Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Stupid
Yaani huyo ndio mwanamume wa ukweli kabisa.....kwanza utashika adabu....pili hamna mwanaume rijali akagegeda papuchi moja tuu so wala usi panic.
Ila kiukweli umemkosea heshima mume wako. Wacha akale raha na mchepuko
 

Wee sema stupid wala hamna shida hii ni cyberspace u are entitled to ur own opinion.
Lakini ukweli ni kwamba ukimkosea heshima mume ujue ndoa huna. Kama amekukataza kitu heshimu.
 
Acha kuwaaminisha uongo jisemee nafsi yako wewe tupo wanaume wengi ambao hatuchepuki hakuna tabia ambayo inafanywa na binadamu wote wa jinsia moja hapa duniani narudia tena HAKUNA

Halafu kauli kama hizi ndo zinawafanya wanaume wazinzi na waasherati kama nyie mpate sababu na nafasi ya kuendelea kuchepuka ili msiachwe na wake zenu ila siku zote ukweli utabaki pale pale kuwa wapo wanaume wengi duniani wasiochepuka na tena ni marijali na hata wanawake wanajua hilo na wapo wanaume wanaoachwa na wake zao kwa sababu ya kuchepuka na wanapata taabu
Ngoja nkwambie kitu Hakuna mwanaume duniani atakutomba pekeako mpaka kufa kwake hayupo, yan hata awe mlokole ataenda nje kuonja hata kwa kuibia hata awe mume wako wa ndoa, ALL MEN KNOW THAT ILA WATAJUFANYA MIMI I AM FAITHFUL...Uongo mtakatifu
 
Acha kuwaaminisha uongo jisemee nafsi yako wewe tupo wanaume wengi ambao hatuchepuki hakuna tabia ambayo inafanywa na binadamu wote wa jinsia moja hapa duniani narudia tena HAKUNA

Halafu kauli kama hizi ndo zinawafanya wanaume wazinzi na waasherati kama nyie mpate sababu na nafasi ya kuendelea kuchepuka ili msiachwe na wake zenu ila siku zote ukweli utabaki pale pale kuwa wapo wanaume wengi duniani wasiochepuka na tena ni marijali na hata wanawake wanajua hilo na wapo wanaume wanaoachwa na wake zao kwa sababu ya kuchepuka na wanapata taabu

Good for you Man...GOOD FOR YOU...samahani kama nimekukwaza ila nlikuwa naongelea GENPOP, if your not one of them CONGRATULATIONS...ila kuchepuka sio tu kwenda kufanya mapenz na mwanamke mwingine hata kutamani tu kuwa na mwingine hiyo pia ni dhambi ya kuchepuka(KUTOKA KWENYE VITABU VYA DINI), IF HAIJAWAH KUKUTOKEA YOU MUST BE SPECIAL.....WEWE TOKA UZALIWE UMEFANYA MAPENZ NA MWANAMKE WAKO HUYO HUYO TU ?
 
acha wivu mwache na mwenzako afaidi msalikoko!!
 
Habari za usiku huu waungwana..naamini wote mko salama.

Niwaambie yaliyonikuta sasa..week kama tatu zilizopita nilianza kuhisi mume wangu anakimada ila sikutaka kumuuliza wala sikutaka ajue kama nahisi anachepuka.

Mumewangu alikua na tabia ya kuwahi kurudi nyumbani au hata kama anajua anachelewa hua lazima apige simu kunitaarifu.

Mumewangu alikua amenipa Uhuru na simu yake hata kama anaoga alinipa ruhusa niipokee na niongee na mpigaji na sio tu mimi Uhuru huo aliwapa hata watoto wake.

Wiki tatu zilizopita nikaona mwenzangu ameanza kubadilika..hatuna ruhusa ya kushika simu..hata kama inaita atatoka bafuni na apovu lake ataichukua simu maongezi yatafanyika bafuni..ukali ukaanza kwangu na watoto hata kama haikua na haja ya kutukalipia.

Nikaanza kufuatilia mwenendo wake ndipo nilipogundua ana mwanamke..leo asubuhi nikasubiri ameenda kuoga nikachukua simu bahati nzuri nywila yake naifahamu nikapunguza sauti nikaanza kupekua kwenye whatsapp.

Nikakutana na picha za tupu za huyo mwanamke huku wakisifiana wanavyofurahishana kitandani..nilijikuta sina nguvu kwakweli..ghafla na yeye akatoka bafuni akavaa huyo akaondoka hata kifungua kinywa hakupata.


Muda wa kama nusu saa hivi nikamtumia meseji
Mimi: "ahsante nimeona na nimejua kila kitu"
Mumewangu: "umekipata ulichokua wakitafuta na ukome"
Mimi: "yani Mume wangu ndio wanijibu ivyo?"
Yeye: "tena umenikera na sirudi Leo "

Yani ninavyoandika hapa hadi sasa 11:36pm huyu mwanaume bado hajarudi na simu yake haipatikani.

Wanawake wenzangu naomba mnishauri nifanye nini?

Wanaume mnahisi alichokifanya mwanaume mwenzenu ni sahihi?
Nawewe njoo tuchepuke na mimi bebi hutajutia.
 
Ajabu sanaa kaka.

JF kuna watu wa ajabu sana,najifunza mengi humu.
Ukifuatilia mjadala huu unagundua kuwa Waafrika (natumaini hakuna wengine waliochnagia) wana amini kuwa ....Mwanaume kuwa na wapenzi /mpenzi nje ya ndoa ni jambo la kawaida!
 
.
Kwa mawazo yangu nadhani mumeo mwanzo alikuwa anakuheshima sana japokuwa alikuwa anachepuka,lakini hapo mwanzo nadhani mlikuwa na maelewano mazuri sana na hiyo ikamfanya kama anachepuka badi anachepuka kwa akili ili kuepusha kukuumiza.

Sasa kwa hali hiyo usije ukadhani kwamba ni ajari wewe kujua kama yeye anachepuka.

Usije kudhani kwamba kafanya mistake wewe kujua hapanaaa.

HILO LILIKUSUDIWA NA MUMEOOOO.

alikusudia kabisa kuandaa mazingira ili wewe umtie shaka na hapo nDo utaanza kumchunguza,na huku yeye akiwa hafuti yale mawasiliano yake na mchepuko.

Hakuna mwanaume ambae atabadilika ghafla namna hiyo alafu akawa hana mawazo kwamba kwa kubadilika huko basi mkewe atajua ana mchpuko.

Hakuna mwanaume ambaye atamkataza mkewe kupokea simu alafu mwanaume huyo asihisi kwamba kukataza huko kutampelekea huyo mke amhisi mume ana mchepuko.

Hakuna mwanaume ambaye anaenda kuongea na simu chooni alafu eti asiwaze kabisa kwamba kitendo chake hicho kitamfanya mke aone kwamba mume ana mchepuko.

HAKUNA MWANAUME AMBAYE HAWAZI NA HAJUI HAYO YOTEEE,BALI WANAUME WOTE WANAJUA KWAMBA WATAHISIWA NA MICHEPUKO.

SASA KWA NINI WANARUHUSU MAZINGIRA HAYO YA KUHISIWA VIBAYA NA WAKE ZAO,NA BADALA YAKE WASIBADILI WAKAJIREKEBISHA..?

ooh jawabu ni kwamba : ukiona mumeo ameanza kuomesha hali ya wewe kumhisi na mchepuko basi jua fika ANAJUA HASA KWAMBA UNAMHISI ANA MCHEOUKO,NA HILO NDO ANALOTAKA YEYE KWAMBA WEWE UJUE KWAMBA ANACHEPUKA.

KWA NINI ANATAKA UJUE..?

Sasa hapo huwenda na kuna asilimia kubwa kwamba kuna kitu kavumilia kwako,au kuna kitu humpatii,kwa maana labda kuna uvivu fulani kitandanii,sio mbunifu kabisaa katika mapenzi,n.k

Kwa hyo ili kukuweka sawa anahakikisha unajua kwamba anachepuka,ili kama una akili ujirekebishe na uwe mtaalamu kwenye mambo ya kitanda..

Pole sana dada yangu yna2
 
Kesho akirudi mwambie hujafurahi yeye kulala nje ukishasema yako ya moyoni muwekee chai anywe.

Mkumbushe kuwa mna watoto wanahitaji kulelewa na HIV is real.

Ukishayaongea yote, funga mjadala endelea na maisha. Ukimnunia umempa because ya kwenda atakako.
ona ushauri wa mwanamke mwenye IQ range of 81 -100 (intelligent/genius woman)
 
Good for you Man...GOOD FOR YOU...samahani kama nimekukwaza ila nlikuwa naongelea GENPOP, if your not one of them CONGRATULATIONS...ila kuchepuka sio tu kwenda kufanya mapenz na mwanamke mwingine hata kutamani tu kuwa na mwingine hiyo pia ni dhambi ya kuchepuka(KUTOKA KWENYE VITABU VYA DINI), IF HAIJAWAH KUKUTOKEA YOU MUST BE SPECIAL.....WEWE TOKA UZALIWE UMEFANYA MAPENZ NA MWANAMKE WAKO HUYO HUYO TU ?
Kuchepuka nilikomaanisha mimi ni kufanya mapenzi na mwanamke zaidi ya mmoja achana na ile ya kumuangalia mwanamke ukamtamani hiyo najua wanaume wengi tunafanya hivyo lakini hauwezi kulinganisha madhara ya kumtamani mwanamke kwa macho tu na madhara ambayo yanaweza yakatokea unapoamua kufanya naye mapenzi

Na mimi siyo kwamba tangu nizaliwe nimekuwa na mwanamke mmoja tu hapana ila namaanisha siwezi kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja yaani kupata mwingine ni hadi niachane na aliyepo kwa wakati huo ila siyo kuwachanganya wote kwa pamoja na ninakuhakikishia wapo wanaume wengi tu wa hivi acheni propaganda
 
Pole sana mama.
Wanaume wanasemaga wakimpenda mke siku mchepuko ukijulikana lazima uachwe na mume atakua mnyenyekevu sana kuinusuru ndoa yake.

Sasa huyo shemeji naona kaamua kuchagua upande wa mchepuko.

Siku nyingine usishike simu za watu kwa lengo la kukagua.
MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA
nawewe kwenye usmart wa upstair sio haba ni vile tu hauvumi lakini umo!
 
Back
Top Bottom