Naona yupo poa tu anachangamsha kijiwe sanaMkorofi sana...
An akili za bichwa sio za kufananisha na mtu yoyote katika ukoo wetu
We unawezaHamna mkuu irudishe app yake na ufatilie ujue anatumia ID gani na mada anazowasilisha..... Utajua vingi
Bichwa si unamjuaNaona yupo poa tu anachangamsha kijiwe sana
Wewe tabia mbaya hiyo 🙌🙌😂We acha tu.
Mitandao hii ina mambo sana.
Mimi niliwahi kutongozwa na bamdogo Fb kwa akaunti yangu feki.
Nilimlia pesa mwanzoni, alipotaka kuonana nami nikamlima block
Mkuu hi noma sana..Una maana ya mama yako mzazi au Mama Samia Rais na kiongozi wetu.
Kama ni Rais mbona hakuna shida, lazima yupo kupata mrejesho wa wananchi.
Kama ni mama yako, inategemea labda unamchukulia mshamba (ignorant) flani hivi. Lakini sasa ujue hayupo kama umdhaniavyo.
We jamaaa takutukana sio mda 😂🙌🙏Mtoto wa bata ni bata tu jinsi wewe ulivyo ,hata wazazi wako ndivyo walivyo, ukute hata I'd yake ni hii ya Mshangazi dot com
Najua ni tabia mbaya ila kwenye suala la pesa mie niko moto sana aisee.Wewe tabia mbaya hiyo 🙌🙌😂
Hakuna nisiye mjua humu au kwa sababu huwa nasomaga tu na kupita ndio iwe sababu ya mimi kutowajua😅😅😅Bichwa si unamjua
Potezea tu kwa sababu mimi ni duka la matusi ukiniparamia vibaya.We jamaaa takutukana sio mda 😂🙌🙏
Duuh sasa mbona hatareee hiyo..Najua ni tabia mbaya ila kwenye suala la pesa mie niko moto sana aisee.
Mbaya hiyo...Potezea tu kwa sababu mimi ni duka la matusi ukiniparamia vibaya.
Kweli bichwa ndio awe bi mdashi...Hakuna nisiye mjua humu au kwa sababu huwa nasomaga tu na kupita ndio iwe sababu ya mimi kutowajua😅😅😅
Hatari sanaWe acha tu.
Mitandao hii ina mambo sana.
Mimi niliwahi kutongozwa na bamdogo Fb kwa akaunti yangu feki.
Nilimlia pesa mwanzoni, alipotaka kuonana nami nikamlima block
Mi staki bi mdashi awepo humu mkuuHutaki iwe hivyo au hupendi iwe hivyo, embu fafanua kidogo!
Wenzake wa 70+yrs old tupo humu na ninyi tukihangaika, kwani shida iko wapi?
Na ukianza tu ubaguzi wa umri mwisho wa siku utakuja kujinyanyapaa wewe mwenyewe na habari yako itaishia hapo.
Basi kama ulikuwa unamchukulia mama poa basi usimchukulie tena poa.Mkuu hii ya leo imenistukiza ujue...
Yaani kwanza kukutana na mtu tuu wa jf humu inakuaga mara chache sana..
Alafu pap nakuta bi mdashi ana app
Jau tupuHatari sana
Possible lolote linaweza kutokea kama ulimfuma na hii app .Kweli bichwa ndio awe bi mdashi...