Finegirlone
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,836
- 3,617
Pole
Njoo bhanaaa....hahaha utanifanya nitoroke ujue!!
Shangaa na wewe best hiyo ndoa au tanuli la moto.Akosee mwingine, msamaha uombe wewe[emoji134][emoji134][emoji134]
Ni tatizo.Shangaa na wewe best hiyo ndoa au tanuli la moto.
Such a nice advice!!..Usifanye uchunguzi wa Jambo ambalo ukipata matokeo ya uchunguzi wako UTAISHIA KUMWACHIA MUNGU.. alichofanya mumeo siyo jambo zuri
Ushauri mzuri na mgumu sanaKesho akirudi mwambie hujafurahi yeye kulala nje ukishasema yako ya moyoni muwekee chai anywe.
Mkumbushe kuwa mna watoto wanahitaji kulelewa na HIV is real.
Ukishayaongea yote, funga mjadala endelea na maisha. Ukimnunia umempa because ya kwenda atakako.
Thanks... Ukikusanya mambo mengi uliyochunguza na hukufanyia maamuzi halisi, UNABAKI NAYO YAKIUSAKAMA MOYO WAKO...Such a nice advice!!..
Kwa kifupi jambo unalojua litakuvunja moyo bora uachane nalo au utafute suluhu m badala
Pagumu ndo pazuri... Watu huitwa mashujaa au majasili kwa kupambana na magumu....Ushauri mzuri na mgumu sana
Wanawake ninyi sio tu kurelax...huwa mnajisahau...MIMI MPAKA NAJISIKIA KUPUNGUZA MAPENZI KABISA...JAPO MEONGEA SANA ILA HAIJASAIDIA KITU...Mmeo hayupo sawa lakini ili kunusuru ndoa yako kutokana na changamoto unayoipitia sasa,kwanza fuatilia ni kwa nini amechepeka(inawezekana wewe ndo ukawa sababu) lakini kubbwa kuliko yote muweke MUNGU KWANZA,wanawake huwa tunarelax sana tukiwa kwenye ndoa,unapaswa kuombea ndoa yako kwa kadili Mungu atakavyokujalia,unajua vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni ya rohoni,unaweza ukadhani mchepuko ndo adui wako kumbe shetani anamtumia mme na mchepuko wako kukuyumbisha IMANI yako...SIMAMA na MUNGU wako utanipa majibu BAADAYE
Wewe ndio mwanamke sasa...Ningekuwa mimi ndo wewe. Ningemuuliza hivyo tu. Na majibu nikapewa. Inatosha.
Hehee.
Ningekuwa bussy kuanzia siku hiyo mpaka ahisi Nina mwanaume njee. Yaani sitamjali kwa chochote. Wala hata kumuuliza baby mbona umechelewa kurudi. Mbona huli.
Angeendelea kupata hizo huduma kwa mchepuko tu. Kwangu mimi angeomba ushauri kwa watu wengine juu yangu
Haya mama Karisa.Mama D kakusikia vizur kabisa .Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Ndio maana mke wako akianza kuingia kwenye hii mitandao ni majanga...anapewa ushauri konki kutoka kwa makonki wa jiji basi hapo jua ushampotezaHuu ushauri sio mzuri huwezi kuifanya familia ya wazinzi.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kabisa kabisaUSHAURI WA HUYU BIBIE USIUCHUKUA NI IBILISI...ANAZIDI KUKUPOTEZA...