........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

Last edited by a moderator:
Hommie hapa ni kama kipindi cha "This week in perspective" dot.com hola

hahaha....umenikumbusha makitu ya Adam Simbeya....watu wanabadilishaga channel fasta.....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ndio maana nilipokusoma kwamba asali inaongeza utamu wa kitu nikabaki nashangaa shangaa tu 🙂🙂, (nitasahauje banaaa jambo la kuhusu utamu hahahah!) na kuomba somo zaidi...utamu mpaka kisogoni lol!

hahahahaha, kitu kinakuwa kitamu kama asali yenyewe, hahaha nawe husahau jamani?:smile-big:, usitumie za kariakoo plz zimechanganywa na mashudu:tape:
 
Hommie hapa ni kama kipindi cha "This week in perspective" dot.com hola
hahahah!

wale 'wa leo leo' hawauwez huu mziki.......lazima channel ihamishwe..labda waweke klauz tiivii
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mie sitamani kabisa muda urudi nyuma maana niliumizwa sana na mabinti wa DAR, bora wale wa kijijini wala hawana gharama...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.......ahaha, mwenyekiti upooo? Nice reading from you again!

Unasema? Aaaaa banaa, funguo unazo weye? Msaada pliz, nitskurudishia

nipo mjumbe wangu Mbu

ni muda mrefu sana sijakuona wala kuisikia harufu ya perfume yako kwenye chumba cha mkutano......

nilipojaribu kuzipitia attendance sheets bado sikuliona hata jina lako

u hali gani mjumbe?

umesusia mikutano?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
nipo mjumbe wangu Mbu

ni muda mrefu sana sijakuona wala kuisikia harufu ya perfume yako kwenye chumba cha mkutano......

nilipojaribu kuzipitia attendance sheets bado sikuliona hata jina lako

u hali gani mjumbe?

umesusia mikutano?

......la la la, nawapisha wazee wa baraza wapate kusikiza hoja za pande zote mbili kwanza....

.....na hasa baada ya kufunguliwa kikao na hoja kuwekwa mezani na mkuu Dark City 🙂
 
Last edited by a moderator:
Mie sitamani kabisa muda urudi nyuma maana niliumizwa sana na mabinti wa DAR, bora wale wa kijijini wala hawana gharama...

......aaaah bana, hata Charlie Chaplin alisema " you will never find a rainbow if you are looking down!"

Raise the bar and go for the best bwana Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
hahahah!

wale 'wa leo leo' hawauwez huu mziki.......lazima channel ihamishwe..labda waweke klauz tiivii

..... Au watumie Thesaurus!!! 😉
 
......la la la, nawapisha wazee wa baraza wapate kusikiza hoja za pande zote mbili kwanza....

.....na hasa baada ya kufunguliwa kikao na hoja kuwekwa mezani na mkuu Dark City 🙂

swala lako 'linazungumzika'......tatizo sasa ni :A S-key::A S-key::A S-key::A S-key:
 
swala lako 'linazungumzika'......tatizo sasa ni :A S-key::A S-key::A S-key::A S-key:


Mbona umesahau rules zako mwenyewe kamanda??

Au zinatumika kwa ubaguzi....

Hivi Babu DC akikutwangia kwamba kule Makorora kuna mdada mkorofi kaloweka nguo zake...na Bibi kachachamaa, hutakimbia kuokoa jahazi?

Labda unambie kuwa siku hizi umeongoka.....ila hata kama....kwani maji hata yachemke vipi, mwisho wa siku yatarudia ubaridi wake...

I still believe bado wewe ni katibu wa kile chama....

Naomba mzee mwenzangu Asprin akuje hapa...lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
swala lako 'linazungumzika'......tatizo sasa ni :A S-key::A S-key::A S-key::A S-key:

.......pheeew, mila na desturi kuzingatiwa,

... haya mkuu.... Mkono mtupu haulambwi....enhe? 'Mila na desturi' zinasemaje?
 
....mnh, ili kuwaenzi waliotangulia, panabidi pawepo na angalau 1/3 ya kina mama.

Lakini, bila uwepo wa AshaDii, WomanOfSubstance, Lizzy na Freema Agyeman, hilo jopo mie sitalikubali!


Unataka kuharibu sasa wewe swahiba....

Jopo aunde babu halafu ujichulie mamlaka ya kulisimika.....

Please...kaa kando utuachie tuchape mzigo... and you need to keep your fingers crossed!!

Hapa hatuhitaji msaada wa upande wapili kwa sababu tunadili na mambo ambayo purely ni ya kiume...

Wakuje wasikilize tu...BASI!!

Babu DC!!
 
Mbona umesahau rules zako mwenyewe kamanda??

Au zinatumika kwa ubaguzi....

Hivi Babu DC akikutwangia kwamba kule Makorora kuna mdada mkorofi kaloweka nguo zake...na Bibi kachachamaa, hutakimbia kuokoa jahazi?

Labda unambie kuwa siku hizi umeongoka.....ila hata kama....kwani maji hata yachemke vipi, mwisho wa siku yatarudia ubaridi wake...

I still believe bado wewe ni katibu wa kile chama....

Naomba mzee mwenzangu Asprin akuje hapa...lol!!

Babu DC!!

mim ni mwenyekiti.....

unajua mkuu shida yao ni moja...wanasema siku izi mioyo yao ina :A S-key::A S-key::A S-key::A S-key:
 
.......pheeew, mila na desturi kuzingatiwa,

... haya mkuu.... Mkono mtupu haulambwi....enhe? 'Mila na desturi' zinasemaje?

Huyo Teamo achana naye...

Tutadeal naye sie wenyewe...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom