Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,014
- 95,520
Kidumu chama Cha ma jobless pro maxWewe una fahamika ni jobless mwenzangu
Kidumu chama Cha ma jobless pro maxWewe una fahamika ni jobless mwenzangu
Hapo ukishampata mwizi wako na wewe unamtoa hela tu afidie gharama zakoYeye alienda ku report kwenye Kituo Cha Police eneo ilipopotea Simu, so wewe nenda jirani na Kituo Cha Police jirani na ulipoibiwa simu, utapewa Mpelelezi, then huyo Mpelelezi ndiyo unapanga naye Ndonga vizuri.
Ni wewe ndiyo unatakiwa kumuwezesha, mfano atataka kwenda TCRA kuchukua data flani, aende kwenye Kampuni za simu kucheki Kama Ile simu Toka muda imeibiwa mpaka wakati huo, kama iliweza kuwa hewani n.k, utapewa Police Mpelelezi anayejua mambo ya Mitandao, then mtashirikiana pamoja.
Mfano kwenye issue ya jamaa yangu, baada ya kumwezesha huyo afisa, baada ya week hivi, alimpigia simu kwamba simu yake ipo Bukoba, anasemaje..!? Kuna mawili, waondoke wote Toka Dar mpaka Bukoba, ama wamuandikie Barua, aende yeye pekee Bukoba, then akifika Bukoba aka report Kituo Cha Police then atapewa Askari.... Yeye aliamua kugharamika, akachagua kuondoka na Askari hapa Dar, safari Bukoba, na Uzuri yeye alikua ana I track Simu yake, so Walimkama mwizi wake ndani ya Nyumba kama Kuku.
So ukubari tu kugharamika.
Kidumu daima , laki 6 tunatolea wapi ya kununua simu tu bwashee?Kidumu chama Cha ma jobless pro max
Enzi zako ulisumbua wewe! Unakumbuka ulivyomuacha jamaa ubungo
Kituo nilichoenda kwa kweli ni kidogoYeye alienda ku report kwenye Kituo Cha Police eneo ilipopotea Simu, so wewe nenda jirani na Kituo Cha Police jirani na ulipoibiwa simu, utapewa Mpelelezi, then huyo Mpelelezi ndiyo unapanga naye Ndonga vizuri.
Ni wewe ndiyo unatakiwa kumuwezesha, mfano atataka kwenda TCRA kuchukua data flani, aende kwenye Kampuni za simu kucheki Kama Ile simu Toka muda imeibiwa mpaka wakati huo, kama iliweza kuwa hewani n.k, utapewa Police Mpelelezi anayejua mambo ya Mitandao, then mtashirikiana pamoja.
Mfano kwenye issue ya jamaa yangu, baada ya kumwezesha huyo afisa, baada ya week hivi, alimpigia simu kwamba simu yake ipo Bukoba, anasemaje..!? Kuna mawili, waondoke wote Toka Dar mpaka Bukoba, ama wamuandikie Barua, aende yeye pekee Bukoba, then akifika Bukoba aka report Kituo Cha Police then atapewa Askari.... Yeye aliamua kugharamika, akachagua kuondoka na Askari hapa Dar, safari Bukoba, na Uzuri yeye alikua ana I track Simu yake, so Walimkama mwizi wake ndani ya Nyumba kama Kuku.
So ukubari tu kugharamika.
sio gharama tu na usumbufu pia,bkuna mmoja ali lipishwa 1.3m akati kitu Cha elfu 80 tu.Hapo ukishampata mwizi wako na wewe unamtoa hela tu afidie gharama zako
Ilikua kwa ajili ya kaziKidumu daima , laki 6 tunatolea wapi ya kununua simu tu bwashee?
Kabisaa!! Uku tunatumia simu za mamilioni tu👿Pole ila simu laki sita kwa sisi matariji wa humo jf ni upumbavu tu
kwanza iki gundulika kiongozi yoyote ana simu ya bei hiyo, adhabu ni kunyongwa au kupigwa risasi hadharani min -meKidumu daima , laki 6 tunatolea wapi ya kununua simu tu bwashee?
Naam. Na imesaidia kwa kweliuna tabia za kutunza ma vitu Kama zangu, nina box nilizo nunua game pad 2023 mpaka Leo🤔😁
Kabisa sijui huyu wa laki 6 katokea wapi na hayupo jobless group 🤔Kabisaa!! Uku tunatumia simu za mamilioni tu👿
Kuna wakati nakusanya nasema nika zidump kwenye dust bin, shida ni Kama memories so naona Kama nazi kosea😁Naam. Na imesaidia kwa kweli
Pole madam mzuriIlikua kwa ajili ya kazi
Naona Vinywaji changamshi vimesha Anza kazi😀Pole madam mzuri
Itakuwa anadhani Jf ni kama facebook 👿Kabisa sijui huyu wa laki 6 katokea wapi na hayupo jobless group 🤔
Polisi na wezi ni kitu kimoja hapa Tanzania👿Nimeibiwa simu mbili mwaka huu huu na hadi leo sijazipata na police nilireport wakasema wanafuatilia, nimeulizia hadi nimechoka. Hii nchi ni ngumu sana
Natupia kisport tu bwashee ,nipo kwenye mazoezi makali mno ya mwili ,sitaki kupoteza points na mapombe kihivyo.Naona Vinywaji changamshi vimesha Anza kazi😀
Hivi kumbe jina lako ni mkoka moto , mara nyingi najua ni makorokoro 🤣🤣 leo ndio nineweka umakini nikang'amua hili😆😆😆Itakuwa anadhani Jf ni kama facebook 👿
Basi ruksaNatupia kisport tu bwashee ,nipo kwenye mazoezi makali mno ya mwili ,sitaki kupoteza points na mapombe kihivyo.
😂😂😂😂Pole ila simu laki sita kwa sisi matajiri wa humo jf ni upumbavu tu