Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Nimeibiwa simu yenye thamani ya Tshs laki 6

Nimeibiwa sim na nisharipot police

Sasa niitrack au police watakula ela zangu

Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Me simu yangu niliipata after 3 weeks. Polisi walizingua week 3, nikaunganishwa na askari kanzu mmoja siku ya pili tu kanipigia simu nikachkue simu yangu kituo kilekile walokuwa wananizungusha kuwa bado hawajapata taarifa
Nilimlipa laki 1 lkn nashkuru laki yangu ilirudi baada ya kumtikisa jamaa alokutwa nayo ikabidi na yeye anilipe ili tuachane na kesi
 
Me simu yangu niliipata after 3 weeks. Polisi walizingua week 3, nikaunganishwa na askari kanzu mmoja siku ya pili tu kanipigia simu nikachkue simu yangu kituo kilekile walokuwa wananizungusha kuwa bado hawajapata taarifa
Nilimlipa laki 1 lkn nashkuru laki yangu ilirudi baada ya kumtikisa jamaa alokutwa nayo ikabidi na yeye anilipe ili tuachane na kesi
Polisi wa nchi gani mkuu, Samahani lkn!
 
Kaka naomba niunganishe nae nijue aliyemsaidia please
Unaona hata usijgizi hauji
Yeye alienda ku report kwenye Kituo Cha Police eneo ilipopotea Simu, so wewe nenda jirani na Kituo Cha Police jirani na ulipoibiwa simu, utapewa Mpelelezi, then huyo Mpelelezi ndiyo unapanga naye Ndonga vizuri.

Ni wewe ndiyo unatakiwa kumuwezesha, mfano atataka kwenda TCRA kuchukua data flani, aende kwenye Kampuni za simu kucheki Kama Ile simu Toka muda imeibiwa mpaka wakati huo, kama iliweza kuwa hewani n.k, utapewa Police Mpelelezi anayejua mambo ya Mitandao, then mtashirikiana pamoja.

Mfano kwenye issue ya jamaa yangu, baada ya kumwezesha huyo afisa, baada ya week hivi, alimpigia simu kwamba simu yake ipo Bukoba, anasemaje..!? Kuna mawili, waondoke wote Toka Dar mpaka Bukoba, ama wamuandikie Barua, aende yeye pekee Bukoba, then akifika Bukoba aka report Kituo Cha Police then atapewa Askari.... Yeye aliamua kugharamika, akachagua kuondoka na Askari hapa Dar, safari Bukoba, na Uzuri yeye alikua ana I track Simu yake, so Walimkama mwizi wake ndani ya Nyumba kama Kuku.

So ukubari tu kugharamika.
 
Inawezekana ukaipata kwa kuitrack. Ila utatakiwa kuwa mfuatiliaji sana na itahusisha gharama kama za kuwabeba maofisa wa polisi kuipata.
 
Hii nayo ni mbinu ya polisi ili upate matumaini utoboke kibunda.... Haya mambo ukiyasikiliza huwezi elewa ila yakikupata alafu ukachukulia ulivyoeleza utalia mara 5 kuliko ungepotezea upotevu wa hiyo simu.

Comment yako inaenda sambamba na vigogo au wenye nguvu ya kumcontral mpelelezi
Pesa Inam control Mpelelezi Mkuu, mm Kuna kipindi nilipata changamoto kidogo, na nilikua nahitaji Askari, nilimpigia jamaa yangu mmoja mjanja mjanja hivi, kuwa nahitaji Askari Nina tatizo Moja mbili, na muhisika anakuja jioni nataka kumkamata, jioni nikakuta Askari 9 Mkuu, wamekuja na Magari Yao 2, nikakaa nao Kikao nikawaambia ntawapa laki 2 wakifanikisha ntawapa laki 3, Askari 9 na wakakubari na tukafanikisha na tulienda na mtuhumiwa mpaka Police.

So Kuna issue unampa Askari apeleleze, hutaki kumuwezesha, unataka atumie mshahara wake kufatilia issue Yako, hapo ndo inakua ngumu, ila kama unaweza kuchagia Mafuta kidogo, mambo yanakua rahisi, na Wakati mwingine hawahitaji pesa nyingi.
 
Polisi wa nchi gani mkuu, Samahani lkn!
Zanzibar
It was 2023 August. Na me niliungwanishwa na mtu ambae hata yeye aliipata simu yake baada ya kuibiwa.
Months before mke wa brother simu yake aliisahau airport Zanzibar, jamaa aloipata akaipiga bei fasta. Simu ilikuwa mpya ya kama 2.M, yeye alilipa laki 2 cyber crime moja kwa moja na siku ya pili tu simu yake aliipata.
Nilipata funzo baada ya kuniambia kuwa alikuwa na kila kitu chake hadi box alonununulia, risiti, etc. So na mimi nilivonunua ya kwangu nikahifadhi kila kitu changu na ndio imesaidia.
Of course me na kawaida hio huwa situpi box na risiti. Mana kuna simu 2 nilinunua 2021 na japo 1 ishaharibika lkn still box mpk Leo ninalo
 
Pesa Inam control Mpelelezi Mkuu, mm Kuna kipindi nilipata changamoto kidogo, na nilikua nahitaji Askari, nilimpigia jamaa yangu mmoja mjanja mjanja hivi, kuwa nahitaji Askari Nina tatizo Moja mbili, na muhisika anakuja jioni nataka kumkamata, jioni nikakuta Askari 9 Mkuu, wamekuja na Magari Yao 2, nikakaa nao Kikao nikawaambia ntawapa laki 2 wakifanikisha ntawapa laki 3, Askari 9 na wakakubari na tukafanikisha na tulienda na mtuhumiwa mpaka Police.

So Kuna issue unampa Askari apeleleze, hutaki kumuwezesha, unataka atumie mshahara wake kufatilia issue Yako, hapo ndo inakua ngumu, ila kama unaweza kuchagia Mafuta kidogo, mambo yanakua rahisi, na Wakati mwingine hawahitaji pesa nyingi.
Umeeleweka... Maana yake ukitaka huduma ya usalama inatakiwa uilipie tena mara ya pili baada ya malipo ya mshahara ambayo ni kodi unazolipa.
Sasa basi wale kidogo wasitake kula mpaka hadi mtaka huduma aone bora kupotezea
 
Zanzibar
It was 2023 August. Na me niliungwanishwa na mtu ambae hata yeye aliipata simu yake baada ya kuibiwa.
Months before mke wa brother simu yake aliisahau airport Zanzibar, jamaa aloipata akaipiga bei fasta. Simu ilikuwa mpya ya kama 2.M, yeye alilipa laki 2 cyber crime moja kwa moja na siku ya pili tu simu yake aliipata.
Nilipata funzo baada ya kuniambia kuwa alikuwa na kila kitu chake hadi box alonununulia, risiti, etc. So na mimi nilivonunua ya kwangu nikahifadhi kila kitu changu na ndio imesaidia.
Of course me na kawaida hio huwa stupid box na risiti. Mana kuna simu 2 nilinunua 2021 na japo 1 ishaharibika lkn still box mpk Leo ninalo
vizuri sana mkuu,

na hapa kama mtu hatopata funzo la "USINUNUE SIMU YA MKONONI KWA MTU USIYEMFAHAMU" itakua hatari sana

kwahiyo ukipoteza simu polisi unaenda na box + risiti ?
 
vizuri sana mkuu,

na hapa kama mtu hatopata funzo la "USINUNUE SIMU YA MKONONI KWA MTU USIYEMFAHAMU" itakua hatari sana

kwahiyo ukipoteza simu polisi unaenda na box + risiti ?
Naam. Kwenye box kunabandikwa stickers za imei number. Mie polisi walivoona tu box na ile picha ya simu wenyewe walicheka...wakaniambia we kweli hii simu yako. Na risiti pia nilikuwa nayo tena ile ya TRA. Simu yangu ilikuwa mpya ina kama miezi mitano tu
 
Zanzibar
It was 2023 August. Na me niliungwanishwa na mtu ambae hata yeye aliipata simu yake baada ya kuibiwa.
Months before mke wa brother simu yake aliisahau airport Zanzibar, jamaa aloipata akaipiga bei fasta. Simu ilikuwa mpya ya kama 2.M, yeye alilipa laki 2 cyber crime moja kwa moja na siku ya pili tu simu yake aliipata.
Nilipata funzo baada ya kuniambia kuwa alikuwa na kila kitu chake hadi box alonununulia, risiti, etc. So na mimi nilivonunua ya kwangu nikahifadhi kila kitu changu na ndio imesaidia.
Of course me na kawaida hio huwa stupid box na risiti. Mana kuna simu 2 nilinunua 2021 na japo 1 ishaharibika lkn still box mpk Leo ninalo
una tabia za kutunza ma vitu Kama zangu, nina box nilizo nunua game pad 2023 mpaka Leo🤔😁
 
Back
Top Bottom