Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Pole sana
Hela ya kutrack ongezea laki 2 nunua simu yako ya laki 3 hadi 4 safi kabisa.
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia poli
Wengi ya wanao kuambia achana nayo huenda ni wezi wenyewe wanaogopa utawakamata, Mimi mwaka Jana niliibiwa simu nikaenda kuriporti ,ikafanyiwa tracking,cha kushamgaza mwizi wangu alikuwa ni jirani yangu mwana mama,


Kama una IMEI ifuatilie utaipata.

Ushauri : jaribu kuwasiliana na polisi wa mbali na eneo ilipoibiwa simu ili kuepuka polisi kumkata mwizi wako na baadae wakamalizana kishua na wewe usipate simu yako,kama uko wilaya X wasiliana na polisi wa wilaya Y,utaipata simu bila shida,kikubwa hatua ya kwanza kariporti upate RB kwa kituo cha polisi karibu na wewe,usiwape details za simu
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Nicheki nikuunganishe na jamaa yangu yeye ni pongo, atakutrakia kwa malipo kiduchu yamkini ukaipata..yuko smart sana kwenye hizo mambo
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Pole sana. Mitaa ya wapi umeibiwa?
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Pole sana mkuu, unaweza kuipata kama watakuzingatia hao police kinyume chake ni ngumu sana, ila jaribu kufuatilia na ukimjua ambae yupo kwenye kitengo hicho hapo ulipopeleka mashtaka yako nadhani ingekua vizuri zaidi.
 
Kuna Mganga kule Lushoto, Soni, mkoani Tanga, huyo mwizi atakutafuta ulipo mwenyewe. Gharama zake ni kuanzia f40 tu..Maadui wa Chadema watakusumbua tu, wakiipata watakuomba password kwa madai ya kutrack account yake online, inauzwa mapema sana. Labda kama una ndugu huko.
 
Polisi ya tz ni wapumbavu ilo ni jukumu lao kutrack wahalifu bure wakimkamata huyo muhalifu ndiyo abanwe siyo wewe uliye ibiwa uwalipe wapumbavu wakutrakie mwizi ...kazi ya polisi ni gani sasa? Tena ndiyo maana kuna tabia kuwa polisi wakimtrack mwizi na kumpata wanamalizana naye juu kwa juu na pesa yako inakuwa imeliwa ...wanachukua kwa muhalifu na wanachukua kwako.na simu upatiwi wanakuambia atujampata .
Pumbavu kabisa, nilichogundua kumbe hata polisi tunaowalaumu hawana vifaa vya kutrack, serikali haijawawezesha. Ni ujinga ujinga tu.
 
M
Kuna Mganga kule Lushoto, Soni, mkoani Tanga, huyo mwizi atakutafuta ulipo mwenyewe. Gharama zake ni kuanzia f40 tu..Maadui wa Chadema watakusumbua tu, wakiipata watakuomba password kwa madai ya kutrack account yake online, inauzwa mapema sana. Labda kama una ndugu huko.
mkuu Ndengaso naomba code ya huyo mtaalam, Kuna mshenzi kanidhulumu pesa zangu hafu anatamba kbs!
 
niliwahi kushauri
kwa nini TCRA wasiwe wanazifungia simu zinazoibiwa
mmiliki awapatie imei namba na taarifa ya upotevu tokea polisi
Watajuaje ni kweli umeibiwa, maybe tuseme umegombana na mtu sasa kisa unajua imei za simu yake ukafanya kumkomoa kwa kushtaki kwa tcra kuwa simu yako imeibiwa?
Najua utaleta kisingizio cha line/namba ya simu ila hilo achana nalo, nipe sababu nyngn
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Kuna jamaa yupo humu JF alileta story kuwa aliibiwa laptop maskani kwake Morogoro, akaelekezwa akavuka kwenda Kinole huko baada ya siku kadhaa jamaa aliyeiba alirejesha laptop yake vzr kbs na shughuli nzima ilimgharimu 40k+ nauli, yule mdau plz kama unaona huu uzi msaidie mwana plz!!
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Are you sister as avatar look like
 
Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Kama ni iPhone unaipata. Kama ni Android hapo ni kazi sana
 
Back
Top Bottom