100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,188
- 36,395
Huyu jamaa ana enjoy watu tu..
Nakupeleka Mtende bichi, v3ry good experienceNakuja summer time nije sand bank tucheze shake ready 😹😹😹
Kwendraaaaa 😹Bc ww nae ndo wale wale, mnyooshwe tuu
🥰Nakupeleka Mtende bichi, v3ry good experience
Lipia tangazoKwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini.
Uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Haszu beautiful boy naomba mshahara wa kwanza unipe hata buku aiseee…!!
Uzuri wako umekupa ulaji mwanetu [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Weeeh haszu huyooooo..!!
Tajiriiiiiiiii mutoto, new boss in town [emoji76]
Sasa hivi nitakuita Papaa Haszu na kati ya masaki kwa mapedeshee wenye makuta mingi..!!
Sasa ole wako unizingue usitume hiyo buku 5 [emoji1787][emoji81][emoji81]
vocha za 5,000 nimekosa, solution ni za 1000, mtandao gani?😹😹😹 Weeeh haszu huyooooo..!!
Tajiriiiiiiiii mutoto, new boss in town 😻
Sasa hivi nitakuita Papaa Haszu na kati ya masaki kwa mapedeshee wenye makuta mingi..!!
Sasa ole wako unizingue usitume hiyo buku 5 🤣😹😹
TangazoKwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini.
Uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
Hawa watoto wa kiume wanaojifanya wa kike kuna siku kitawalamba.😹😹😹 Weeeh haszu huyooooo..!!
Tajiriiiiiiiii mutoto, new boss in town 😻
Sasa hivi nitakuita Papaa Haszu na kati ya masaki kwa mapedeshee wenye makuta mingi..!!
Sasa ole wako unizingue usitume hiyo buku 5 🤣😹😹
Shabiki wa Arsenal hawezi kuandika uzenge kama huuIntelligent businessman naona unabadili I'd tuu Huna wasiwasi 😂
Hasu nimerudi lete vocha hizo tajiriiii 😻vocha za 5,000 nimekosa, solution ni za 1000, mtandao gani?
Tajiri haszu 😻sure, Ahadi ni deni, niambie mtandao gani tu