........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

.......Hahahha huyu The Finest bwana hebu mwulize Teamo, ye ndo aliyekabidhiwa funguo na mafaili yote. Mara ya mwisho alionekana Ubungo Bus Stand akipanda BM kuelekea Morooo........... Da Mkubwa Maty atakuwa na taarifa zake

......ehh? Isijeikawa huyu Teamo ndio anaowang'oa kucha na meno watu.... Haiwezekani akawa anamiliki hisia za watu wengi namna hii!
Maty, kwa mara ingine inshusishwa na kupotea kwa mjumbe mwengine wa MMU, mstahiki meya The Finest, na klorokwini!
 
Last edited by a moderator:
Nipo besti...Wewe ndiyo umefichwa Mbu
Sawa tupange lini tukale ugali kwakweli🙂)

......BJ, aka BelindaJacob, najua u best wetu ni kabla na baada ya EPL, sasa kabla summer haijesha hii, nitakutafuta....

"Booonge la kifua!" ...
hahaha, haya bana. Nimemiss Paella!
 
Last edited by a moderator:
...........Huu sasa uchokozi Soulmate! Kha!! Hebu usizichokoze hisia za Enzi za ujana wangu we Mbu.

......sitting by a window tucking down peppered beef steak and washing it down with a glass of 'shiraz' au Syrah!

....admiring the cool and calmness of ngorongoro crater, huku kina dada wa kimaasai wakipita na mizigo ya kuni!....

Ahh! Jamani ndoto nyingine taaamu mpaka bhaaaas.... 🙂
 
Last edited by a moderator:
......sitting by a window tucking down peppered beef steak and washing it down with a glass of 'shiraz' au Syrah!

....admiring the cool and calmness of ngorongoro crater, huku kina dada wa kimaasai wakipita na mizigo ya kuni!....

Ahh! Jamani ndoto nyingine taaamu mpaka bhaaaas.... 🙂

.....................Hala hala usijeota tu kwa sauti maana hizi\o ndoto zako mh.......... Kuna sehemu nimeona Kamanda TIMING kaomba kuwa mshenga mh wataka kuoa taifa gani tena maana ushanga wake huy bwana si wa kitoto ati..... mie naomba tu nialikwe kwenye kula kombe,
 
Last edited by a moderator:
......... MwanajamiiOne,

Navutia kasi mwenzio usingizi wa leo, hukumbuki "kujipendelea muhimu?"

Mwenzio huku Uswazi kuna pupwe kama la........

Natamanije kuamka na milio ya ndege, vi dik dik, na magari ya watalii wakijiandaa kwenda early game drive....

Natamanije niote niote tu haka ka telemka tukaze kawe 'sita by sita' huku nimejifunika duvet gubi gubi, smelling a nice brewed aroma ya Arabica coffee beans....

Yaani,......hivi naota ee?

Badala ya kwenda kuchota maji kwa mpemba ndoo shillingi mia, ningekuwa najiandaa na warm/hot pressured shower bafuni....

Ah,.....acha nilale bana.
Nakumbukia mengi mie....
 
Last edited by a moderator:
......... MwanajamiiOne,

Navutia kasi mwenzio usingizi wa leo, hukumbuki "kujipendelea muhimu?"

Mwenzio huku Uswazi kuna pupwe kama la........

Natamanije kuamka na milio ya ndege, vi dik dik, na magari ya watalii wakijiandaa kwenda early game drive....

Natamanije niote niote tu haka ka telemka tukaze kawe 'sita by sita' huku nimejifunika duvet gubi gubi, smelling a nice brewed aroma ya Arabica coffee beans....

Yaani,......hivi naota ee?

Badala ya kwenda kuchota maji kwa mpemba ndoo shillingi mia, ningekuwa najiandaa na warm/hot pressured shower bafuni....

Ah,.....acha nilale bana.
Nakumbukia mengi mie....

Hivi swahiba wangu Mr Mbu,

Unanishauri niendelee na haya mambo ya jopo au ngoma imeshatiki hata kabla hatujatumia nguvu nyingi.....

Haki ya nani, ndiyo maana maji hayachemki milele...lazima yatapoa tu...lol!!

Cc: Teamo, King'asti, Maty...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
......... MwanajamiiOne,

Navutia kasi mwenzio usingizi wa leo, hukumbuki "kujipendelea muhimu?"

Mwenzio huku Uswazi kuna pupwe kama la........

Natamanije kuamka na milio ya ndege, vi dik dik, na magari ya watalii wakijiandaa kwenda early game drive....

Natamanije niote niote tu haka ka telemka tukaze kawe 'sita by sita' huku nimejifunika duvet gubi gubi, smelling a nice brewed aroma ya Arabica coffee beans....

Yaani,......hivi naota ee?

Badala ya kwenda kuchota maji kwa mpemba ndoo shillingi mia, ningekuwa najiandaa na warm/hot pressured shower bafuni....

Ah,.....acha nilale bana.
Nakumbukia mengi mie....

Wajua mie nacheka nini Soulmate? Naona mwenyekiti wa jopo la "Saidia Mbu ashinde" Mzee Dark City kaishiwa vitamkwa, ye anahangaika na vi'like' tu vya Mubyazi humu ndani. Loh ngoja nkajiandae kushangilia maana naona mshindi wa kesi yako Mbu ashapatikana lol..............
 
Last edited by a moderator:
.....................Hala hala usijeota tu kwa sauti maana hizi\o ndoto zako mh.......... Kuna sehemu nimeona Kamanda TIMING kaomba kuwa mshenga mh wataka kuoa taifa gani tena maana ushanga wake huy bwana si wa kitoto ati..... mie naomba tu nialikwe kwenye kula kombe,


Unajua nini MwanajamiiOne,

Siamini macho yangu....

Yaani watu wanaanza safari ya mbugani na kutuacha tukihangaika na jopo??

The good thing, ni kwamba yote ni mema...lengo linakaribia kutimia...liwalo na liwe..!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hivi swahiba wangu Mr Mbu,

Unanishauri niendelee na haya mambo ya jopo au ngoma imeshatiki hata kabla hatujatumia nguvu nyingi.....

Haki ya nani, ndiyo maana maji hayachemki milele...lazima yatapoa tu...lol!!

Cc: Teamo, King'asti, Maty...

Babu DC!!
....................Hahaha Babu Dark City, umesahau kuniCC na mie hapo.............. so CC MwanajamiiOne
 
Last edited by a moderator:
Wajua mie nacheka nini Soulmate? Naona mwenyekiti wa jopo la "Saidia Mbu ashinde" Mzee Dark City kaishiwa vitamkwa, ye anahangaika na vi'like' tu vya Mubyazi humu ndani. Loh ngoja nkajiandae kushangilia maana naona mshindi wa kesi yako Mbu ashapatikana lol..............


Sasa nifanye nini kama jopo langu mmeamua wenyewe kulifanya redundant?

Anyway..titafika tu...!!

Babu DC!!
 
Unajua nini MwanajamiiOne,

Siamini macho yangu....

Yaani watu wanaanza safari ya mbugani na kutuacha tukihangaika na jopo??

The good thing, ni kwamba yote ni mema...lengo linakaribia kutimia...liwalo na liwe..!!

Babu DC!!
......Si ndo hapo sasa Babu yangu? Ila haya umeyataka weye, mie nliomba niwepo kwenye jopo na niwe na voting power mbona mambo yangekuwa mengine?
 
Unajua nihisi kukuogopa??

Naona hata usingizi umekuishia...

Na wewe unaungana na soulmate kwenye safari ya kwenda kushangaa wanyama na ndege?

Nalala mie jamani....

Babu DC!!

...............Hhahahah ntaanzia wapi mie Babu ilhali keshatangaza hata tenda ya ushenga? Mie nabakia kulilia ujana wangu tu si wajua tena ujana maji ya moto Babu? Tumtakie kheri tu sie ilmradi mioyo yetu imefurahi baada ya kuona mwanga toka kwenye mboni za macho yake Soulmate..............
 
Babu Dark City naona jopo halina kazi maana kazi ya jopo imeshakamilika, kama ukiona bado kuna umuhimu wa jopo kukutana basi ukiwa kama Mwenyekiti wa jopo unaweza kuitisha kikao kingine, ila kwa sasa mambo ni shwari kabisa Mkuu. Chezeya Babu Dark City weye!!! Hata kabla ya kikao cha jopo aliloliteua mambo yanatengamaa yenyewe!! Hongera zako nyingi sana. 🙂🙂

Unajua nini MwanajamiiOne,

Siamini macho yangu....

Yaani watu wanaanza safari ya mbugani na kutuacha tukihangaika na jopo??

The good thing, ni kwamba yote ni mema...lengo linakaribia kutimia...liwalo na liwe..!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Unajua nihisi kukuogopa??

Naona hata usingizi umekuishia...

Na wewe unaungana na soulmate kwenye safari ya kwenda kushangaa wanyama na ndege?

Nalala mie jamani....

Babu DC!!

......hahahahaha.....!!! Mnh, swahiba hebu rudi kwanza, ni ndoto tu hiyo....usikwazike!
 
Hivi swahiba wangu Mr Mbu,

Unanishauri niendelee na haya mambo ya jopo au ngoma imeshatiki hata kabla hatujatumia nguvu nyingi.....

Haki ya nani, ndiyo maana maji hayachemki milele...lazima yatapoa tu...lol!!

Cc: Teamo, King'asti, Maty...

Babu DC!!

......😉🙂🙂 swahiba, aaaaahh? Usinitose banaaa, au nawe naanza kukuacha na tungo zangu tata ambazo inaelekea vijana wa dot.com wamezikosa tafsiri yake kwa 'thesaurus?!'

.......kwani majimoto hupoteza sifa ya umoto wake kwa nyuzi joto ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Wajua mie nacheka nini Soulmate? Naona mwenyekiti wa jopo la "Saidia Mbu ashinde" Mzee Dark City kaishiwa vitamkwa, ye anahangaika na vi'like' tu vya Mubyazi humu ndani. Loh ngoja nkajiandae kushangilia maana naona mshindi wa kesi yako Mbu ashapatikana lol..............

Hahaha, MwanajamiiOne ngoja usimtie hila Dark City bana.....mambo baaado!

Halafu, bwana Arushaone, hivi ulisemaje pale awali? Soul seraching eeh?!.... Hehehe.... Acha tu!

Mie N'nalala....

Aarrghhh! Muadhana nae huyoo, ngoja nikatie wudhu nende masjid mie 😉
 
Last edited by a moderator:
..... Umeona ee? Mwezi wa amani na upendo.....kutakiana mema na kusameheana.

Hivi, yule chalii klorokwini aliishia wapi? Nami humu MMU nishakuwa mgeni sasa...

Those days we'd kina Gaga, BelindaJacob na kisa cha "ameuteka moyo wangu," Nyamayao, LD na wengi wengineo hata kuwataja naogopa nisijeambiwa walishatangulia!...
Nipo Mbu thanks kwa kunikumbuka, nimekuwa busy sana sana, kuna kipindi nikawa sielewi mambo yanaendaje humu, yaani nikawa nisipoingia mwezi nikipata nafasi nakuta changes sana, ila nipo salama kabisaaa
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nipo Mbu thanks kwa kunikumbuka, nimekuwa busy sana sana, kuna kipindi nikawa sielewi mambo yanaendaje humu, yaani nikawa nisipoingia mwezi nikipata nafasi nakuta changes sana, ila nipo salama kabisaaa

.... Gaga umepotea au "umepotezwa?"....kha!
Nice reading from you again.
 
Last edited by a moderator:
.... Gaga umepotea au "umepotezwa?"....kha!
Nice reading from you again.
Nimejipoteza mwenyewe jamani, ila hata wewe sijakuona muda, nikiingia humu, ila soulmate wako namwonaga
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom