........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

Anyway, maumivu hayo si mchezo, only time is the best healer. Next time ukishikwa shikamana🙂.

.....dah, tatizo la time haina Reverse Gear.....hapo penye kushika na kushikamana si ndio mwenzio naililia ' ajua!' hapa...
 
Swahiba naomba niwe mshenga wako :frog:

Kamanda wewe tena?!,....yaani kama ni UN wewe hata pale mlangoni husachiwi na metal detector, Ruksa na unapita tu kama ' the beast' ya Obama!
 
Wewe hata ukiomba mwenyewe, red card hutapewa....

Ila yellow card tumeshakupa...

Babu DC!!

........................Hahahah why? Hata nikileta za Da King'asti hapa? Yaani nimwambie soulmate Mbu kuwa hata akizikiri uchi, funguo zishatupwa baharini na zikamezwa na nyangumi asovuliwa? Hutonipa red card weye?

Hahaha kumbe bora niendelee :tape2::tape2::tape2::tape2::tape::tape::tape: nisije pewa red card bure. Ila babu hapa unatumia ubabe bana lol. Mbu ana bahati umetuwahi angekomaaaaje sasa
 
Hahaha kumbe bora niendelee :tape2::tape2::tape2::tape2::tape::tape::tape: nisije pewa red card bure. Ila babu hapa unatumia ubabe bana lol. Mbu ana bahati umetuwahi angekomaaaaje sasa

Siyo ubabe bwana, ni mojawapo ya majukumu yetu kama wanaume...kumlinda na kumwokoa mwenzetu kwa nguvu na gharama zozote...liwalo na liwe..lol!!

Kwa nini mlitaka kumkomesha/kumsulubu Mbu?

Niambie labda nibadilishe msimamo wangu aisee...

Halafu mambo yako ya kukubali kupotezwa kama Teamo sifagilii kabisa unajua...

Babu DC!!
 
Wewe hata ukiomba mwenyewe, red card hutapewa....

Ila yellow card tumeshakupa...

Babu DC!!

Siyo ubabe bwana, ni mojawapo ya majukumu yetu kama wanaume...kumlinda na kumwokoa mwenzetu kwa nguvu na gharama zozote...liwalo na liwe..lol!!

Kwa nini mlitaka kumkomesha/kumsulubu Mbu?

Niambie labda nibadilishe msimamo wangu aisee...

Halafu mambo yako ya kukubali kupotezwa kama Teamo sifagilii kabisa unajua...

Babu DC!!

Babu huyu Mbu lazima alienda kutambika mahala kabla hajaanzisha huu uzi, maaanaa yaani hivi hiviviiiiii (in pembes voice) hili tonge la moto ila kila nikitaka kulitema linankaba linarudi ndani lol
 
Babu huyu Mbu lazima alienda kutambika mahala kabla hajaanzisha huu uzi, maaanaa yaani hivi hiviviiiiii (in pembes voice) hili tonge la moto ila kila nikitaka kulitema linankaba linarudi ndani lol

Halafu weweeee..... Haya hebu nambie bado unanipenda kama zamani?
 
jouneGwalu pamoja sana mitaa ya movies. Uko powa lakini?
Mbu asante kwa kunikumbuka. Old is Gold!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Naona mapenzi kama yamezidi siku hizi au na wewe umeenda kutambika kama Mbu? mzima wewe lakini

.... Maty, maty, maty....."sumu haionjwi kwa ulimi!" hala hala na maneno yako hayo, nitakupulizia moshi wa ubani wewe...ohhoo!

🙂
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe Matty,

Mbona unataka kufanya kinyume na maneno yako hapo chini?

Umeanza lini kujikana...

If you love something, set it free. If it comes back, it was, and always will be yours. If it never returns, it was never yours to begin with

Babu DC!!
 
hahahaha bi dada nichunu tu jamani za masiku? nipo bada si unajua siku hizi JF ya dot.com tumewaachia lol tumekuja hapa kupa suport ya kuunda tume ya ukweli na maridhiano ili Mbu ale sikukuu vizuri

:mwaaah::mwaaah:....mpaka nimehamia kwenye mitafaruku ya nchi huko kwenye siasa...
 
Mi mzima mpendwa. Hebu nambie bado mlango uko wazi au funguo kaondoka nazo Teamo?

.....na hivi? Nani aliyempa madaraka Teamo kushikilia funguo zote za hawa wapendwa? Mimi nachukia sana,...

Ona sasa anavyonifanyia? Nitalia mimi, ohhoo!....machozi yangu hayaendagi bure!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom