chini ya mtazamo wao, hatukuunda mkataba mmoja wa amani kwa robo karne. Walakini, mnamo 2020, chini ya njia ambayo nilitetea, tulijaribu kitu tofauti. Na kwa muda mfupi, tulipata mafanikio ya kushangaza. Tuliafiki mikataba minne ya amani - tukifanya kazi na Marekani, Israel ilitengeneza mikataba minne ya amani, katika muda wa miezi minne, na nchi nne za Kiarabu - Umoja wa Falme za Kiarabu, Bahrain, Sudan na Morocco.

Makubaliano ya Abraham Accord yalikuwa msingi wa historia. Na leo, sote tunaona baraka za mapatano hayo. Biashara na uwekezaji na washirika wetu wapya wa amani inashamiri. Mataifa yetu yanashirikiana katika nyanja za biashara, nishati, maji, kilimo, madawa, mabadiliko ya hali hewa, na nyanja zingine nyingi. Takriban Waisraeli milioni moja wametembelea Umoja wa Falme za Kiarabu UAE katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Kila siku, Waisraeli wanaokoa muda na pesa kwa kufanya jambo ambalo hawakuweza kufanya kwa miaka 70 - wanaruka juu ya Rasi ya Arabia bila vikwazo hadi maeneo ya Ghuba, India, Mashariki ya Mbali na Australia.

Mikataba ya Abraham Accord ilileta badiliko jingine kubwa. Iliwaleta Waarabu na Wayahudi karibu zaidi. Tunaiona katika harusi za mara kwa mara za Kiyahudi huko Dubai, katika kuwekwa wakfu kwa shule ya Torati katika sinagogi huko Bahran. Katika wageni wakimiminika kwenye Jumba la Makumbusho la Uyahudi wa Morocco na Casablanca. Tunaiona katika masomo ambayo yanatolewa kwa wanafunzi wa Kiarabu kuhusu historia ya Maangamizi makubwa ya holocaust yaliyofanywa wakati wa Ujerumani ya Hitler katika mitaala ya shule za UAE.


Hakuna shaka. Makubaliano ya Abraham Accord yalitangaza mapambazuko ya enzi mpya ya amani.

Lakini ninaamini kwamba tuko kwenye kilele cha mafanikio makubwa zaidi - amani ya kihistoria kati ya Israel na Saudi Arabia. Amani kama hiyo itasaidia sana kumaliza mzozo wa Waarabu wa Israeli. Itahimiza mataifa mengine ya Kiarabu kurekebisha uhusiano wao na Israeli. Itaongeza matarajio ya amani na Wapalestina. Itahimiza mapatano mapana kati ya Uyahudi na Uislamu, kati ya Jerusalemu na Makka, kati ya uzao wa Isaka na uzao wa Ishmaeli. Hizi zote ni baraka kubwa sana.

Wiki mbili zilizopita, tuliona baraka nyingine zikiibuka. Katika mkutano wa G20, Rais Biden Waziri Mkuu Modi na viongozi wa Ulaya na Waarabu walitangaza mipango ya ukanda maalum wa ushoroba ambao utaunganisha rasi (Peninsula) ya Arabia na Israeli. Itaunganisha India na Ulaya na njia za meli baharini, mitandao ya reli, mabomba ya nishati, nyaya za mawasiliano fiber optic.


Ushoroba maalum (corridor) katika ukanda huu utawezesha kuondoa vituo vya ukaguzi vya baharini, barabarani, ktk reli na hivyo kupunguza kwa kiasi kikubwa gharama ya bidhaa, mawasiliano na nishati kwa zaidi ya watu bilioni 2.

Ni mabadiliko gani ya kihistoria zaidi ya haya kwa nchi yangu. Unaona, ardhi ya Israeli iko katika njia panda kati ya Afrika, Asia na Ulaya. Na kwa karne nyingi, nchi yangu ilivamiwa mara kwa mara na falme geni za mbali katika kampeni zao za uporaji na kutawala nchi za mbali. Lakini leo, tunapobomoa kuta za uadui, Israeli inaweza kuwa daraja la amani na ustawi wa kiuchumi na biashara kati ya mabara haya.


Amani kati ya Israel na Saudi Arabia itaunda Mashariki ya Kati mpya.

Ili kuelewa ukubwa wa mageuzi ambayo tunatafuta kuendeleza, ngoja nikuonyeshe ramani ya Mashariki ya Kati mnamo 1948, mwaka ambao Israeli ilianzishwa. Hapa kuna Israeli mnamo 1948. Ni kanchi kadogo, kilichotengwa, iliyozungukwa na ulimwengu wa Kiarabu wenye uadui.

Katika miaka yetu saba ya kwanza, tulifanya amani na Misri na Jordan. Na kisha mnamo 2020, tulifanya mapatano ya Abraham Accord - amani na nchi zingine nne za Kiarabu. Sasa angalia nini kinatokea tunapofanya amani kati ya Saudi Arabia na Israel. Mashariki ya Kati nzima inabadilika. Tunabomoa kuta za uadui. Tunaleta uwezekano wa ustawi na amani katika eneo hili lote. Lakini pia tunafanya jambo lingine.


Unajua, miaka michache iliyopita, nilisimama hapa na kalamu kuweka alama nyekundu katika ukanda wa Mashariki ya Kati kuonyesha laana, laana kuu, laana ya Iran ya nyuklia. Lakini leo, sasa, ninaleta alama hii kuonyesha baraka kuu, baraka ya Mashariki ya Kati mpya, kati ya Israeli, Saudi Arabia na majirani zetu wengine.

Hatutaondoa tu vikwazo kati ya Israel na majirani zetu, tutajenga ukanda mpya wa amani na ustawi unaounganisha Asia, kupitia UAE, Saudi Arabia, Jordan, Israel, hadi Ulaya. Haya ni mabadiliko ya chanya, mabadiliko makubwa. Alama nyingine ya historia.


Sasa, wakati ukanda wa amani Mashariki ya Kati upanuka, ninaamini kwamba njia ya kweli kuelekea amani ya kweli na majirani zetu wa Palestina inaweza hatimaye kupatikana. Lakini kuna tahadhari izingatiwe. Inapaswa kusemwa hapa, kwa uwazi na nguvu. Amani inaweza kupatikana tu ikiwa umebebwa na ukweli. Haiwezi kutegemea propaganda za uwongo. Haiwezi kuegemezwa kwenye chuki za kusambaza kashfa zisizo na mwisho kwa watu wa Kiyahudi.

Kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas lazima akome kueneza propaganda na njama za kutisha dhidi ya Wayahudi katika Taifa la Kiyahudi. Narudia, nasisitiza , hivi karibuni Mahmoud Abbas alisema kwamba mtawala imla Hitler wa Ujerumani hakuwa anachuki za kuwasakama wayahudi (antisemite) - huwezi kufanya kampeni hizi . Lakini alifanya hivyo. Alisema hivyo.


Na Utawala wa Palestina lazima uache kuwatukuza magaidi, waache sera yake ya kihuni ya kuwafadhili kwa kulipa pesa kwa magaidi wa Kipalestina, kwa ajili ya mauaji ya Wayahudi. Haya yote ni ya kuchukiza, lazima njama hizi zikome ili amani itawale

Na chuki na propaganda hasi dhidi ya Wayahudi lazima zikataliwe popote zinapoonekana, iwe upande wa kushoto au wa kulia, iwe katika kumbi za vyuo vikuu au katika kumbi za Umoja wa Mataifa. Ili Amani idumu, Wapalestina lazima waache kutema chuki kwa Wayahudi, hatimaye wajipatanishe na taifa la Kiyahudi. Kwa hilo simaanishi tu kuwepo kwa taifa la Kiyahudi, bali kwa haki ya watu wa Kiyahudi kuwa na haki ya kiasili kuwepo katika nchi yao ya kihistoria - ardhi ya Israeli.


Na niwaambie, watu wa Israeli wanatamani amani kama hii. Natamani amani kama hii. Wakati nikiwa mwanajeshi kijana, zaidi ya nusu karne iliyopita, askari wenzangu na mimi katika vikosi maalum vya Israeli tulikabili hatari za kufa katika nyakati nyingi kwenye medani nyingi za vita, kutoka kwenye maji ya uvuguvugu ya Mfereji wa Suez, hadi miteremko iliyoganda theluji ya Mlima Hermoni, kutoka nyuma ya Mlima Hermoni. Mto Jordan hadi lami za njia za kuruka ndege uwanja wa ndege wa Beirut Lebanon.

Uzoefu niliopata nikiwa askari mstari wa mbele vitani na mambo mengine njliyoyaona kwa macho yalinifundisha gharama ya vita. Askari mwenzangu aliuawa mita chache karibu yangu na mwingine alikufa mikononi mwangu. Nilimzika kaka yangu mkubwa. Wale wenzangu ambao binafsi wamewahi teseka katika laana ya vita wanaweza kuthamini vyema baraka za amani.


Sasa, kuna vikwazo vingi kwenye njia ya amani. Kuna vikwazo vingi, kwa njia ya makubaliano ya Abraham Accord ya amani ambayo nimeeleza hivi punde. Lakini nimejitolea kufanya kila niwezalo ili kushinda vikwazo hivi, kutengeneza mustakabali bora wa Israeli, na watu wetu wote, watu wote katika eneo letu.

Siku mbili zilizopita, nilijadili maono haya ya amani na Rais Joe Biden. Tunashiriki matumaini sawa kwa kile kinachoweza kupatikana. Na ninathamini sana kujitolea kwake kuchangamkia fursa hii ya kihistoria. Marekani ni mdau muhimu sana katika juhudi hizi. Na kama vile tulivyofanikisha Makubaliano ya Abraham, na uongozi wa Rais Trump, naamini tunaweza kupata amani na Saudi Arabia, na uongozi wa Rais Biden.

Kwa kufanya kazi pamoja na uongozi wa Mwanamfalme Mohammed bin Salman wa ufalme wa Saudia , tunaweza kuunda mustakabali wa baraka kubwa kwa watu wetu wote.


Sasa, mwajua, mabibi na mabwana, mwajua, kuna nzi katika mafuta haya safi. Kwa sababu uwe na uhakika, mahafidhina wakereketwa wanaotawala Iran watafanya kila wawezalo kuzuia amani hii ya kihistoria. Iran inaendelea kutumia mabilioni ya fedha kuwapa washirika wake wa ugaidi. Inaendelea kupanua hema zake za ugaidi katika Mashariki ya Kati, Ulaya, Asia, Amerika Kusini, hata Amerika Kaskazini.

Walijaribu hata kumuua waziri wa mambo ya nje wa Amerika. Walijaribu hata kumuua mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani. Hii inakuambia yote unayohitaji kujua kuhusu nia ya mauaji ya Iran, na asili ya mauaji ya Iran.


Iran inaendelea kutishia njia za meli za kimataifa baharini , kuwashikilia raia wa kigeni kwa ajili ya kuwakomboa kwa dau la fedha na kujihusisha na kuficha mipango ya kuwa na silaha za nyuklia. Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, mgambo wake wauaji wameua mamia na kuwatia mbaroni maelfu ya raia jasiri wa Iran.


Ndege zisizo na rubani na programu za makombora za Iran zinatishia Israel na majirani zetu wa Kiarabu na ndege zisizo na rubani za Iran zimeleta na kuleta kifo na uharibifu kwa watu wasio na hatia nchini Ukraine.


Hata hivyo uchokozi wa utawala huo wa Iran kwa kiasi kikubwa unakabiliwa na hali ya kutojali katika jumuiya ya kimataifa. Miaka minane iliyopita, madola ya Magharibi yaliahidi kwamba iwapo Iran itakiuka makubaliano ya nyuklia, vikwazo hivyo virejeshwa. Kweli, Iran inakiuka makubaliano. Lakini vikwazo havijarejeshwa.


Kuzuia mipango kificho ya hatari ya nyuklia ya Iran. Sera hii ya kujifanya hamnazo ya mataifa na umoja wa mataifa lazima ibadilike . Vikwazo lazima virudishwe. Na zaidi ya yote, Iran lazima ikabiliane na tishio la kushughulikiwa .* Maadamu mimi ni Waziri Mkuu wa Israeli, nitafanya kila niwezalo kuzuia Iran kupata silaha za nyuklia.


Vile vile, tunapaswa kuunga mkono wanawake na wanaume jasiri wa Iran wanajitokeza kupinga utawala Tehran, ambao wanatamani uhuru. Ambao wameamka kwa ujasiri kwenye vijia vya Tehran na miji mingine ya Irani na wanakabiliwa na kifo. Ni watu wa Iran tuwaunge mkono, sio wakandamizaji wao, maana wamejitolea kupiga ukandamizaji hivyo ni washirika wetu wa kweli kwa mustakabali bora.

Mabibi na mabwana, kama wakati wetu ujao utakuwa wa baraka au laana itategemea pia jinsi tunavyoshughulikia labda maendeleo muhimu zaidi ya wakati wetu. Kuongezeka kwa akili ya bandia AI - Artificial intelligence.

Mapinduzi ya AI yanaendelea kwa kasi kubwa ya kama spidi ya mwanga wa radi. Ilichukua karne nyingi kwa ubinadamu kufikia mapinduzi ya kilimo. Ilichukua miongo kadhaa kufikia mapinduzi ya viwanda. Tunaweza kuwa na miaka michache tu ya kukabiliana na mapinduzi ya AI.


Hatari ni kubwa, na ziko mbele yetu. Kuvurugwa kwa demokrasia, ubongo wetu kuchukuliwa na akili bandia , nafasi za kazi kupunguzwa, kuongezeka kwa uhalifu, na udukuzi wa mifumo yote inayowezesha maisha ya kisasa. Bado kinachosumbua zaidi, ni mlipuko unaowezekana wa vita vinavyoendeshwa na Akili Bandia -AI ambavyo vinaweza kufikia kiwango kisichoweza kufikiria.


Na nyuma ya hii labda kuna tishio kubwa zaidi, kilichokuwa simulizi za kusadikika ya mambo ya hadithi za kisayansi, kwamba mashine za kujifundisha zinaweza kudhibiti wanadamu, badala ya sisi watu kudhibiti mashine. Mataifa yanayoongoza duniani, hata yawe na ushindani, lazima yashughulikie hatari hizi. Ni lazima tufanye hivyo haraka. Na lazima tufanye hivyo pamoja. Lazima tuhakikishe kwamba zama za Akili Bandia ya AI utopia haigeuki kuwa tishio la AI.


Tuna mengi ya chanya ya kupata kupitia Akili Bandia . Hebu wazia baraka za hatimaye kubaini muundo wa kanuni za vinasaba chembe za urithi (gene), kurefusha maisha ya mwanadamu kwa miongo kadhaa, na kupunguza sana magonjwa ya uzee. Hebu fikiria huduma ya afya inayolengwa kulingana na muundo wa maumbile ya vinasaba vya kila mtu, na dawa ya kutabiri ambayo huzuia magonjwa muda mrefu kabla ya kutokea. Wazia roboti zinazosaidia kuwatunza wazee. Hebu fikiria mwisho wa msongamano wa magari, huku magari yanayojiendesha yakiwa ardhini, chini ya ardhi na angani. Hebu wazia elimu ya ziada kujifunza kibinafsi ambayo inakuza uwezo kamili wa kila mtu katika maisha yake yote.


Hebu fikiria ulimwengu wenye nishati safi isiyo na kikomo, na maliasili kwa mataifa yote. Hebu fikiria kilimo cha kisasa zaidi na viwanda vya kiotomatiki vinavyotoa chakula na bidhaa kwa wingi vinavyomaliza kabisa tatizo la njaa na upatikanaji chakula.


Najua huu maneno haya unayosikia ni kama mistari ya wimbo wa mwanamuziki nguli mtunzi John Lennon. Lakini yote yanaweza kutokea.


Hebu subiri kwa punde waza , fikiria kwamba tunaweza kufikia mwisho wa uhaba wa kila kitu!. Kitu ambacho kimeshindikana katika hali ya ubinadamu ndani ya historia yote. Haya Yote ni ndani ya uwezo wetu. Na hapa kuna kitu kingine ambacho tunaweza kufikia. Kwa matumizi sahihi ya Akili Bandia- AI, tunaweza kuchunguza mbingu za mbali kuliko hapo awali na kupanua tunachofahamu zaidi ya sayari yetu ya bluu.


Kwa uzuri au ubaya, maendeleo ya Akili Bandia - AI yataongozwa na mataifa machache, na nchi yangu Israeli tayari iko kati yao. Kama vile mapinduzi ya kiteknolojia ya Israeli yalivyoupa ulimwengu ubunifu wa kustaajabisha, nina imani kwamba Akili Bandia AI iliyotengenezwa na Israeli itasaidia tena wanadamu wote.


Natoa wito kwa viongozi wa dunia kuja pamoja ili kuchagiza mabadiliko makubwa yaliyo mbele yetu. Lakini kufanya hivyo kwa njia ya kuwajibika na ya kimaadili. Lengo letu lazima liwe zaidi kulinda kuwa Akili Bandia- AI inaleta uhuru na sio kiduchu, inazuia vita badala ya kuvianzisha na kuhakikisha kuwa watu wanaishi maisha marefu, yenye afya, yenye tija na amani. Ni ndani ya uwezo wetu.


Na tunapotumia nguvu za Akili Bandia -AI, ngoja kwanza tukumbuke kila wakati thamani isiyoweza kubadilishwa ya ubinadamu na hekima ya mwanadamu. Hebu tuthamini na undani wa uwezo wa huruma, ambao hauwezi kuchukuliwa na nafsi ya Akili Bandia AI


Maelfu ya miaka, Musa aliwapa wana wa Israel chaguo lisilo na wakati na la ulimwengu wote. Angalieni, nimesema mbele yenu hivi leo, baraka na laana. Na tuchague kwa busara kati ya laana na baraka zinazosimama mbele yetu leo. Wacha tutumie azimio letu na ujasiri wetu kukomesha laana ya Iran ya nyuklia na kurudisha nyuma ushabiki na uchokozi wake.

Hebu tulete baraka za Mashariki ya Kati mpya ambayo itabadilisha ardhi ambayo iliwahi kuandikwa kwa migogoro na machafuko, kuwa uwanda wa ustawi na amani. Na tuepuke hatari za Akili Bandia - AI kwa kuchanganya utu, nguvu za akili ya binadamu na mashine, ili kuleta mustakabali mzuri wa ulimwengu wetu katika wakati wetu, na kwa siku zote za mbele. Asante.


*Source : FULL TEXT: Benjamin Netanyahu's 2023 UN General Assembly Speech
 
Tarehe 7 October 2023 Taifa la Israel lilikuwa linajitayarisha kuenzi ushindi wa vita vya Yom Kippur

Mmoja wa mashujaa wa vita vya Yom Kippur katika milima ya Golan, Brig. Gen. (Ret.) Avigdor Kahalani anaingia studio na kuelezea hali ilivyokuwa... ya kustukizwa kimashambulizi na maadui wa taifa la Israeli na IDF (Israel Defence Forces) ilivyoweza kujikusanya kupambana... kupata ushindi na kuwezesha mazungumzo na mikataba ya amani kufaulu ikiwemo wa Abraham Accord

Israeli hero Avigdor Kahalani on surprise Yom Kippur success


View: https://m.youtube.com/watch?v=hRWHo2Xspkk


Fast forward mpaka tarehe 7 October 2023, taifa la Israel linahitaji uongozi shupavu na wamedani kama wa akina Brig. Gen.(Ret.)Avigdor Kahalani ili kuweza kupambana na tukio la kigaidi linalofadhiliwa na makundi ya Lebanon pamoja na Iran.


HISTORIA YOM KIPPUR WAR
KWA Hisani ya ECHOLIMA wa JF:
(Makala hii ya mwaka 2013 Imehaririwa kuweza kwenda na mwaka 2023)

View: https://m.youtube.com/watch?v=25UW_hqlWXQ
Leo inatimia miaka 50 toka vita vya YOM-KIPPUR ilipopiganwa. Vita hii ilianza tarehe 06-10-1973 nchi za kiarabu zilijipanga vilivyo ili tu kurejesha ardhi zao walizopoteza katika vita vilivyovunja record ya Dunia vita vilivyopiganwa kati ya nchi za Ki-arabu na Israel kwa muda wa siku sita mwaka 1967 na majeshi ya nchi za Ki-arabu kusalimu Amri na kuacha ardhi zao za Sinai, mfereji wa Suez, milima ya Golan kutekwa na askari wao kwa mamia kupoteza maisha yao na Maelfu kutekwa.

Vita hii iliacha maumivu na makovu makubwa sana katika ulimwengu wa Kiarabu hata kupelekea nchi hizo hasa Misri na Syria kuanza mikakati ya kukomboa ardhi zao zilizotekwa na majeshi ya Israel, kwa maana Syria milima ya Ki-mbinu ya Golan ilikuwa imetekwa na kwa upande wa Misri ilipoteza Jangwa lote la sinai ikiwa pamoja na Mfereji wa Suez nchi hizi zilikuwa na machungu sana hasa ikichukuliwa kuwa nchi iliyowashinda ni ndogo sana hivyo mipango iliyofanywa mwaka 1973 ni kuzikomboa ardhi zilizotekwa baadaye kuifutilia mbali Israel katika uso wa Dunia.

Mipango ya kuivamia Israel ilipangwa ifanyike siku ya Jumamosi ambapo kulikuwa na sikukuu ya Kiyahudi inayojulikana kama YOM-KIPPUR, Siku hiyo Israel ilipata changamoto kubwa ambayo katika historia ya nchi hiyo Kivita haijawahi kutokea, maana siku hiyo Maelfu ya vifaru na Makumi elfu ya Majeshi na ndege za kijeshi zilifanya shambulizi la kushitukiza na kwa pamoja katika mipaka ya Israel ya kusini na kaskazini hii ilikuwa Ishara tosha kuwa Syria na Misri zilikuwa zinataka kurudisha ardhi zao zilizotekwa katika vita vya siku sita vya mwaka 1967.

CHANZO CHA VITA YA YOM-KIPPUR.
Baada ya Israel kushinda vita vya 1967 Israel ilipata ardhi kubwa ambayo ilipaswa kulindwa kwa gharama yoyote ili kupata Muafaka wa kisiasa kati ya nchi hiyo na nchi za Kiarabu. Kwa upande wa Misri, Israel ilichukua jangwa la Sinai na mfereji wa Suez canal hivyo Jeshi la Israel lilipata changamoto kubwa sana kulinda mpaka wote wa Sinai na Mfereji wa Suez,Majeshi ya Israel yaliweka vituo vya ulinzi vilivyojulikana kama BAR-LEV line, na kwa upande wa Syria Israel ilichukua Milima ya Golan ambayo kwa Israel lilikuwa eneo jipya lililotakiwa kulindwa kwa nguvu zote maana Ki-Jeshi lilikuwa ni strategic la kimbinu sana Maana milima hiyo ya Golan iko kwenye mwinuko kwa hiyo eneo hilo likishikiliwa na Syria ina maana Majeshi ya Syria yana Uwezo wa kumiliki Kijeshi ndani ya Israel kilomita zaidi ya 25 na wakati huohuo Israel haingekuwa na uwezo wa kupata target Shabaha nzuri kupiga majeshi ya Syria yaliyoko kwenye milima hiyo ya Golan na ndiyo maana mpaka leo Israel haiwezi kuiachia milima hiyo maana kufanya hivyo ni sawa na kujitoa MHANGA kwa jeshi la Israel,Badala yake Inataka kuirudisha milima hiyo kwa kubadilisha na AMANI na Syria ili wawekeane mkataba wa AMANI na kutoshambuliana na Israel ili iweze kupata uhakika wa kutoshambuliwa toka milima hiyo ya Golan.

Baada ya vita vya 1967 Misri na Syria zilianza kujenga majeshi yao ili waweze kukomboa ardhi zao zilizotekwa, Nchi hizo zilihitaji zana za kivita zaa kisasa ili kuweza kummaliza adui yao Israel walihitaji sana kupata silaha toka Urusi wakati huo USSR Walihitaji kupata Ndege aina ya MIG na vifaru aina ya T-62 Vilevile makombora ya kuangushia ndege aina ya SA-2,3,6 na SA-7 pamoja na silaha za kubomolea Vifaru aina ya SAGGER ANTI-TANK GUIDED MISSILES.

Kufikia mwezi October 1972 Rais wa Misri wakati huo Anwar Sadat aliwahi kuongea na makamanda wake kuhusu kuishambulia israel na ilipofikia mwezi may 1973 vyombo vya kijasusi vya Israel vilikuwa vimepata habari kuwa Misri itaishambulia Israel kupitia mfereji wa Suez Misri walikuwa wanajua kuwa kama Misri itaishambulia Israel basi Syria nayo ingejiunga na kuishambulia Israel kutokea Kaskazini. Vilevile Israel walidaganyika kuwa Misri itaishambulia Israel mara tu itakapopokea ndege aina ya MIG-23 na SCUD-D toka Urusi Jeshi la Israel lilijua kuwa Misri haijapokea silaha hizo toka Urusi hivyo iliamini Misri haiwezi kuanzisha vita hivyo kabla ya kupokea silaha hizo toka Urusi.

Mwezi May na Mwezi August 1973 Majeshi ya Misri yalifanya mazoezi makubwa ya kijeshi katika eneo la mpaka na Israel, Israel nayo ilipoona hivyo ilianza kukusanya askari wake kwa maandalizi ya vita lakini baada ya pale hakukuwa na harakati zingine za kijeshi katika eneo hilo la mpaka hivyo Jeshi la Israel liliona kuwa hiyo ilikuwa kawaida tu yaani waliona kama yalikuwa mazoezi ya kawaida tu.

Septemba 25, 1973 Mfalme Hussein wa Jordan wakati huo alikutana na waziri mkuu wa Israel wakati huo Mama Golda Meir wakati huo Mfalme Hussein alishakutana na Rais Sadat na Rais Hafiz al Assad wa Syria na alimwonya waziri mkuu wa Israel kuhusiana na kukalia eneo la Syria la milima ya Golan na Sinai eneo la Misri.

Baada ya kumalizika kikao hicho na Mfalme Hussein, waziri mkuu wa Israel pamoja na waziri wa ulinzi wa Israel wakati huo MOSHE DAYAN pamoja na vyombo vya Kijasusi vya Israel waligundua moja kwa moja kuwa Misri ingewashambulia wakati wowote.

Masaa machache tu kabla ya Misri kuishambulia Israel tarehe 06-10-1973 waziri mkuu Golda Meir na waziri wa Ulinzi Moshe Dayan na Mkuu wa utawala jeshini Gen. David Elazar kwa pamoja waliamua kuwaita wanajeshi wa anga wale wa akiba na wale wa vifaru wale wa akiba maana walijua hapo sasa vita haiepukiki.

Kabla ya vita siku hiyo majeshi ya pande zote mbili yalikuwa na zana zilizokuwa zinakisiwa kuwa hivi:

ISRAEL viz MAADUI ZAKE
  • Ndege za kivita 358 viz Ndege za kivita 998
  • Vifaru 2100 viz Vifaru 4350
  • Meli za kivita 37 viz Meli za kivita 137

Ilipofika saa nane kamili mchana majeshi ya Misri na yale ya Syria yalianza kumimina makombora kuelekea katika sehemu zilizokuwa zinakaliwa na Israel. Misri na Syria zilichagua siku ya jumanosi maana ilikuwa ni sikukuu ya kiyahudi ya YOM KIPPUR waliona siku hiyo wayahudi wote huwa wanasherehekea hivyo ilikuwa upenyo mzuri sana kwao.

Kwa upande wa Sinai majeshi ya Misri yaliweza kuvuka mfereji wa Suez kupitia sehem tano tofauti na kwa upande wa mizinga Misri iliweza kukipiga kituo cha wanaanga wa Israel waliokuwa Refidim katika jangwa la sinai na vikosi vingine vya mizinga vya Israel vilishasmbuliwa na mizinga ya Misri,na kufikia saa 11 jioni maelfu ya Wanajeshi wa Misri walikuwa wamefika upande ngambo ya pili na kulikamata eneo lote la mashariki mwa mfereji wa Suez na wakati wa usiku vikosi vya vifaru vilivuka mfereji wa Suez hapo ndipo hali ya uwanja wa vita ilibadilika kabisa kwa Israel uwepo wa askari wa miguu wa Israel na mizinga yao hakukuweza kuyasimamisha majeshi ya Misri. Division ya 252 na Brigedi ya 14 ya kikosi cha vifaru viliadhirika vibaya sana asilimia kubwa ya vifaru vyao vilikuwa vimeangamizwa na silaha aina ya SAGGER ANTI-TANK GUIDED MISSILES toka Misri.

Jeshi la anga la Israel lilipoitwa ili kudhibiti majeshi ya Misri, ndege hizo zilijikuta zinaangushwa na mizinga ya kutungulia ndege, Misri iliweza kuzitungua ndege za Israel kiasi cha kuzimalizia uwezo wa kushambulia na baada ya kujipanga vizuri na kujua namna ya kukwepa makombora ya kuangushia ndege aina ya SA-7 ndege za Israel ziliweza kuziangamiza helcopter zilizokuwa zimebeba Makamandoo wa Misri na kuweza kuzitungua ndege 7 aina ya MIG kwenye uwanja wa mapambano. Mapambano hayo yalifanyika kusini mwa mfereji wa Suez ndege hizo ziliangushwa na ndege za Israel aina ya PHANTOM.

Kwa upande wa milima ya Golani majeshi ya Syria yaliweza kusonga mbele huku mizinga na vifaru pamoja na askari wa miguu waliweza kumiminia mizinga, risasi majeshi ya Israel kwa saa nzima mfululizo wakati huo Israel ilikuwa na Brigedi mbili za vifaru Division ya 36th ndiyo ilikuwa mstari wa mbele na Brigedi 188th nayo ilikuwa na jukumu la kulinda sehemu ya kusini ya mlima wa Golani na Brigedi ya 7th ilikuwa na jukumu la kulinda sehemu ya kaskazin mwa mlima Golan hivyo vifaru vya Israel havikuweza kuvishambulia vikosi vya Syria sababu havikuwa kwenye RANGE ya kuweza kushambuliwa.

Mapigano ya vifaru yalianza tu siku hiyo baada ya jua kuzama majeshi ya Syria yaliweza kupenya ngome za Majeshi ya Israel kwa kuwa walikuwa wanatumia NIGHT-VISION viona usiku hivyo vilisaidia sana majeshi ya vifaru vya Syria vifaru vya Israel vilivyokuwa upande wa kaskazini havikuweza kufua dafu mbele ya vikosi vya Syria,vifaru vya Syria viliweza kushika sehemu ya kusini mwa mlima Golan na ilipofika asubuhi ya tarehe 07-10-1973 vifaru zaidi ya 600 vilikuwa vimeingia ndani ya ardhi ya Israel na vilikimbilia kwenda kulishika Daraja mhimu la nto Jordan na kambi ya kijeshi ya Nafar,Israel pia ilipoteza mlima wa HELMON ambao ulikuwa wa kimbinu strategic nao uliangukia mikononi mwa majeshi ya Syria hili lilikuwa pigo kubwa kwa majeshi ya Israel.

Kwa upande wa majini majeshi ya Israel yaliweza kuziangamiza boat zilizokuwa zinabeba makombora za Syria na miji yote iliyokuwa inazunguka milima ya Golan wakazi wake waliondolewa na majeshi ya Israel.

Na baada ya siku 18 Majeshi ya Israel yaliweza kujijenga upya na kuchukua tena eneo lote la milima ya Golan na mlima Hermon. Hali hiyo ilitokana na Jenerali Ariel Sharon wa jeshi la Israel IDF kuweza kujipenyeza katikati ya majeshi ya Misri na kusababisha askari zaidi ya 30,000 wa Misri kujikuta wakiwa sehemu isiyo na maji ya kunywa kutokana ya kuwa wapo ktk jangwa lisilo na oasis chemichemi ya maji. Jenerali Sharon akawapa siku 3 wanajeshi hao wa Misri wajisalimishe ama sivyo kupitia agizo la waziri mkuu wa Israeli Golda Meir, jeshi la Israeli litawaangamiza na kutatengeneza jeshi wa wajane 30,000 watakaolia na kusaga meno Misri.

Na Ikabidi rais Sadat wa Misri kuokoa uwezekano wa dhahiri kuwa vifo vya askari 30,000 wa Misri vitasababisha dhahama kubwa ya kisiasa nchini Misri atoe tamko la kusitisha vita na pia kuitambua Israel kama ni taifa halali na hivyo kumuachia msala rais Hazif al Assad wa Syria apigane mwenyewe kitu kilichopelekea Syria kupoteza milima yake ya Golan ...... Source : Vita vya yom-kippur kati ya Israel na waarabu 1973-1
 
Wana Israel toka vyama tofauti waja pamoja kupanga mkakati kulinda taifa
Brid. Gen.(Ret.)Avigdor Kahalani ili kuweza kupambana na tukio la kigaidi linalofadhiliwa na makundi ya Lebanon pamoja na Iran.

JESHI LA ISRAELI LAANGAZA MACHO KASKAZINI, KUTOKANA UWEZEKANO WA MASHABULIZI

Mpaka wa kaskazini wa Israel unaopakana na nchi ya Lebanon, majeshi ya Israeli yako katika hali ya utayari kupambana na mamluki waliopo Lebanon wanaofadhiliwa na mgongo wa Iran


View: https://m.youtube.com/watch?v=PWkW3AGc1U0
Israeli soldiers and tanks stand guard at an undisclosed location in northern Israel on the border with Lebanon.
 

Israeli army ‘looking to North’ to hedge against potential multi-front assault

By Donato Paolo Mancini in Tel Aviv

1696783233945.png

Israel’s army is “looking to the North” as it prepares for a possible offensive on multiple fronts, its chief spokesperson told reporters on Sunday.
“We are also looking to the North as well with full readiness, and we are fully coordinating with [the US Central Command],” said Israel Defense Forces spokesperson Daniel Hagari, adding that generals from both sides had spoken on Sunday “and will keep talking in the next hours again”.
“[Whoever] who attacks us all over the Middle East will face a decisive attack back,” he added.
Some fire was exchanged between the IDF and Hizbollah earlier on Sunday over the border with Lebanon

More Info :
Rear Admiral Daniel Hagari kwa undani anaelezea mipango medani ya Jeshi la Israel IDF


View: https://m.youtube.com/watch?v=umrfRNJRytQ

Join host Amir Oren for the second of a two-part interview with Rear Admiral Daniel Hagari. As a Naval Commando throughout most of his career, Hagari is the senior operations staff officer under Israel’s Navy Chief. Rising through the ranks of the Shayetet 13 Israeli Seals naval reconnaissance to ‘dive and demolish in order to disrupt and deter,’ Hagari ultimately was promoted to command this elite unit.

View: https://m.youtube.com/watch?v=4tLsmAF6Bfc
 
waziri mkuu wa Israel wakati huo Mama Gold Meir wakati

Waziri mkuu Golda Meir aliyesimama kidete kuongoza vita ya Yom Kippur October 1973

View: https://m.youtube.com/watch?v=7eDU96K_VXE
Waziri mkuu na majenerali shujaa jenerali Moshe Dayan, jenerali Ariel Sharon katika vita ya Yom Kippur, sasa imeweka katika movie documentary kutunza historia ya taifa hili kunyanyuka kupiga majeshi toka pande za Damascus na Cairo wakiwa na ndoto ya kulimaliza taifa la Israel.

Vita ya mwaka 1967 ndiyo iliyosukuma majeshi kutoka Cairo Egypt na Damascus Syria kuingia katika vita ya Yom Kippur 1973 wakijaribu kurudisha heshima baada ya kipigo cha 1967
 
Ikifika siku ya 15 israel at war tutaanza kuwasikia UN, na walokole wengine wakiomba kusitishwa kwa vita. Mi ningeomba tupate mshirika wa kuwapa Silaha pande zote kama Ukraine na RUssia. Angalau wapigane kwa muda wa mwaka mzima au miwili hata zaidi non stop.
Uchokozi utakwisha kama siio kupungua kwa asilimia 100. Keep up the fight my people! Usikubali, mpaka kieleweke.
 
Vita ya mwaka 1967 ndiyo iliyosukuma majeshi kutoka Cairo Egypt na Damascus Syria kuingia katika vita ya Yom Kippur 1973 wakijaribu kurudisha heshima baada ya kipigo cha 1967

Muhadhara wa mwanahistoria nguli msomi Mohamed Said alioutoa mwaka 2017 chuo kikuu cha State University of Zanzibar SUZA na ku-share hapa JamiiForums tarehe 6 Feb 2023:

Dalili za kuanza kuanguka kwa IDF ilianza kuonekana toka Vita Vya Yom Kippur mwaka wa 1973.

Nakuwekea hapo chini sehemu ya mada niliyowasilisha State University of Zanzibar (SUZA) mwaka wa 2017:

''Katika kitabu chake, ‘’The Road to Ramadan,’’ Mohamed Heikal anaeleza barua aliyoandika rais Hafiz Al Asad kwenda kwa rais Sadat akimsihi kuendelea na mapambano.

Hii ilikuwa baada ya Misri kusimamisha majeshi yake kusonga mbele baada ya rais Sadat kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani , Henry Kissinger.

Barua hii rais Hafiz Al Asad aliiandika kwa mkono.
Barua hii haikumbadilisha rais Sadat wa Egypt.

Kwa kitendo hiki cha kuacha mashambulizi dhidi ya Israel, majeshi ya Syria yakalazimika kupigana na Israel bila ya mshirika wake Misri na hii ikatoa ahueni kubwa kwa Wayahudi na matokeo yake ikawa Israel kunusurika.

Inasemekana kwa usaliti huu ndipo vijana wa Ikhwan Egyptian Islamic Jihad ndani ya jeshi la Misri wakampitishia fatwa ya Sadat kuuawa na hakika hilo likafanyika mwaka wa 1981.

Mwaka wa 1991 nikiwa ''transit'' Cairo Egypt nikielekea London, nilifika Heliopolis moja ya vitongoji vya mji nikaona kuna mnara kajengewe Sadat kama shujaa wa Vita Vya 1973.

Kitu muhimu kilichojitokeza katika Vita Vya Yom Kippur ilikuwa kule kujitokeza kwa mara ya kwanza udhaifu katika jeshi la Israel kuwa linaweza kushindika.

Baada ya vita hizi mbili (1967 na 1973) Wapalestina walifanya kile kilichokuja kujulikana kama Intifada kati ya mwaka 1987 – 1993 kisha mwaka wa 2000 – 2005.

Intifada ilidhihirisha kwa Wayahudi kuwa mapambano dhidi yao kutoka kwa Wapestina bado yangalipo na hayatakoma.
Vita iliyokuja kumaliza kile kilichokuwa kimeaaminika na dunia kuwa Wayahudi hawawezi kushindwa katika vita, ni vita vya mwaka wa 2006 kati ya Hizbullah na Wayahudi.

Vita vilipoanza fikra za wengi katika nchi za Kiarabu zilirejea katika Vita Vya Siku Sita vya mwaka wa 1967 na wengi waliamini kuwa Hizbullah watamalizwa kwa muda mfupi kwa kusagwasagwa na Israel.
Hili halikutokea.

Vita vilipiganwa kwa siku 34 katika mwezi wa Julai na Agosti hadi pale Umoja wa Mataifa ilipoingia kati na kuweka makubaliano ya kuweka silaha chini na kumaliza vita.

Wayahudi kwa mara ya kwanza katika historia ya mapambano yao na Waarabu walionekana katika stesheni nyingi kubwa za televisheni duniani wakirudi Israel kutoka uwanja wa mapambano wameinamisha chini vichwa vyao.

Israel ilikuwa kwa mara ya kwanza imeonja kipigo katika vita.

Hapakuwa na shamrashamra ziliyozoeleka za ushindi dhidi ya majeshi ya Kiarabu.

Hizbullah ilikuwa imevunja, ‘’myth,’’ ile fikra ya kuwa Wayahudi hawawezekani.
Hassan Nasrallah kiongozi wa Hizbullah alikuwa akiuliza wakati wa vita, ‘’Wako wapi askari wa Kiyahudi mbona hatuwaoni katika uwanja wa vita?

Tunachoshuhudia ni ndege za Kiyahudi wakipiga mabomu nyumba za raia.’’
Baada ya vita, ilipofika wakati wa kubadilishana mateka Wayahudi walipata fadhaa zaidi pale walipokuwa wao wanapokea majeneza ya askari wao waliouliwa vitani Israel ikiwaachia huru askari hai wa Hizbullah.''
20170618_112606.jpg

Wanafunzi wa SUZA wakifuatilia mhadhara

Source : IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!
 
7 October 2023

TV7 Israel Watchmen Talk Brigadier-General Itai Brun, - Air Force, Military Intelligence (part 1)


View: https://m.youtube.com/watch?v=gmV_HjN8l78
Brigadier-General Brun now in the Reserves, talks about the art and craft of Intelligence, the road from a raw report to a finished product, warning and surprise, the relationship between IDF Intelligence and various consumers - Chief of General Staff, Defense Minister, Prime Minister, Commanders - as well as with fellow organisations such as Mossad and SHABAK.

Brun, with theory based on practice and analysis, also distinguishes between various forms of problems, such as “mysteries” as distinct from “riddles” or mere “secrets”. Finally, he shares his view on the most painful of Intelligence failures in Israel’s history, the combined Egyptian-Syrian attack on Yom Kippur 1973, and whether the political, military and intelligence echelons are now immune from another such surprise.

Then, After Israel’s Air Force has revamped its Intelligence Division, following serious shortcomings in the 1973 war, some of the IDF’s best thinkers and planners came up through the ranks to senior Air Force Intelligence positions and then transitioned to broader capacities on the General Staff. Itai Brun moved up from Air Force Intelligence’s Chief of Research and Assessment to the same duty in the Directorate of Military Intelligence staff, reporting to the highest Cabinet and Defense authorities. Between the two jobs he revived a dormant IDF think tank whose primary mission was to prepare up-and-coming General Officer

Source : TV 7 Israel News
 
Maoni toka Tel Aviv

Kushindwa kwa ukubwa usiofikirika kulikofanywa kubaya zaidi na ombwe la uongozi


Mtu yeyote mwenye akili timamu angeweza kuona kwamba msiba ulikuwa karibu na nyumbani hivyo kupiga kelele. Waziri wa ulinzi alifanya hivyo na akafukuzwa kazi (kisha akarejeshwa kwa maandamano ya mitaani), na mkuu wa majeshi na wakuu wa mashirika ya usalama walifanya hivyo, lakini waziri mkuu hakutaka kusikia.

Kutoka matanga ya misiba na maafa ya hivi majuzi yaliyoikumba Taifa la Israel, inazidi kudhihirika kuwa idadi kubwa ya waliofariki, waliojeruhiwa na waliotekwa nyara ni kipengele kimoja tu cha maafa hayo. Kinachotisha vile vile ni kina cha kutokuwa na uelewa wa habari za tahadhari miongoni mwa baadhi ya idara nyeti muhimu zaidi za taifa la Israeli, ambayo yalishikwa yamesinzia yalipowekwa kwenye mtihani wa majukumu yao ya kuhakikisha usalama wa nchi na raia.

Katika siku mbili zilizopita, Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) limekabiliwa na changamoto kubwa katika wigo kadhaa: kuunda picha halisi ya kina na ya wazi ya jinsi ya uendeshaji operesheni fagia adui; kuteketeza vikosi vya magaidi ili kupata safu za ulinzi ambazo zingeruhusu majeshi kupingana; kuwahamisha raia kutoka vijiji vya kibbutz za mpaka wa Gaza ili eneo hilo liwe rahisi kutumika kwa operesheni za kijeshi ; na kuziba kabisa mianya ya kupenya maadui mpakani kati ya Gaza na Israeli. Kwa bahati mbaya, kazi hizi zimeonekana kuwa ngumu zaidi kuliko ilivyotarajiwa.


Matokeo yake , operesheni za kibinafsi za askari jeshi kujitolea kama shujaa 'rambo' mmoja mmoja zilichukuliwa, baadhi yao kwa kutumia jeshi la akiba. Askari wa akiba Meja Noam Tivon, ambaye alienda pekee yake na kujiunga na vikosi vya Maglan kuokoa familia yake kutoka Kibbutz Nahal Oz, ni mfano mmoja tu. Jozi ya maafisa wa usalama wa wa taifa maarufu kama Shin Bet waliokuwa hawapo zamu waliokwenda kusini wakiwa na silaha na kujikuta katika makabiliano mbalimbali wakati wa usiku, wakati mwingine wakiwa peke yao dhidi ya magaidi, ni mfano mwingine. Kulikuwa na dazeni, labda mamia, ya kesi na hadithi zinazofanana, ambapo pamoja na ushujaa na ujasiri, pia kulikuwa na kutokuwepo kwa mpangilio wa kiuongozi wa kijeshi katika usimamizi wa jambo hilo la ghafla, jambo ambalo lilichangia matokeo mabaya.


Kwa mfano ili kuweza kupata picha halisi : Katika siku ya kwanza ya makabiliano na magaidi , kikosi cha makomando wa jeshi la anga - Shaldag kilipoteza wanajeshi wengi wikendi hii kuliko katika historia yake yote; kitengo cha ujasusi cha Sayeret Matkal kilipata hasara kubwa, pia kitengo maalum cha kukabiliana na ugaidi cha Polisi wa Israeli na vitengo vingine vya wasomi. Wote walionyesha ushujaa na juhudi lakini walijikuta wamezama mstari wa mbele kabisa katika vita, wakati mwingine kwa saa nyingi, bila idadi sahihi ya watu wala vifaa vya mapambano vya kutosha .


Na hiyo, labda, ndio kiini cha maafa yaliyopatikana . Hata kabla ya kugusa dhana ni kuwa ilikuwa uvamizi wa kustukiza au kukosa taarifa za kiintelejensia, hapa suala kubwa ni kuta za ulinzi kutofaulu kuzuia magaidi kujipenyeza . Na zaidi inafahamika kwamba si jambo la ajabu safu ya ulinzi hufanikiwa kuvunjwa kila wakati na Hamas, ila jeshi la Israeli - IDF linaweza kushangazwa na wakati gani katika siku 365 za mwaka safu ya mpaka ukuta utavukwa, lakini sio kwa njia gani .

Kwa miaka mingi, Hamas imekuwa na mazoezi ya kujipenyeza kuvuka safu za mpaka kufikia kwenye makazi, kuua raia, na kuwateka nyara wanajeshi huko Gaza, na kwa miaka mingi, IDF imekuwa ikifanya mazoezi utayari na sahihi jinsi ya kukabiliana na hali hii. Kwa tukio hili na kwa haraka , IDF ilistukizwa : mpaka ulivukwa kwa urahisi katika maeneo kadhaa, na Hamas haraka ikaharibu mfumo mzima wa kisasa uliofungwa wa ulinzi wa mpaka na kukamata askari wote wa utambuzi , ikadhibiti makao makuu ya Kitengo cha ulinzi wa Gaza, na kuendelea kutekeleza majukumu yake. kupanga kuangamiza makazi na jamii.

Hamas walisoma hali ya mazingira mpakani kwa ukamilifu. Ilichukua hatua siku ya Jumamosi, siku ya mapumziko ya likizo ya sikukuu, alfajiri asubuhi na mapema wakati vikosi vingi vilikuwa vimepumzika, na wakati eneo la mpaka lilikuwa na watu wengi, wakiwemo wasafiri wengi, pamoja na maelfu walioshiriki katika tamasha la muziki kubwa ambayo iligeuka kuwa mtego mbaya. Pia ilichukua fursa ilipoona vikosi na zana za kijeshi za IDF zilipohamishiwa kutoka mpaka wa Gaza kwenda Ukingo wa Magharibi, ambao walitumwa kuimarisha usalama huko. Lakini hii ndiyo asili ya adui mshambuliaji : Hupata mahali pa laini na hupiga. IDF, ambayo ilipaswa kuwa macho kwa haya yote, lakini ilikuwa katika usingizi wakati safu ya ulinzi ya kutisha iliyokuwa imeijenga ilipohamishwa.

Vigogo wa ngazi za Juu safu za usalama na kisiasa nchini Israel, walishindwa kuelewa, au walielewa lakini walishindwa kutafsiri kwa vitendo, kwamba umma wa Israeli na pia katika Mashariki ya Kati na ulimwenguni walikuwa wakifuatilia kwa karibu kile kinachotokea kwa mchanganyiko wa wasiwasi, hasira, wakitegemea hatua thabiti kujibu mapigo ya kutia adhabu ya mfano zingechukuliwa kwa uharaka . Tofauti na Vita vya Yom Kippur, ambapo Israeli ilipata mshtuko lakini mara moja ikajipanga upya, wakati huu Israeli haikuweza kujiinua haraka kutoka sakafuni baada ya kupokea kipigo .

Lakini kilichotokea kilianza saa 06:30 Jumamosi tareke 7 October 2023 asubuhi kina wazazi wawili. Moja ni dhana potofu ambayo Israeli ililewa, na nyingine ni idara zake za kijasusi. Vumbi litakapotulia na uchunguzi kuanza, itadhihirika kwamba kulikuwa na dalili nyingi za maandalizi, mafunzo, uimarishaji wa ngome na uchochezi kwa upande wa Palestina, lakini yote haya hayakutafsiriwa kwamba penye moshi unaofuka basi miali ya moto itafumuka ikimaanisha haraka chukua "tahadhari."
 

Endgame in Israel​


Professor Sam Vaknin
Professor Sam Vaknin

Professor Sam Vaknin​

Former Visiting Professor of Psychology (SFU) &…​

Published Oct 9, 2023

By: Sam Vaknin, Brussels Morning
On Saturday, October 7, 2023, a Jewish holy day, more than 1000 Palestinian fighters, affiliated with Hamas, penetrated the security wall (fence) from the Gaza Strip and entered the territory of the State of Israel. They also landed from the sea and a few paraglided into Israeli territory.
They took over several villages and towns, killed about 700 Israelis, most of them civilians, including women and children, and abducted more than 130 Israelis, both military personnel and civilians, including children. Another 2,400 are wounded, about 400 of them in critical condition.

At the time of writing, 48 hours later, some of the infiltrators are still within Israels’ territory and in control of several townships.

The whole campaign was accompanied by volleys of thousands of rockets that overwhelmed Israel’s defense system, Iron Dome and caused damage in multiple major cities, including Tel-Aviv, Ashkelon, and Jerusalem.

There was a massive failure of Israeli preemptive intelligence and of the military response once the incursion commenced.

The official reason given by Hamas for the “al-Aqsa Flood” military campaign, is the growing number of Jewish visitors to the al-Aqsa mosque, a Muslim holy site in Jerusalem.

The true reasons are:
1. The decline in the popularity of Hamas within Gaza and the West Bank owing to egregious failures of governance, growing internecine violence, and corruption of its officials; and
2. The imminent normalization of Israel’s relations with the rest of the Arab world - including, soon, with Saudi Arabia - at the expense of the overlooked interests of the Palestinians.

Hamas wants to burnish its credentials as an organization that is fighting for the liberation of Palestine from the Israeli much-hated occupation and, at the same time, restore the Palestinian problem as the main item on the agendas of Middle Eastern, Arab, Muslim, and US politics.
Similar to al-Qaeda and ISIS before it, Hamas deployed and depleted all its assets in one last desperate and self-destructive convulsive attempt. It will not be able to repeat this operation, even if it were to survive.

Hamas intends to use the hostages as human shields and then trade them for Palestinian militants held in Israeli prisons. Executions of hostages can also serve to sway public opinion and to score tactical goals in negotiations with Israel in the future.

Hezbollah in Lebanon has already rocketed targets in Northern Israel, but it was a limited and symbolic attack. Remarkably, there were also no major disturbances in the West Bank or inside Israel. Fatah, the main political movement in the West Bank, must be delighted with the self-immolation of its archenemy, Hamas.

If Israel were to maintain the proportionality of its reaction, the conflict will remain contained.
But, if Israel were to try to reconquer the Gaza Strip and eradicate Hamas, it will find itself at war with all the Palestinians, wherever they are - as well as with Iran and, possibly, Russia. Another outcome could be terrorist attacks in Europe on Jewish targets.
It all depends on Israel’s self-control and statesmanship now. The answer to terrorism should never be state terrorism.

Israel will cleanse the last remaining cells of Palestinians fighters within its territory and then invade the Gaza Strip after heavy aerial bombardments. This war is going to last weeks or months.
Israeli society has never been more divided and polarized: over the anti-democratic judicial reforms pushed by the criminally indicted Prime Minister Netanyahu and his corrupt and extremist allies; over the mushrooming political power of the ultra-Orthodox Jews; over the military; over income inequality and the unsustainable cost of living; over left vs. right; over the never-ending conflict with the Palestinians; and over many more issues of identity and values.
This war will unite the Israelis in the very short-term: a government of national unity is already in the works. But then it will serve to divide Israel and break it apart as the lessons of this surprise attack are learned. Israel is headed to a slow-motion internecine civil war. Its very survival is at risk.
In the process of this soul-searching and power play, Israel will become a way more authoritarian polity, militarized, and ostracized. This siege mentality will result in rogue actions by Israel throughout the oil-rich region. An era of extreme danger is upon us all, wherever we may be.

Sam Vaknin, Ph.D. is a former economic advisor to governments (Nigeria, Sierra Leone, North Macedonia), served as the editor in chief of “Global Politician” and as a columnist in various print and international media including “Central Europe Review” and United Press International (UPI). He taught psychology and finance in various academic institutions in several countries
 
14 October 2023
From Undisclosed location

Waziri mkuu Benjamin Netanyahu atembelea mstari wa mbele kuwapa morali askari wa Israel wanaopambana na magaidi wa Hamas

View: https://m.youtube.com/watch?v=Q9UJpBhhnVw

Waziri mkuu Benjamin Netanyahu


Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Mh. Benjamin Netanyahu afika mstari wa mbele kuongeza ari na morali ya wanajeshi wa taifa lake, akionyesha uungaji mkono wake usioyumba na kuwatia moyo wanaume na wanawake wanaohudumu katika vikosi vya ulinzi vya Israel.

Katika kuonyesha uongozi na mshikamano, ziara ya Netanyahu ililenga kuwasilisha ujumbe mzito kuwa serikali inatilia maanani dhamana kubwa waliopewa wanajeshi kubeba jukumu la kuhakikisha usalama na ustawi wa taifa.

Ziara kama hizo sio tu za kiishiria bali pia hutumika kama njia ya kivitendo ya kukuza uhusiano thabiti kati ya uongozi wa kisiasa na jeshi, na kutilia mkazo umuhimu wa ulinzi na usalama wa taifa.

Kuwepo kwa Netanyahu katika kambi za kijeshi kunadhihirisha nafasi muhimu ya Jeshi la Ulinzi la Israel katika kulinda maslahi ya taifa na kudumisha amani na utulivu katika eneo ambalo lina changamoto na matatizo yanayoendelea

Israeli Prime Minister Netanyahu Visits Troops for Support and Encouragement


View: https://m.youtube.com/watch?v=QN4hODGX1-s
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu embarked on a visit to boost the morale of his nation's troops, demonstrating his unwavering support and encouragement for the men and women serving in Israel's defense forces. In a display of leadership and solidarity, Netanyahu's visit aimed to convey a strong message of support to the military personnel tasked with ensuring the security and well-being of the nation. Such visits are not only symbolic but also serve as a practical means of fostering a strong connection between the political leadership and the military, reinforcing the importance of national defense and security. Netanyahu's presence at military bases underscores the critical role of the Israeli Defense Forces in safeguarding the nation's interests and maintaining peace and stability in a region marked by ongoing challenges and complexities
 
17 October 2023
Tel Aviv, Israel


Joe Biden kuwasili Israel, Pia kutembelea nchi za Jordan na Egypt



View: https://m.youtube.com/watch?v=5Hdv-JXwdBU

Rais Joseph R. Biden, Jr. atasafiri hadi Israel siku ya Jumatano, Oktoba 18, 2023 kuonyesha uungaji mkono wake thabiti kwa Israeli katika kukabiliana na shambulio la kikatili la kigaidi la Hamas na kushauriana juu ya hatua zinazofuata," katibu wa habari wa Ikulu ya White House Karine Jean-Pierre alisema. katika taarifa.



"Rais Biden kisha atasafiri hadi Amman, Jordan, ambako atakutana na Mfalme Abdullah, Rais wa Misri Abdel Fattah el-Sissi na Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas," aliongeza. "Atasisitiza kwamba Hamas haisimamii haki ya watu wa Palestina ya utu na kujitawala na kujadili mahitaji ya kibinadamu ya raia huko Gaza."

President Joseph R. Biden, Jr. will travel to Israel on Wednesday, October 18, to demonstrate his steadfast support for Israel in the face of Hamas’s brutal terrorist attack and to consult on next steps," White House press secretary Karine Jean-Pierre said in a statement.

"President Biden will then travel to Amman, Jordan, where he will meet with his Majesty King Abdullah, Egyptian President [Abdel Fattah el-Sissi], and Palestinian Authority President Mahmoud Abbas," she added. "He will reiterate that Hamas does not stand for the Palestinian people’s right to dignity and self-determination and discuss the humanitarian needs of civilians in Gaza."
 

German chancellor lands in Israel ahead of meetings with PM, president​

Today, 4:48 pm 0
German Chancellor Olaf Scholz (left) arrives in Israel on October 17, 2023, and is greeted by Foreign Minister Eli Cohen (right). (Shlomi Amsallem/Foreign Ministry)
German Chancellor Olaf Scholz (left) arrives in Israel on October 17, 2023, and is greeted by Foreign Minister Eli Cohen (right). (Shlomi Amsallem/Foreign Ministry)
He is greeted at the airport by Foreign Minister Eli Cohen, who welcomes him on “this important visit, which proves that Germany stands by the State of Israel and supports its struggle for the safety of its citizens.”

More info :
Earlier before today's trip to Israel, the chancellor on 12 October 2023 urged Palestinian President Mahmoud Abbas to clearly condemn the Hamas

German Chancellor Olaf Scholz has urged Palestinian President Mahmoud Abbas to clearly condemn the Hamas attacks on Israel, calling his silence so far "shameful."In a speech to the German parliament, Scholz also pledged his support for Israel, saying Germany's "only place" right now is at Israel's side. He said Israel must have the capacity to defend itself, adding that the terrorist group Hamas offers only poverty and misery for the Palestinian people in Gaza.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Qjvi1JD_OsE&pp=ygUdT2xhZiBTY2hvbHogYXJyaXZlcyBpbiBJc3JhZWw%3D
 
Back
Top Bottom