Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,846
😹😹😹 Tena mbunye ya kimasai awwwehh..!!Achana nayo,polisi watakula pesa na mbunye na bado hutaipata
😹😹😹 Tena mbunye ya kimasai awwwehh..!!Achana nayo,polisi watakula pesa na mbunye na bado hutaipata
Ila nkamu😂😂😂😹😹😹 Tena mbunye ya kimasai awwwehh..!!
😹😹 Nimeacha Nkamu niliteleza..!!Ila nkamu😂😂😂
SI unaona inavyouma aiseh!!hasta Mimi imeniuma sana!Tusipangiane la kufanya tafadhari....
Wengi ya wanao kuambia achana nayo huenda ni wezi wenyewe wanaogopa utawakamata, Mimi mwaka Jana niliibiwa simu nikaenda kuriporti ,ikafanyiwa tracking,cha kushamgaza mwizi wangu alikuwa ni jirani yangu mwana mama,Nimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia poli
Nicheki nikuunganishe na jamaa yangu yeye ni pongo, atakutrakia kwa malipo kiduchu yamkini ukaipata..yuko smart sana kwenye hizo mamboNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Pole sana. Mitaa ya wapi umeibiwa?Nimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Pole sana mkuu, unaweza kuipata kama watakuzingatia hao police kinyume chake ni ngumu sana, ila jaribu kufuatilia na ukimjua ambae yupo kwenye kitengo hicho hapo ulipopeleka mashtaka yako nadhani ingekua vizuri zaidi.Nimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Mkuu, hivi tukikushuku kuwa MWIZI wa simu ya maasai dada tutakuwa tumekosea?Move on mkuu.
Laki sita ni ndogo sana.
Huenda mwizi kaiba akaiuze amtibie mama yake mgonjwa.
Ama ameenda kulipia mahari ili achukue jiko
Pumbavu kabisa, nilichogundua kumbe hata polisi tunaowalaumu hawana vifaa vya kutrack, serikali haijawawezesha. Ni ujinga ujinga tu.Polisi ya tz ni wapumbavu ilo ni jukumu lao kutrack wahalifu bure wakimkamata huyo muhalifu ndiyo abanwe siyo wewe uliye ibiwa uwalipe wapumbavu wakutrakie mwizi ...kazi ya polisi ni gani sasa? Tena ndiyo maana kuna tabia kuwa polisi wakimtrack mwizi na kumpata wanamalizana naye juu kwa juu na pesa yako inakuwa imeliwa ...wanachukua kwa muhalifu na wanachukua kwako.na simu upatiwi wanakuambia atujampata .
mkuu Ndengaso naomba code ya huyo mtaalam, Kuna mshenzi kanidhulumu pesa zangu hafu anatamba kbs!Kuna Mganga kule Lushoto, Soni, mkoani Tanga, huyo mwizi atakutafuta ulipo mwenyewe. Gharama zake ni kuanzia f40 tu..Maadui wa Chadema watakusumbua tu, wakiipata watakuomba password kwa madai ya kutrack account yake online, inauzwa mapema sana. Labda kama una ndugu huko.
Simu ya laki 6 nkamu imekwapuliwa na vibaka😹😹 Nimeacha Nkamu niliteleza..!!
Watajuaje ni kweli umeibiwa, maybe tuseme umegombana na mtu sasa kisa unajua imei za simu yake ukafanya kumkomoa kwa kushtaki kwa tcra kuwa simu yako imeibiwa?niliwahi kushauri
kwa nini TCRA wasiwe wanazifungia simu zinazoibiwa
mmiliki awapatie imei namba na taarifa ya upotevu tokea polisi
Kuna jamaa yupo humu JF alileta story kuwa aliibiwa laptop maskani kwake Morogoro, akaelekezwa akavuka kwenda Kinole huko baada ya siku kadhaa jamaa aliyeiba alirejesha laptop yake vzr kbs na shughuli nzima ilimgharimu 40k+ nauli, yule mdau plz kama unaona huu uzi msaidie mwana plz!!Nimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Are you sister as avatar look likeNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Kama ni iPhone unaipata. Kama ni Android hapo ni kazi sanaNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police