Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Inapatikana kama umeenda kituo kikuu cha police
 
Wapo watu wengi waishapata simu hasa Ikwa kui track....!!!

Huyo mwizi wako atarudisha simu, atakupa na pesa, atatoa na pesa ya Police, inategemea na Maelezo Yako Police.

Wengine huandika amepoteza
Simu ya 600,000..... Pia alipotexa milioni 2 ikiwa pamoja na hiyo simu....! Hapo gharama zako zitarudi, simu itarudi, na posho ya Askari ipo humor humo....!

Kuna jamaa yangu simu yake iliibiwa Dar akaenda kuipata Bukoba, na gharama zilirudi na faida juu.
Kaka naomba niunganishe nae nijue aliyemsaidia please
Unaona hata usijgizi hauji
 
Move on mkuu.
Laki sita ni ndogo sana.

Huenda mwizi kaiba akaiuze amtibie mama yake mgonjwa.
Ama ameenda kulipia mahari ili achukue jiko
Wameniibia kipindi ambacho nimefulia kweli
 
Wengi ya wanao kuambia achana nayo huenda ni wezi wenyewe wanaogopa utawakamata, Mimi mwaka Jana niliibiwa simu nikaenda kuriporti ,ikafanyiwa tracking,cha kushamgaza mwizi wangu alikuwa ni jirani yangu mwana mama,


Kama una IMEI ifuatilie utaipata.

Ushauri : jaribu kuwasiliana na polisi wa mbali na eneo ilipoibiwa simu ili kuepuka polisi kumkata mwizi wako na baadae wakamalizana kishua na wewe usipate simu yako,kama uko wilaya X wasiliana na polisi wa wilaya Y,utaipata simu bila shida,kikubwa hatua ya kwanza kariporti upate RB kwa kituo cha polisi karibu na wewe,usiwape details za simu
Umenipa bongee la ushauri

Nimewasiliana na polisi wa mkoani
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Police wa kibongo ni wavivu mno simu kupatikana inawezekana ila hawako tayari kufanya kazi
 
Watajuaje ni kweli umeibiwa, maybe tuseme umegombana na mtu sasa kisa unajua imei za simu yake ukafanya kumkomoa kwa kushtaki kwa tcra kuwa simu yako imeibiwa?
Najua utaleta kisingizio cha line/namba ya simu ila hilo achana nalo, nipe sababu nyngn

Hapo tcra kutakuwa na mfumo(app) au utaratibu wa maombi kwa njia ya barua kuomba kufunga hiyo simu
ktk barua utaambatanisha namba ya simu na namba ya nida na imei
kumbuka mifumo ya nida ina picha ya muhusika mmiliki wa simu na simcard ijiyopotea. Wakiridhika na taarifa wanaifunga hiyo simu
kwa utaratibu huu, wizi wa simu, laptop na zile tv kubwa utafika kikomo
endapo mtu akidanganya kutakuwa na hukumu yake
endapo mtu akichezea imei na kuifungua sheria na hukumu zipo
 
Jamaa hao Watakutafuta ikiwa wana maslahi na ww au aliyewatuma.

Watakula hiyo hela.. na mara nyingi ni kama umewapa DILI.. wanamtafuta mwizi wanakula kwake na kwako kimya kimya..
 
Back
Top Bottom