The corrected way of your sentence is:Kwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini.
Uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
Kwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini.
Uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
hahahaaThe corrected way of your sentence is:
“They were like hypnotized.”
Why?
- Subject–verb agreement: With the plural subject they, the correct past tense of be is were, not was.
I advise you to use your national language
Aangalie tu wasimpake mafutahongera, hata kazi unafanya kwa confidence. ila chunga wasikuzoee kupitiliza !
Choko ulipewa muda na mods ukafirane na mabasha zako , naona haukukutosha umerudi kudanga
Imasemekana wanaume mnakula kwa jasho yeye kashindwa karusha tauloHuyu Me au Ke au Them?
teeenaaaaaaaaaaa!!! subiri nikipata vocha za 5,000 nitakutumia hata nne za 100o zitakutesa. unanikosea tu kuita beautiful boy.Haszu beautiful boy naomba mshahara wa kwanza unipe hata buku aiseee…!!
Uzuri wako umekupa ulaji mwanetu 😹😹😹