Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Nimekoma
Ndo ukome kugusa simu ya mmeo hata kama anakupa uhuru huo, mimi japo sina michepuko siaminiki Kisa Simu iko na passwords na Encryption za kutosha.
 
Sidhan kama unajua utofauti wa kuolewa na kuoa
Anyway hii women independence hii ndo inafanya ndoa nyingi zinakufa

Elezea wewe unayejua.. maana uliyoyaandika hata kidunchu hauna jipya la kushtua mtu.. unaonyesha tu uoga huku ukijifanya gangwe.. pole kwa mkeo.
 
Saa hizi ni saa 2:40 usiku ina maana bado hajarudi
 
Unionei huruma hata kidogo?? Sio kwa kicheko icho
Huruma nimekuonea ila hilo jibu lilikuwa la kimagufuli. Kuna usemi husema hivi:- Mwenda tenzi na omo mwisho huishia ngamani. Kwahio huyo mumeo mwisho atarudi tu, michepuko ina harama sana lakini wanajua kuliwaza. Swali:- unaongea na mumeo kama mke na mume au unajibu shobo? Mumeo akirudi nyumbani huwa ushaoga au upo upo tu?


Nangatukaa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Niendelee sijitaki mkuu!! Nimeacha kuanzia sasa

Ngoja nkwambie kitu Hakuna mwanaume duniani atakutomba pekeako mpaka kufa kwake hayupo, yan hata awe mlokole ataenda nje kuonja hata kwa kuibia hata awe mume wako wa ndoa, ALL MEN KNOW THAT ILA WATAJUFANYA MIMI I AM FAITHFUL...Uongo mtakatifu
 
Kwahiyo wataka sema nisiwe na wasi kisa natimiziwa majukumu Yangu na watoto wangu? Ndoa ni zaidi ya hayo majukumu uliyoyaandika hapo juu

Naweza kusema ww bado binti na sio mwanamke
Instead ya kuwa worried na future ya wanao kwamba mumeo hatimizi majukumu/kulipa bills au kesho ya wanao haiko njema unakua worried na vimada??
 
Simtegemei yeye kwa %zote ingawa kama Baba mwenye nyumba hufanya yao kwetu sisi(me and his kids)

Sawa ahsante kwa ushauri wako mpendwa

Hiyo vizuri..
Kwanza amerudi au bado?
Nilinoti hiyo ya wanae tangu ulipoandika mwanzo.. mama yao yupo wapi na ilikuwaje wao. Ukaingiaje kwake?
Umefunga nae ndoa zamani au? Wewe unawa treat vipi watoto wake? Unampango wa kumzalia pia?
 
Kesho akirudi mwambie hujafurahi yeye kulala nje ukishasema yako ya moyoni muwekee chai anywe.

Mkumbushe kuwa mna watoto wanahutaji kulelewa na HIV is real.

Ukishayaongea yote, funga mjadala endelea na maisha. Ukimnunia umempa because ya kwenda atakako.
Fuata ushauri huu.

Acha kuangaika na ushauri wa wasio na ndoa.

Wanawake wengi wasio na ndoa ni mabingwa wa kupepeta domo mbele za watu, wengi wa ni viongoz kwenye vikoba vya akina mama.

Yaan pelepele kibao.
 
Hahahaha

Tunaongea kama mke na mume..ndio
Huruma nimekuonea ila hilo jibu lilikuwa la kimagufuli. Kuna usemi husema hivi:- Mwenda tenzi na omo mwisho huishia ngamani. Kwahio huyo mumeo mwisho atarudi tu, michepuko ina harama sana lakini wanajua kuliwaza. Swali:- unaongea na mumeo kama mke na mume au unajibu shobo? Mumeo akirudi nyumbani huwa ushaoga au upo upo tu?


Nangatukaa [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Umenifungua akili..ahsante mkuu
Ngoja nkwambie kitu Hakuna mwanaume duniani atakutomba pekeako mpaka kufa kwake hayupo, yan hata awe mlokole ataenda nje kuonja hata kwa kuibia hata awe mume wako wa ndoa, ALL MEN KNOW THAT ILA WATAJUFANYA MIMI I AM FAITHFUL...Uongo mtakatifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom