Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,951
- 183,448
Mwenza we mchukue tu huu mwezi wote. Ninayo mengi ya kutafakari.Mwenza,.leo zamu yangu...usiku mwema eeeh[emoji6]
Mwenza we mchukue tu huu mwezi wote. Ninayo mengi ya kutafakari.Mwenza,.leo zamu yangu...usiku mwema eeeh[emoji6]
Hujanishirikisha lakini mke mwenzangu...Mwenza we mchukue tu huu mwezi wote. Ninayo mengi ya kutafakari.
Huu ushauri sio mzuri huwezi kuifanya familia ya wazinzi.Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
ume missiwa si kidogoMwenza,.leo zamu yangu...usiku mwema eeeh😉
Khaa umeanza kuiga tabia ya yule mama wa arusha? Utampoteza mwenzio Kama mama Davis [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Yaani huyo ndio mwanamume wa ukweli kabisa.....kwanza utashika adabu....pili hamna mwanaume rijali akagegeda papuchi moja tuu so wala usi panic.Habari za usiku huu waungwana..naamini wote mko salama.
Niwaambie yaliyonikuta sasa..week kama tatu zilizopita nilianza kuhisi mume wangu anakimada ila sikutaka kumuuliza wala sikutaka ajue kama nahisi anachepuka.
Mumewangu alikua na tabia ya kuwahi kurudi nyumbani au hata kama anajua anachelewa hua lazima apige simu kunitaarifu.
Mumewangu alikua amenipa Uhuru na simu yake hata kama anaoga alinipa ruhusa niipokee na niongee na mpigaji na sio tu mimi Uhuru huo aliwapa hata watoto wake.
Wiki tatu zilizopita nikaona mwenzangu ameanza kubadilika..hatuna ruhusa ya kushika simu..hata kama inaita atatoka bafuni na apovu lake ataichukua simu maongezi yatafanyika bafuni..ukali ukaanza kwangu na watoto hata kama haikua na haja ya kutukalipia.
Nikaanza kufuatilia mwenendo wake ndipo nilipogundua ana mwanamke..leo asubuhi nikasubiri ameenda kuoga nikachukua simu bahati nzuri nywila yake naifahamu nikapunguza sauti nikaanza kupekua kwenye whatsapp.
Nikakutana na picha za tupu za huyo mwanamke huku wakisifiana wanavyofurahishana kitandani..nilijikuta sina nguvu kwakweli..ghafla na yeye akatoka bafuni akavaa huyo akaondoka hata kifungua kinywa hakupata.
Muda wa kama nusu saa hivi nikamtumia meseji
Mimi: "ahsante nimeona na nimejua kila kitu"
Mumewangu: "umekipata ulichokua wakitafuta na ukome"
Mimi: "yani Mume wangu ndio wanijibu ivyo?"
Yeye: "tena umenikera na sirudi Leo "
Yani ninavyoandika hapa hadi sasa 11:36pm huyu mwanaume bado hajarudi na simu yake haipatikani.
Wanawake wenzangu naomba mnishauri nifanye nini?
Wanaume mnahisi alichokifanya mwanaume mwenzenu ni sahihi?
😂😂umekosa ushauri wa kumshauri mwanamke mwenzako kwl?Sio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujanishirikisha lakini mke mwenzangu...
Khaa umeanza kuiga tabia ya yule mama wa arusha? Utampoteza mwenzio Kama mama Davis [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ETI OOOH SIWEZI SHIKA SIMU YA MKE WANGU...THUBUTUUUU...HUKO NI KUTOKUJIAMINI...
Hii kidogo point...hawa kunguru wanaokulaumu achana nao...Hapo Mama hizo ni hasira tu na anajaribu kuwa mkali ili kupunguza uzito wa tatizo na kuzuga kiaina
Hili amelifanikisha ndio maana hadi sasa unawaza kuhusu yeye na sio ulichoona kwenye simu. Mpe muda baharia hawezi lala nje atarudi tu...
Kahaba huyu anamfundisha mwenzie ukahaba...[emoji23][emoji23]umekosa ushauri wa kumshauri mwanamke mwenzako kwl?
😂😂😂yawezkan mkuuKahaba huyu anamfundisha mwenzie ukahaba...
USHAURI WA HUYU BIBIE USIUCHUKUA NI IBILISI...ANAZIDI KUKUPOTEZA...