BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hahahaha lol! Naona dua hiyo ya masoulmate 🙂🙂 kasoma kimya kimya lol!
Hapa Soulmate ndo umeangusha dua au ndo wanuiza hahahah?
Hapa Soulmate ndo umeangusha dua au ndo wanuiza hahahah?
Hah we SOULMATE au umesahau kuwa mie ni SOULMATE wako for LIFE? I always wish you Good sasa unapendekeza ntolewe kwenye jopo, asa nani atakusaidia?.......ahahaha......Phew! kwa sababu za 'kiungwana' kabisa, naomba MwanajamiiOne, kama nilivyomtenga Smile, au Husninyo, au BelindaJacob, na hata nyumba kubwa na wengineo wengi wakongwe humu, wapewe dharura ya kuwa 'watizamaji' kwanza.
Wanaharati hawa, neno lao moja tu unakuwa acquitted, au found guity! King'asti yeye ndo namuona kama aloshika Lethal injection, akiskia "Guilty!" ----atanidunga!
Hahahaha lol! Naona dua hiyo ya masoulmate 🙂🙂 kasoma kimya kimya lol!
Hahah Shemeji BAK imebidi kuuliza ati maana isijekuwa sie huku twakazana kumfanyia mpango afunguliwe mlango kumbe ye mwenzetu bado aombea funguo zisipatikane..... Hapa nahisi kanena kwa lugha tena......
Ameen Inshaallah, la futari,
......mnh, nakumbuka dear sema mnh.... Ujue mwenzio ticket ninayo mkononi? Sijui atanipikia nani futari huko! Sijui niahirishe ?
Soulmate angekuwa hayupo busy labda leo ningemwambia afanya ufundi wake wa mahanjumati
Hahahahah The Boss mie nimeshamhakikishia 'kupokelewa' kwake pindi atakapofunguliwa hilo ji-gate.
I like your attitude Babu Dark City....😛oa
Hebu soma hizo posts mbili za MwanajamiiOne, kisha uone kwa nini babu has been motivated to take the task seriously..
Babu DC!!
.........Damn, I knew you gonna say that........ mie hapa natafuta nipate fursa ya kuvote maana nimeona wewe unawapendelea wale wanaojitolea kusaidia positively.
Unfortunately....sina jinsi...sitaweza kukupendelea mpendwa wangu..
Babu DC!!
Imekuwaje ukarudi tena?
Posts zako nitawaomba mods wazitoe...hata kama una undungu na Paw....
Hatutaki comments za kuongelea kesi ambayo iko mahakamani....kwani umezidi sana kuingilia uhuru wa mahakama ya Babu!
Babu DC!!
............... Dah basi itabidi name nifuate nyayo za Da Mkubwa King'asti, za kusepa tu hadi kesi itakapomalizika nisubiri kuja kutoa hongera au pole.
Wewe hatujakufukuza kama King'asti....unaruhusiwa kufika kwenye premises za jopo...
Ila lazima masharti yazingatiwe..ikiwemo kuwa na kufia cha ku-control imotions..
Babu DC!!!
tatizo mnaniita bwana.
:tape::tape::tape::tape::tape:
Mhhhh! Shurti abembelezwe kwa mahanjumati, samaki wa kupaka na majani pori!!! Watu wengine wana ngekewa ile mbaya 🙂🙂
Oh.......kumbe Da King'asti mmemfukuza, hebu ngoja niangalia mhimili wa kifua change aisee, hasa kwenye issues zinazomhusu Soulmate then ntakuja Babu DC kukupa jibu unikaribishe au name nipewe Red Card
Wewe hata ukiomba mwenyewe, red card hutapewa....
Ila yellow card tumeshakupa...
Babu DC!!
Wewe hata ukiitwa kwa baragumu...naomba usije aisee....
Muda muafaka ukifika tutamtuma mtu akuite....
Hatutaki uendelee kutuharibia mambo yetu...
Babu DC!!
hehehe best hata weye ukinialika futari mie nakuja fasta kama mvua. unajua kudoea kwa watu nayo ni karama?
afu majani pori mwezi huu tumesitisha bwanaa