Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Uwe na heshima na pisi za humu. .. alaa.
Ila unaposema ume uninstall app yenyewe naanza kuwaza BICHWA KOMWE - sijamwona md mref. ....Anaweza kuwa ndo bi mkubwa etu MWAMBA. 😐😐
 
Uwe na heshima na pisi za humu. .. alaa.
Ila unaposema ume uninstall app yenyewe naanza kuwaza BICHWA KOMWE - sijamwona md mref. ....Anaweza kuwa ndo bi mkubwa etu MWAMBA. 😐😐
Bichwa yupo bana na kajibu na comment..
We unajiskiaje kusema bi mkubwa wangu ni bichwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Wewe bichwa ukija tu humu kunanuka mavi ghafla hapa namwaga bia
Acha maneno yako..
Unaposema hvo ni kama unamkumbusha huyo..
Leo kaja ki starabu mbona πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bichwa yupo bana na kajibu na comment..
We unajiskiaje kusema bi mkubwa wangu ni bichwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ


Japo hatufahamiani sura humu JF. Ila
Kuna watu unawaona ni vichaa Hadi unawakubari.(Yan Wana enjoy maisha yao)

Ila sema nijuavyo Mimi ni kuwa kwenye jamii huko nje wanaweza kuwa ni watu wa heshima zao kabisa . Na hawana ujinga as hawapo huru Kama hapa ndani.
 
Japo hatufahamiani sura humu JF. Ila
Kuna watu unawaona ni vichaa Hadi unawakubari.(Yan Wana enjoy maisha yao)

Ila sema nijuavyo Mimi ni kuwa kwenye jamii huko nje wanaweza kuwa ni watu wa heshima zao kabisa . Na hawana ujinga as hawapo huru Kama hapa ndani.
Ndo useme BICHWA KOMWE - nje ya jf ni mtu na heshima zake πŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Bichwa huyu huyu an bichwa akifika kwenye uzi tuu jua hapo kuna vtu vitabadilika
 
Back
Top Bottom