Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Ni kheri upambane upate cm ingine, hii huwezi kuipata tena, Hao polisi watakugeuza bucha lao la hela.

Usi thubutuu
 
Naam. Kwenye box kunabandikwa stickers za imei number. Mie polisi walivoona tu box na ile picha ya simu wenyewe walicheka...wakaniambia we kweli hii simu yako. Na risiti pia nilikuwa nayo tena ile ya TRA. Simu yangu ilikuwa mpya ina kama miezi mitano tu
safi mkuu --- umenipa mwanga
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Simu ya aina gani? Hili ndilo la muhimu.
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Wewe una mtambo wa kutrack simu?
 
Back
Top Bottom