........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

best nilijua tu hautonitupa.
ila umesahau kitu kimoja tuuuu. kwani prawns hazifai kufuturu jamani?:help::help:
:love: Ntakuja na ndimu na pilipili mbuzi
...Futari ya ndizi mzuzu, mbaazi za nazi, tambi za kukaanga, chapati kwa mchuzi wa kuku, uji wa pilipili manga na chai ya maziwa, vitumbua bila kusahau tende 🙂🙂 Pumzi yako tu Best.

 
  • Thanks
Reactions: BAK
mdogo wangu hizi zangu za kutoa makavu live hauziwezi. niachie mwenyewe. uzuri nikikunjiwa ngumi nnazo mbio za kunitosha hadi uchaguzi ujao. wewe na mwendo wako wa twiga mmm.
afu nishafukuzwa hapa, dah
........................Hahahah why? Hata nikileta za Da King'asti hapa? Yaani nimwambie soulmate Mbu kuwa hata akizikiri uchi, funguo zishatupwa baharini na zikamezwa na nyangumi asovuliwa? Hutonipa red card weye?
 
Prawns zinafaa pia kuwemo katika kundi la futari...limau na pilipili mbuzi vyote vitakuwepo 🙂🙂 Naona Mbu baada ya kufuturu kaenda msikitini au ndio kaamua kuingia mitini mitaa hii mpaka futari ishuke.


best nilijua tu hautonitupa.
ila umesahau kitu kimoja tuuuu. kwani prawns hazifai kufuturu jamani?:help::help:
:love: Ntakuja na ndimu na pilipili mbuzi
 
Last edited by a moderator:
mpenzi si unanijua tena? afu uje na kuku nikupikie manake nimekumisi balaa. ila uje na babu Dark City ili ahakikishe hatuiongelei hii kesi manake mie nitamalizia jajimenti mkononi kama polisi wetu

Hahahahaha we Da Mkubwa Kiboko, yaani badala ya kunialika unipoze machungu ya swaumu weye wanialika kasha wataka nigharamie? Hahahahha nakujua huo ugwadu utakaonijaza kichwani mbona ntajuta kwa nini nimekuja!! Babu DC akija ndio kabisaaaaa ntatoka niko :A S confused:
 
mdogo wangu hizi zangu za kutoa makavu live hauziwezi. niachie mwenyewe. uzuri nikikunjiwa ngumi nnazo mbio za kunitosha hadi uchaguzi ujao. wewe na mwendo wako wa twiga mmm.
afu nishafukuzwa hapa, dah
................Na kweli mwaya, hebu njikalie kimya mie
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
the thread of threads........

yaani Mbu katika mabandiko yako yoote...ya mwaka huu wa 2013...hili ni bandiko la kiutu uzima

sasa ebu nambie :A S-key::A S-key::A S-key: umepata ile master?i mean master :A S-key::A S-key::A S-key: umepata?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
the thread of threads........

yaani Mbu katika mabandiko yako yoote...ya mwaka huu wa 2013...hili ni bandiko la kiutu uzima

sasa ebu nambie :A S-key::A S-key::A S-key: umepata ile master?i mean master :A S-key::A S-key::A S-key: umepata?

.....tatizo mwenzio funguo nilopewa ni ile 'swipe card!' ....yaani hata activation yake ni via computer yenye protected password!

Card siioni, sijui nitumie hii mastercard ya BOT? Aarrgghhh!
 
Last edited by a moderator:
Prawns zinafaa pia kuwemo katika kundi la futari...limau na pilipili mbuzi vyote vitakuwepo 🙂🙂 Naona Mbu baada ya kufuturu kaenda msikitini au ndio kaamua kuingia mitini mitaa hii mpaka futari ishuke.

..... Kaka si unakumbuka baada ya salaat Taraweeh na Rakaat zake ishirini na moja unakuwa hoi?

Tena huku Uswazi kuna kijana wa ki-mombassa dot.com kweli kweli, mashallah anaivuuuuuta B-i-s-m-i-l-l-a-h-i-r......R-a-h-m-a-n-i-r....R-a-h-e-e-m.....!!!

By the time Witr inaisha, breki ya mwanzo kwa muuza juice ya miwa kushibua mabaki ya iftar then kulala kiduuuchu!?
 
Last edited by a moderator:
hapa ulimi nimeushikilia kwa vidole babu. worry out manake na mie niko biased.
kwanza hii kesi ni conflict of interest. manake mdogo wangu MwanajamiiOne, na rafiki yangu Mbu. taabu sana!

:ban::ban: Paw, naomba unizuie kuingia hapa kwa muda tafadhali

........tena King'asti nakukumbusha, rafiki ni zaidi ya ndugu.... Chonde chonde ----usiharibu mambo hapa, enheee!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom