Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Nimekoma kukagua simu ya mume wangu

Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?

Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Huu ushauri sio mzuri huwezi kuifanya familia ya wazinzi.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?

Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Khaa umeanza kuiga tabia ya yule mama wa arusha? Utampoteza mwenzio Kama mama Davis [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
USHAURI WA HUYU BIBIE USIUCHUKUA NI IBILISI...ANAZIDI KUKUPOTEZA...
Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?

Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
 
Kesho akirudi mwambie hujafurahi yeye kulala nje ukishasema yako ya moyoni muwekee chai anywe.

Mkumbushe kuwa mna watoto wanahitaji kulelewa na HIV is real.

Ukishayaongea yote, funga mjadala endelea na maisha. Ukimnunia umempa because ya kwenda atakako.
 
Habari za usiku huu waungwana..naamini wote mko salama.

Niwaambie yaliyonikuta sasa..week kama tatu zilizopita nilianza kuhisi mume wangu anakimada ila sikutaka kumuuliza wala sikutaka ajue kama nahisi anachepuka.

Mumewangu alikua na tabia ya kuwahi kurudi nyumbani au hata kama anajua anachelewa hua lazima apige simu kunitaarifu.

Mumewangu alikua amenipa Uhuru na simu yake hata kama anaoga alinipa ruhusa niipokee na niongee na mpigaji na sio tu mimi Uhuru huo aliwapa hata watoto wake.

Wiki tatu zilizopita nikaona mwenzangu ameanza kubadilika..hatuna ruhusa ya kushika simu..hata kama inaita atatoka bafuni na apovu lake ataichukua simu maongezi yatafanyika bafuni..ukali ukaanza kwangu na watoto hata kama haikua na haja ya kutukalipia.

Nikaanza kufuatilia mwenendo wake ndipo nilipogundua ana mwanamke..leo asubuhi nikasubiri ameenda kuoga nikachukua simu bahati nzuri nywila yake naifahamu nikapunguza sauti nikaanza kupekua kwenye whatsapp.

Nikakutana na picha za tupu za huyo mwanamke huku wakisifiana wanavyofurahishana kitandani..nilijikuta sina nguvu kwakweli..ghafla na yeye akatoka bafuni akavaa huyo akaondoka hata kifungua kinywa hakupata.


Muda wa kama nusu saa hivi nikamtumia meseji
Mimi: "ahsante nimeona na nimejua kila kitu"
Mumewangu: "umekipata ulichokua wakitafuta na ukome"
Mimi: "yani Mume wangu ndio wanijibu ivyo?"
Yeye: "tena umenikera na sirudi Leo "

Yani ninavyoandika hapa hadi sasa 11:36pm huyu mwanaume bado hajarudi na simu yake haipatikani.

Wanawake wenzangu naomba mnishauri nifanye nini?

Wanaume mnahisi alichokifanya mwanaume mwenzenu ni sahihi?
Yaani huyo ndio mwanamume wa ukweli kabisa.....kwanza utashika adabu....pili hamna mwanaume rijali akagegeda papuchi moja tuu so wala usi panic.
Ila kiukweli umemkosea heshima mume wako. Wacha akale raha na mchepuko
 
Hapo Mama hizo ni hasira tu na anajaribu kuwa mkali ili kupunguza uzito wa tatizo na kuzuga kiaina

Hili amelifanikisha ndio maana hadi sasa unawaza kuhusu yeye na sio ulichoona kwenye simu. Mpe muda baharia hawezi lala nje atarudi tu...
 
Pole sana...kuwa na subra...tulia ndani...endelea na maisha yako hapo hapo na watoto...na wala usimtafute...hata akirudi...punguza na vile wewe ulivyokuwa unavifanya...ili aone kuna kitu gani anakimiss kutoka kwako ambacho kabisa kabisa hawezi kukipata kwa huyo aliye nae huko sasa hivi...wewe utabaki kuwa wewe tu...

ILA VILE VILE NAKUPONGEZA KWA UJASIRI WA KUTAKA KUJUA UKWELI WA DHANA ULIYOKUWA NAYO...MAANA DHANA HAISAIDII KITU...ISIPOKUWA UKWELI HUSAIDIA SANA...

WENGI WANAJIDANGANYA KWA KUJIFICHA KUWA HAWAUMWI MAFUA KWA KUVUTA MAKAMASI NDANI NA KUYAMEZA KAMA MAFUA...KUMBE NI MAKASI...PENGA KAMASI TU KWA UHURU ILI UWE NA AMANI IJULIKANE KWELI NINA MAFUA...

ETI OOOH SIWEZI SHIKA SIMU YA MKE WANGU...THUBUTUUUU...HUKO NI KUTOKUJIAMINI...
 
Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?

Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
😂😂umekosa ushauri wa kumshauri mwanamke mwenzako kwl?
 
Khaa umeanza kuiga tabia ya yule mama wa arusha? Utampoteza mwenzio Kama mama Davis [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bora awahi maana baadae atakuja kuwa Mama Davis aliyekumbuka kutendewa bar na Sara kupewa nafasi kama mke...

Haya awahi kuwa Tilda aokoe ndoa mapema basi.. kwa kusali.

Huyu mumewe hapana aiseee.. awahi kabisaaaa maana ndio vituko kaanza.. na limbwata ni kama linahusu pia.
 
Hapo Mama hizo ni hasira tu na anajaribu kuwa mkali ili kupunguza uzito wa tatizo na kuzuga kiaina

Hili amelifanikisha ndio maana hadi sasa unawaza kuhusu yeye na sio ulichoona kwenye simu. Mpe muda baharia hawezi lala nje atarudi tu...
Hii kidogo point...hawa kunguru wanaokulaumu achana nao...

Ila bibie...nikuulize kitu...

HIVI HAKUNA KITU UMEKIPUNGUZA KUMPA MUMEO...

HIVI UNAMPA MUMEO PAPUCHI KISAWASAWA KWELI...? MUDA WOWOTE ANAOTAKA UNAMPA...?

UNAJIPAMBA KWA AJILI YAKE KWELI...? NA VIKOLOMBWEZO VYA KITANDANI VIPO VILE VILE AU UMEPUNGUZA UMEPELEKA KWA WATOTO...

NAAMINI HIVYO NI MOJA YA CHANZO...ILA WENGI MNAAMBIWA KILA SIKU KUWA ACHENI UTANI NA WAUME WAPENI VITU DANTA DANTA KADIRI MUWEZAVYO WAENJOY...MNAZIBA MASIKIO...

HILI NI TATIZO...HATA MIMI NATAMANI NIONGEZE MKE WA PILI KUTOKANA NA UTUMBI WA HII TABIA AMBAYO WANAWAKE WENGI WAKO NAO...WANAJISAHAU WAKIINGIA NDOANI...NAMUOGOPA TU MOLA WANGU SITAKI NA SIWEZI ZINI...

MSITUTIE KATIKA MATATIZO...
 
USHAURI WA HUYU BIBIE USIUCHUKUA NI IBILISI...ANAZIDI KUKUPOTEZA...

Ha ha haaaaa
Kama bado anapenda ndoa yake basi ni kusali tu kwa bidii.

Ila kwa alichofanya na kumjibu upuuzi huo hapana aiseee... ajiangalie maisha yake.. janamume la hivyo hapana aiseeee.. hapo hata iweje ndio analo.. fanya yako kimya kimya kama mjinga kumbe eeeeh. Amani itakuja ikiwa tendwa utende.. wala asimuulize tena maana ni anamchambua huyo mchepuko mwili hadi kukuche..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom