Hivi hii coment ni yako kweli mkuu au wamehack simu yako mkuuWee sema stupid wala hamna shida hii ni cyberspace u are entitled to ur own opinion.
Lakini ukweli ni kwamba ukimkosea heshima mume ujue ndoa huna. Kama amekukataza kitu heshimu.
Habahaha jwa nini tumboo....alafu upo wapi weye tukale mdudu?Hivi hii coment ni yako kweli mkuu au wamehack simu yako mkuu
Ushaur mbovu kutoka sugar mummy la LumumbaSio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Wee wacha mdanganya mwenzio asishindane kabisa na mwanaume....ataumia yeye.Kuku ni wa kwako, manati ya nini?
Kama amesema harudi leo ndiyo freeesh! na wewe kalale na houseboy (kama yupo).
Kama hayupo hata mpemba anaweza kukupunguzia mawazo na hasira kwa siku moja.
Ushauri wa Marino huu kabisaaaSio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Habari za usiku huu waungwana..naamini wote mko salama.
Niwaambie yaliyonikuta sasa..week kama tatu zilizopita nilianza kuhisi mume wangu anakimada ila sikutaka kumuuliza wala sikutaka ajue kama nahisi anachepuka.
Mumewangu alikua na tabia ya kuwahi kurudi nyumbani au hata kama anajua anachelewa hua lazima apige simu kunitaarifu.
Mumewangu alikua amenipa Uhuru na simu yake hata kama anaoga alinipa ruhusa niipokee na niongee na mpigaji na sio tu mimi Uhuru huo aliwapa hata watoto wake.
Wiki tatu zilizopita nikaona mwenzangu ameanza kubadilika..hatuna ruhusa ya kushika simu..hata kama inaita atatoka bafuni na apovu lake ataichukua simu maongezi yatafanyika bafuni..ukali ukaanza kwangu na watoto hata kama haikua na haja ya kutukalipia.
Nikaanza kufuatilia mwenendo wake ndipo nilipogundua ana mwanamke..leo asubuhi nikasubiri ameenda kuoga nikachukua simu bahati nzuri nywila yake naifahamu nikapunguza sauti nikaanza kupekua kwenye whatsapp.
Nikakutana na picha za tupu za huyo mwanamke huku wakisifiana wanavyofurahishana kitandani..nilijikuta sina nguvu kwakweli..ghafla na yeye akatoka bafuni akavaa huyo akaondoka hata kifungua kinywa hakupata.
Muda wa kama nusu saa hivi nikamtumia meseji
Mimi: "ahsante nimeona na nimejua kila kitu"
Mumewangu: "umekipata ulichokua wakitafuta na ukome"
Mimi: "yani Mume wangu ndio wanijibu ivyo?"
Yeye: "tena umenikera na sirudi Leo "
Yani ninavyoandika hapa hadi sasa 11:36pm huyu mwanaume bado hajarudi na simu yake haipatikani.
Wanawake wenzangu naomba mnishauri nifanye nini?
Wanaume mnahisi alichokifanya mwanaume mwenzenu ni sahihi?kAMA YEYE HARUDI LEO NA WEWE NJOO ULALE KWANGU..HAIWEZEKANI ULALE PEKE YAKO?
si ndio ulichokuwa unakitafuta......umekipata sasa unateseka.....ndo mmeo huyo........ulipaswa kumwambia kabla hajaondoka...face to face......pole...ila usilipize itakkost.....tulia utafakari wapi umekosea,,, picha za chepuko umeziona...je amekuzidi nini,,chura au.......
Unataka umponze zaidi sasaSio sahihi kabisa.. je wewe unamtegemea yeye akulishe akuvishe?
Mwanaume akidakwa kawaida hawaleti dharau aliyokupa hata iweje.. nawe tafuta wako upoze roho. Unataka iweje kwani.. kajua umemkamata na kuyaona na anakudharau.. shooooo.. lala usingizi amka kesho tafuta furaha yako wewe
Huu ushauri sio mzuri huwezi kuifanya familia ya wazinzi.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
[/QUOTE
Akifanya hivyo hiyo ndoa inaelekea kuwa historia