It's high time ule uzi wa Rick boy wa kula tunda kimasihara ufutwe, kuna uwezekano mkubwa baba wa mtu akasimulia alivyomla kimasihara mama wa mtu, mtoto akazaliwa alafu mtoto mwenyewe akaja kulike na akamwomba mzee wake aongezee nyama nyama ili stori iwe nzuri na tamu sababu imemnogea na asijue kwamba yeye anaeomba nyama ziongezwe ndio matokeo ya ushenzi ule.... Nlishawah kusema kuna uwezekano huku jf wewe na X wako mnapendanda mapenzi moto moto ila kiukweli in real life mli achana kwa kushikiana hadi visu na mapanga, kuna uwezekano ukamtongoza mwanamke uliewah kumblock na hutaki kumsikia...acha kabisaa if.. .