AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,649
- 4,756
Kweli huyu mwanaume ni muovu...lakini usijiumize na usijidhalilishe utu wako ety kulipa uovu wake...Ha ha haaaaa
Kama bado anapenda ndoa yake basi ni kusali tu kwa bidii.
Ila kwa alichofanya na kumjibu upuuzi huo hapana aiseee... ajiangalie maisha yake.. janamume la hivyo hapana aiseeee.. hapo hata iweje ndio analo.. fanya yako kimya kimya kama mjinga kumbe eeeeh. Amani itakuja ikiwa tendwa utende.. wala asimuulize tena maana ni anamchambua huyo mchepuko mwili hadi kukuche..