Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 12,924
- 32,333
TISS wanakuona.Mwnyw hapa Nimelia sana ðŸ˜
Unalia kwa keyboard uso mkavuu.
TISS wanakuona.Mwnyw hapa Nimelia sana ðŸ˜
Inapatikana kama umeenda kituo kikuu cha policeNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
N sawa na wale wanaotuambia tuandamane huku wao wapo mageto kwao wanakuna mbupu 😂TISS wanakuona.
Unalia kwa keyboard uso mkavuu.
Wazo zuriniliwahi kushauri
kwa nini TCRA wasiwe wanazifungia simu zinazoibiwa
mmiliki awapatie imei namba na taarifa ya upotevu tokea polisi
600K imeenda.N sawa na wale wanaotuambia tuandamane huku wao wapo mageto kwao wanakuna mbupu 😂
Duh!Achilia, usihuzunike ujue kuna mtu ulimdhulumu hivyo umelipia..!!
Kaka naomba niunganishe nae nijue aliyemsaidia pleaseWapo watu wengi waishapata simu hasa Ikwa kui track....!!!
Huyo mwizi wako atarudisha simu, atakupa na pesa, atatoa na pesa ya Police, inategemea na Maelezo Yako Police.
Wengine huandika amepoteza
Simu ya 600,000..... Pia alipotexa milioni 2 ikiwa pamoja na hiyo simu....! Hapo gharama zako zitarudi, simu itarudi, na posho ya Askari ipo humor humo....!
Kuna jamaa yangu simu yake iliibiwa Dar akaenda kuipata Bukoba, na gharama zilirudi na faida juu.
Wameniibia kipindi ambacho nimefulia kweliMove on mkuu.
Laki sita ni ndogo sana.
Huenda mwizi kaiba akaiuze amtibie mama yake mgonjwa.
Ama ameenda kulipia mahari ili achukue jiko
Yaani katika maisha yangu nikiwa na akili timamuAchilia, usihuzunike ujue kuna mtu ulimdhulumu hivyo umelipia..!!
Umenipa bongee la ushauriWengi ya wanao kuambia achana nayo huenda ni wezi wenyewe wanaogopa utawakamata, Mimi mwaka Jana niliibiwa simu nikaenda kuriporti ,ikafanyiwa tracking,cha kushamgaza mwizi wangu alikuwa ni jirani yangu mwana mama,
Kama una IMEI ifuatilie utaipata.
Ushauri : jaribu kuwasiliana na polisi wa mbali na eneo ilipoibiwa simu ili kuepuka polisi kumkata mwizi wako na baadae wakamalizana kishua na wewe usipate simu yako,kama uko wilaya X wasiliana na polisi wa wilaya Y,utaipata simu bila shida,kikubwa hatua ya kwanza kariporti upate RB kwa kituo cha polisi karibu na wewe,usiwape details za simu
Police wa kibongo ni wavivu mno simu kupatikana inawezekana ila hawako tayari kufanya kaziNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Plz niconect plzNikupe pole tu nilipitia hilo janga mwaka jana, vikosi 4 vilitumika kuitrack huyo wa nne ndiye aliipata haikuwa rahisi hata kidogo,
Am surePolice wa kibongo ni wavivu mno simu kupatikana inawezekana ila hawako tayari kufanya kazi
Namaanisha other side of meKwamba unataka kuroga kwa sababu ya simu tu?
Watajuaje ni kweli umeibiwa, maybe tuseme umegombana na mtu sasa kisa unajua imei za simu yake ukafanya kumkomoa kwa kushtaki kwa tcra kuwa simu yako imeibiwa?
Najua utaleta kisingizio cha line/namba ya simu ila hilo achana nalo, nipe sababu nyngn
Ndo nimeambiwa hivyoInapatikana kama umeenda kituo kikuu cha police
Kaka utapoteza pesa zaidi kwanza ni simu ya Kampuni gani?Kaka naomba niunganishe nae nijue aliyemsaidia please
Unaona hata usijgizi hauji