Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
mim ni mwenyekiti.....
unajua mkuu shida yao ni moja...wanasema siku izi mioyo yao ina :A S-key::A S-key::A S-key::A S-key:
Kwani wewe siku hizi ni mwanasheria, tena advocate?
Hebu achana nao bwana...
Ukuje kwenye jopo tuokoe maslahi ya mwanamume mwenzetu...
Umesahau kwamba inauma sana kunawa halafu ukanyimwa msosi??
Babu DC!!