Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,379
- 12,574
Story za kuchangamsha kijiwe 😂😃Chai plus alkasusu
Story za kuchangamsha kijiwe 😂😃Chai plus alkasusu
Habari wadau..!
Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .
Nilianza kazi vizuri tu ,ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa ,nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.
Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa ,nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi .Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.
Mungu anisamehe kwa kweli ,kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mm nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.
Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote,kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.
Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe,na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.
Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara,kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.
Naombeni ushauri bandugu hii job niipge chini au nifanyeje,????maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss.Ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
Dah! enzi zileeee!Ngoswe penzi kitovu cha uzembe
Mbaya zadi badala sukari katia magadi aakhkhhh!Haujaipika vizuri....
View attachment 1828016
Picha kwanza ushauri utategemea na picha mbona huu ndio utaratibu wetu jamani 😃Habari wadau..!
Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .
Nilianza kazi vizuri tu ,ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa ,nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.
Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa ,nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi .Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.
Mungu anisamehe kwa kweli ,kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mm nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.
Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote,kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.
Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe,na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.
Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara,kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.
Naombeni ushauri bandugu hii job niipge chini au nifanyeje,????maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss.Ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
Sijui kampuni gani inaajiri vilaza kama hawa,yaani kupangilia tu tukio hawezi🤣🤣🤣🤣Mbona kwenye uzi wako sijaona ulijofukuzwa kazi?
Au macho yangu mabovu
Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa ,nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi .Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.
Mungu anisamehe kwa kweli ,kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mm nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.
Sisi tulio kwenye ndoa tunapigwa sana kwenye familia. Wanawake wamekuwa wabishi kama wenyeviti wa Serikali za Mtaa, yaani hawataki kutusomea mapato na matumizi ya familia.
Tumia kichwa cha juu hicho cha chini kitakupeleka magerezaHahahaaaaa mazafanta
Yani nifanye kazi then nisilipwe bila sababu za msingi..!!!
Aisee nitawapiga tukio hapo ofisini hawato sahau maisha.
Mwenyewe bado nashangaa tu hpaDuuuhhhh, hiyo ofisi yenu kwa kusharatika hamjambo. Hilo gheto lako liko karibu na mlango wa kazini kwenu?
OMBA UPIGE TENA, SAFARI HII MPULIZE MKUNDU KABISA, ANAKUWA WAKO DAIMA HUYO. ATAKUWA ANAOMBA SAMAHANI KWA BOSI THEN ANARUDI KWAKO TENA KAZI INAENDELEAHabari wadau.
Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .
Nilianza kazi vizuri tu, ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa, nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.
Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa, nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi. Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.
Mungu anisamehe kwa kweli, kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mimi nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.
Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote, kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.
Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe, na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.
Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara, kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.
Naombeni ushauri bandugu hii job niipige chini au nifanyeje? Maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.