FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Huyo ni Polisi?.Kuna Mtu hapo juu amehoji kama tracking inaweza kufanywa pia na Mtu binafsi?.Nicheki nikuunganishe na jamaa yangu yeye ni pongo, atakutrakia kwa malipo kiduchu yamkini ukaipata..yuko smart sana kwenye hizo mambo