na wanawake unauonaje Atoto!Yaani ushauri unaotolewa na wanaume humu ndani walah ngoja nikalime viazi tu.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unantisha jomoniii[emoji23][emoji23][emoji23]ndio kwanza day 2 leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama usije ukamwita baba yangu kuwa ni furushi kama anavyodai shangazi @Atoto!
Hayo ndio mawazo yao, unategemea nini sasa!! Yaani acha tu, unapoona lako zito kumbe la mwenzio zito zaidi.Hahahaha nimecheka sana
Heee mwezi wa 9??? Hapana lazima akuje kukupa haki yako...loh😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenza we kaa nae tu, ngoja kwanza nami nipumue kidogo. Kaa kaa nae hadi mwezi wa tisa.
Kwakweli its about time tutafute furaha zetu wenyewe, kuwalilia nyie viumbe mso shukrani ni kujipunguzia umri wa kuishi tu.na wanawake unauonaje Atoto!
Na wako proud kabisa, shuainiiiiiiiii zao.Ukifuatilia mjadala huu unagundua kuwa Waafrika (natumaini hakuna wengine waliochnagia) wana amini kuwa ....Mwanaume kuwa na wapenzi /mpenzi nje ya ndoa ni jambo la kawaida!
Ndio ni sahihiHabari za usiku huu waungwana..naamini wote mko salama.
Niwaambie yaliyonikuta sasa..week kama tatu zilizopita nilianza kuhisi mume wangu anakimada ila sikutaka kumuuliza wala sikutaka ajue kama nahisi anachepuka.
Mumewangu alikua na tabia ya kuwahi kurudi nyumbani au hata kama anajua anachelewa hua lazima apige simu kunitaarifu.
Mumewangu alikua amenipa Uhuru na simu yake hata kama anaoga alinipa ruhusa niipokee na niongee na mpigaji na sio tu mimi Uhuru huo aliwapa hata watoto wake.
Wiki tatu zilizopita nikaona mwenzangu ameanza kubadilika..hatuna ruhusa ya kushika simu..hata kama inaita atatoka bafuni na apovu lake ataichukua simu maongezi yatafanyika bafuni..ukali ukaanza kwangu na watoto hata kama haikua na haja ya kutukalipia.
Nikaanza kufuatilia mwenendo wake ndipo nilipogundua ana mwanamke..leo asubuhi nikasubiri ameenda kuoga nikachukua simu bahati nzuri nywila yake naifahamu nikapunguza sauti nikaanza kupekua kwenye whatsapp.
Nikakutana na picha za tupu za huyo mwanamke huku wakisifiana wanavyofurahishana kitandani..nilijikuta sina nguvu kwakweli..ghafla na yeye akatoka bafuni akavaa huyo akaondoka hata kifungua kinywa hakupata.
Muda wa kama nusu saa hivi nikamtumia meseji
Mimi: "ahsante nimeona na nimejua kila kitu"
Mumewangu: "umekipata ulichokua wakitafuta na ukome"
Mimi: "yani Mume wangu ndio wanijibu ivyo?"
Yeye: "tena umenikera na sirudi Leo "
Yani ninavyoandika hapa hadi sasa 11:36pm huyu mwanaume bado hajarudi na simu yake haipatikani.
Wanawake wenzangu naomba mnishauri nifanye nini?
Wanaume mnahisi alichokifanya mwanaume mwenzenu ni sahihi?
Usijali mwenza, haki yangu nitapata tu(usiulize wapi[emoji23])Heee mwezi wa 9??? Hapana lazima akuje kukupa haki yako...loh[emoji23][emoji23]
Mfyuuuuuu🤣🤣🤣🤣najua utaipata mahakamaniUsijali mwenza, haki yangu nitapata tu(usiulize wapi[emoji23])
Anipe nafasi nipumue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfyuuuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]najua utaipata mahakamani
##RudishamdoriiiiiHaya sasa, mafurushi ya hivyo ndio yanayooa[emoji134][emoji134][emoji134]
Walah mimi sina ushauri, ngoja waje wajuvi wakupe ushauri mama. Pole sana.
Izoee hii hii.##Rudishamdoriiiii
HaizoelekiIzoee hii hii.
Duh!!haya sasa ushaona sms
ulichopata ni hasira tu na hujatatua tatizo na hutoweza kulitatua kwa hasira na msamaha utaomba ww
mimi si mojawao Atoto!Kwakweli its about time tutafute furaha zetu wenyewe, kuwalilia nyie viumbe mso shukrani ni kujipunguzia umri wa kuishi tu.