Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
- Thread starter
- #141
nimeona babu Dark City eti anasema wamama tutakuwa wasikilizaji tu.... unakubaliana na hilo?
....mnh, ili kuwaenzi waliotangulia, panabidi pawepo na angalau 1/3 ya kina mama.
Lakini, bila uwepo wa AshaDii, WomanOfSubstance, Lizzy na Freema Agyeman, hilo jopo mie sitalikubali!
Last edited by a moderator: