........nimekukumbuka sana :'(

........nimekukumbuka sana :'(

.......ahahaha......Phew! kwa sababu za 'kiungwana' kabisa, naomba MwanajamiiOne, kama nilivyomtenga Smile, au Husninyo, au BelindaJacob, na hata nyumba kubwa na wengineo wengi wakongwe humu, wapewe dharura ya kuwa 'watizamaji' kwanza.

Wanaharati hawa, neno lao moja tu unakuwa acquitted, au found guity! King'asti yeye ndo namuona kama aloshika Lethal injection, akiskia "Guilty!" ----atanidunga!
Hah we SOULMATE au umesahau kuwa mie ni SOULMATE wako for LIFE? I always wish you Good sasa unapendekeza ntolewe kwenye jopo, asa nani atakusaidia?
 
Hahahaha lol! Naona dua hiyo ya masoulmate 🙂🙂 kasoma kimya kimya lol!

Hahah Shemeji BAK imebidi kuuliza ati maana isijekuwa sie huku twakazana kumfanyia mpango afunguliwe mlango kumbe ye mwenzetu bado aombea funguo zisipatikane..... Hapa nahisi kanena kwa lugha tena......
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MwanajamiiOne tusubiri afunguke kuhusu alichokuwa anakisema kwa kunong'ona 🙂🙂 ili tumuelewe.

Hahah Shemeji BAK imebidi kuuliza ati maana isijekuwa sie huku twakazana kumfanyia mpango afunguliwe mlango kumbe ye mwenzetu bado aombea funguo zisipatikane..... Hapa nahisi kanena kwa lugha tena......
 
Last edited by a moderator:
Ameen Inshaallah, la futari,

......mnh, nakumbuka dear sema mnh.... Ujue mwenzio ticket ninayo mkononi? Sijui atanipikia nani futari huko! Sijui niahirishe ?

Soulmate angekuwa hayupo busy labda leo ningemwambia afanya ufundi wake wa mahanjumati

Ah. nimepitwaje sasa? Da Mkubwa King'asti kwa kupenda kula mie sikuwezi. Soulmate Mbu, sema usikike bwana......... Mahanju si wajua tena ila majani pori lazima yawepo, na samaki wa kupaza.
 
Last edited by a moderator:
......... Haya Babu Dark City na-teamSoulmate mie hapa. Tena mwambie kabisa kuwa wengine hukuta 'vitasa' vimebadilishwa kabisa na bado wana'rejewa' itakuwa kugawa funguo? Huyo Teamo asimkatishe tamaa Soulmate Mbu

Hahahahah The Boss mie nimeshamhakikishia 'kupokelewa' kwake pindi atakapofunguliwa hilo ji-gate.

I like your attitude Babu Dark City....😛oa

Hebu soma hizo posts mbili za MwanajamiiOne, kisha uone kwa nini babu has been motivated to take the task seriously..

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh! Shurti abembelezwe kwa mahanjumati, samaki wa kupaka na majani pori!!! Watu wengine wana ngekewa ile mbaya 🙂🙂

Ah. nimepitwaje sasa? Da Mkubwa King'asti kwa kupenda kula mie sikuwezi. Soulmate Mbu, sema usikike bwana......... Mahanju si wajua tena ila majani pori lazima yawepo, na samaki wa kupaza.
 
tatizo mnaniita bwana.

:tape::tape::tape::tape::tape:

Imekuwaje ukarudi tena?

Posts zako nitawaomba mods wazitoe...hata kama una undungu na Paw....

Hatutaki comments za kuongelea kesi ambayo iko mahakamani....kwani umezidi sana kuingilia uhuru wa mahakama ya Babu!

Babu DC!!
 
............... Dah basi itabidi name nifuate nyayo za Da Mkubwa King'asti, za kusepa tu hadi kesi itakapomalizika nisubiri kuja kutoa hongera au pole.


Wewe hatujakufukuza kama King'asti....unaruhusiwa kufika kwenye premises za jopo...

Ila lazima masharti yazingatiwe..ikiwemo kuwa na kufia cha ku-control imotions..

Babu DC!!!
 
Last edited by a moderator:
Wewe hatujakufukuza kama King'asti....unaruhusiwa kufika kwenye premises za jopo...

Ila lazima masharti yazingatiwe..ikiwemo kuwa na kufia cha ku-control imotions..

Babu DC!!!

Oh.......kumbe Da King'asti mmemfukuza, hebu ngoja niangalia mhimili wa kifua change aisee, hasa kwenye issues zinazomhusu Soulmate then ntakuja Babu DC kukupa jibu unikaribishe au name nipewe Red Card
 
Last edited by a moderator:
hehehe best hata weye ukinialika futari mie nakuja fasta kama mvua. unajua kudoea kwa watu nayo ni karama?
afu majani pori mwezi huu tumesitisha bwanaa
Mhhhh! Shurti abembelezwe kwa mahanjumati, samaki wa kupaka na majani pori!!! Watu wengine wana ngekewa ile mbaya 🙂🙂

mpenzi si unanijua tena? afu uje na kuku nikupikie manake nimekumisi balaa. ila uje na babu Dark City ili ahakikishe hatuiongelei hii kesi manake mie nitamalizia jajimenti mkononi kama polisi wetu
Ah. nimepitwaje sasa? Da Mkubwa King'asti kwa kupenda kula mie sikuwezi. Soulmate Mbu, sema usikike bwana......... Mahanju si wajua tena ila majani pori lazima yawepo, na samaki wa kupaza.
 
Last edited by a moderator:
Wewe hata ukiomba mwenyewe, red card hutapewa....

Ila yellow card tumeshakupa...

Babu DC!!

........................Hahahah why? Hata nikileta za Da King'asti hapa? Yaani nimwambie soulmate Mbu kuwa hata akizikiri uchi, funguo zishatupwa baharini na zikamezwa na nyangumi asovuliwa? Hutonipa red card weye?
 
Last edited by a moderator:
hapa ulimi nimeushikilia kwa vidole babu. worry out manake na mie niko biased.
kwanza hii kesi ni conflict of interest. manake mdogo wangu MwanajamiiOne, na rafiki yangu Mbu. taabu sana!

:ban::ban: Paw, naomba unizuie kuingia hapa kwa muda tafadhali
Wewe hata ukiitwa kwa baragumu...naomba usije aisee....

Muda muafaka ukifika tutamtuma mtu akuite....

Hatutaki uendelee kutuharibia mambo yetu...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
...Futari ya ndizi mzuzu, mbaazi za nazi, tambi za kukaanga, chapati kwa mchuzi wa kuku, uji wa pilipili manga na chai ya maziwa, vitumbua bila kusahau tende 🙂🙂 Pumzi yako tu Best.

hehehe best hata weye ukinialika futari mie nakuja fasta kama mvua. unajua kudoea kwa watu nayo ni karama?
afu majani pori mwezi huu tumesitisha bwanaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom