........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

hahahah!....

nasikia huwa wanawapa watu wao hizo :A S-key::A S-key::A S-key:....alafu wakizipokonya wanawapa 'wengine'

sasa tuanze mkutano.....ivi we Mbu ulikumbuka kuchonga :A S-key::A S-key: wa akiba?

......swahiba wangu Dark City, unaona 'statement' ya mwenyekiti Teamo, kwamba "funguo" huenda kapewa mwengine....

Unless, nilichonga spare key (sasa sijui niingilie uwani?).....ahh, bana wee, Truth Hurts....acha tu nijiimbie wimbo wa mzee Marijani Rajab (Mwanameka!)
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Imekuwaje ukarudi tena?

Posts zako nitawaomba mods wazitoe...hata kama una undungu na Paw....

Hatutaki comments za kuongelea kesi ambayo iko mahakamani....kwani umezidi sana kuingilia uhuru wa mahakama ya Babu!

Babu DC!!

Huyu King'asti huyu! We muache tu, ......
 
Last edited by a moderator:
......swahiba wangu Dark City, unaona 'statement' ya mwenyekiti Teamo, kwamba "funguo" huenda kapewa mwengine....

Unless, nilichonga spare key (sasa sijui niingilie uwani?).....ahh, bana wee, Truth Hurts....acha tu nijiimbie wimbo wa mzee Marijani Rajab (Mwanameka!)

Mbona na wewe unakubali kutishiwa nyau kirahisi??

Kwani Teamo ndiye msemaji wa mlengwa??

Halafu ukizingatia kuwa wote hatumjui anayeongelewa, why not wait hadi jopo limalize kazi yake??

Bwana wewe tuachie tufanye kazi yetu....funguo kitu gani bwana? Sie ndiyo wazee wa haya mambo, na hata ikibidi, tunaweza kuunda funguo zetu wenyewe...with 100% match..

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mbona na wewe unakubali kutishiwa nyau kirahisi??

Kwani Teamo ndiye msemaji wa mlengwa??

Halafu ukizingatia kuwa wote hatumjui anayeongelewa, why not wait hadi jopo limalize kazi yake??

Bwana wewe tuachie tufanye kazi yetu....funguo kitu gani bwana? Sie ndiyo wazee wa haya mambo, na hata ikibidi, tunaweza kuunda funguo zetu wenyewe...with 100% match..

Babu DC!!

Hahaha, tena nyau mwenyewe kama alomuimba Shilole! "Nyau wa Bar!"
Ati nyau mpaka Big G anatafuna, kha!

Haya swahiba, endelea na kikao,...
 
Last edited by a moderator:
Yaani hii thread nimejifunza kitu

MMU ile tulioizea ipo tena ipo very strong
watu naona wameamua kuwa viewers tu but ukiamua kuwatafuta wapo Mbu itabidi ujitahidi usipotee sana
manake ukipotea na wengi wanapotea...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Yaani hii thread nimejifunza kitu

MMU ile tulioizea ipo tena ipo very strong
watu naona wameamua kuwa viewers tu but ukiamua kuwatafuta wapo Mbu itabidi ujitahidi usipotee sana
manake ukipotea na wengi wanapotea...

.....si unajua sie tunashusha sredi zinazogusa kisu na mfupa? Sredi hii haina fictional characters, ipo Live and Direct kama "kitu na boksi!" lake...
 
Last edited by a moderator:
.....si unajua sie tunashusha sredi zinazogusa kisu na mfupa? Sredi hii haina fictional characters, ipo Live and Direct kama "kitu na boksi!" lake...

JF is getting younger and younger
so mkipotea watu wazima
utoto unakuwa mwingi..
sasa Mbu na MJ01 michango yenu iko so missed here
 
Last edited by a moderator:
Umekuwaje leo wewe MwanajamiiOne?

Swahiba kaongea kwa lugha yetu na sie wenzie tumeshamwelewa....hizo details ataweka mambo sawa kwenye jopo...

Ndiyo maana criteria za kuwa member wa jopo ziko very tight.....

Tena kwa jinsi mjadala unavyoenda, tunaweza kubadilisha ili iwe ni kwetu peke yetu...

Umenielewa??

Babu DC!!

..............................Hahahah Babu Dark City basi nimemute mie.......bora Soulmate wangu apate kula sikukuu vizuri.
 
Last edited by a moderator:
JF is getting younger and younger
so mkipotea watu wazima
utoto unakuwa mwingi..
sasa Mbu na MJ01 michango yenu iko so missed here
.......... The Boss, thanx am honoured kwa hiyo recognition yako. Mie mbona nipo? Ni huyu SOulmate wangu Mbu ndo alipotea but now that ame'achiwa' huko alikokuwa amefungiwa, basi tutegemee mambo mazuri na ile JF yetu tuloimiss itarudi nina imani.
 
Last edited by a moderator:
.......... The Boss, thanx am honoured kwa hiyo recognition yako. Mie mbona nipo? Ni huyu SOulmate wangu Mbu ndo alipotea but now that ame'achiwa' huko alikokuwa amefungiwa, basi tutegemee mambo mazuri na ile JF yetu tuloimiss itarudi nina imani.

I hope itarudi aisee
wewe ndo unaweza hakikisha 'anaachiwa' huko lol
 
Mbona na wewe unakubali kutishiwa nyau kirahisi??

Kwani Teamo ndiye msemaji wa mlengwa??

Halafu ukizingatia kuwa wote hatumjui anayeongelewa, why not wait hadi jopo limalize kazi yake??

Bwana wewe tuachie tufanye kazi yetu....funguo kitu gani bwana? Sie ndiyo wazee wa haya mambo, na hata ikibidi, tunaweza kuunda funguo zetu wenyewe...with 100% match..

Babu DC!!

......... Haya Babu Dark City na-teamSoulmate mie hapa. Tena mwambie kabisa kuwa wengine hukuta 'vitasa' vimebadilishwa kabisa na bado wana'rejewa' itakuwa kugawa funguo? Huyo Teamo asimkatishe tamaa Soulmate Mbu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom