DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,635
- 81,535
Afate huu ushauri.Jamaa hao Watakutafuta ikiwa wana maslahi na ww au aliyewatuma.
Watakula hiyo hela.. na mara nyingi ni kama umewapa DILI.. wanamtafuta mwizi wanakula kwake na kwako kimya kimya..
Ikiwa kuna taarifa zake nyeti afatilie hiyo simu ila ikiwa ndo empty tu ajiandae kuoigwa hela na polisi