mireille
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 523
- 576
MY BOSS MY LOVE NO:01
MTUNZI....... RITHA STORIES
WHATSAPP.........0763836152
Kwa majina natwa Lilian Adrian jina la tatu mliache nitawatajia siku nyingine
Mimi ni Binti wa miaka 27
Nimezaliwa mkoani Tanga mama yangu ni msambaa alafu baba yangu nasakia ni mpemba
Ninavyosema nasikia iko hivi ngoja nifafanue mimi Simjui baba yangu kwa sura Wala kwasauti
Mama alisema kuwa alimpa mimba kipindi Bado yuko shule akaikataa ile mimba na akatoroka kukwepa kufungwa
Aliamua kupambana mwenyewe alinizaa na kunilea hadi nilipofika miaka 7 akawa amepata mwanaume wa kumuoa akaniacha mm kwa Bibi yangu Tanga na yeye akaenda kuishi mwanza
Namshukuru Mungu mama yangu pamoja na bibi yngu wamekuwa ni watu wathamani sana katika maisha wangu
Kwakua mama yangu aliishia njia katika ndoto zake alikuwa akilia sana na kumuomba Mungu nisiishie njiani
Mungu ni mwema nilisoma hadi nikamaliza elimu ya juu
Mama yangu alifurahi sana
Baada ya kumaliza chuo shida ikabaki kwenye kupata kazi nyie nilizunguka kwenye ma office ya watu mpaka basi miaka 4 yote natafuta kazi bila mafanikio
Mwishoni nikaamua kuachana na habari za kuatafuta kazi nikaniajili mwenyewe
Nilianza kufanya biashara ya vitafunwa mwanzo ilikuwa ni nzuri na yenye faida ila sijui akaingia mdudu gani nikawa siuzi kabisa
Mwanzo nilikuwa nauza chapati maandazi vitumbua na sambusa lakin ilifika mda vyote vikafa nikabaki nauza maandazi tena na yenyewe nilikuwa nauza siku mbili na mda mwingine yanabaki hadi siku ya 3 tunaamua kula siku nzima
"We Lilian kulikoni leo umelala hadi saizi" alikuwa Bibi yangu kipenzi amekuja kuniamsha
" Leo sipiki kitu"
"Hee kwann unaumwa?"
"Hapana Bibi siumwi ila nimechoka kila siku kuamka mapema napik alafu naambulia hasara "
"Sikia mjukuu wangu hasara ni jambo la kawaida kwenye biashara huwezi kupata faida kila siku ndio maana Kuna jua na mwezi kiangazi na masika hivyo hutakiwi kukata tamaa kabisa "
"Hata usihangaike kutafuta misamiati siendi
"Bibi Kila siku unaniambia hivyo hivi mara ya mwisho lini nimepika hayo maandazi yakaisha yaani Kila siku ni hasara tu hadi nachoka "
"Hata usijihangaishe kuongea misamiati siendi nimeshachoka kufanya kazi za hasara "
"Sawa pumzika basi "
Bibi aliondoka chumbani kwangu nikabaki nimelala huku navuta usingizi
Usingizi ukiwa umenoga nilishtuliwa na sm iliyokuwa inaita
"Aaaaa nani tena asubuhi yote hii" nikiangalia aliye kuwa napiga nikakuta ni mama heee nilikurupuka na kukaa nikapokea haraka
"Hallo shikamoo mama"
"Nina habari njema mwanangu"
"Umenishtua nikajua Kuna tatizo"
"We unawazaga matatizo tu"
"Okay niambie habari gani hizo "
"Nimeota umepata kazi tena yenye mshahara mzuri sana "
"Kumbe umeota nikajua unaniambia nimepata niende "
"Hiyo ndio shida yako huna Imani kabisa "
"Imani?mama ni mara ngapi umesema kuwa Mungu kakwambia kuwa napata kazi ?"
"Mwanangu Mungu huwa hadanganyi Wala hawahi au kuchelewa bali anafanya kwa wakati wake na bakuli kua huo Wakati ni sasa"
"Mmmm haya amina "
"Amina mwanangu sasa nakutumia Hela ukanunue nguo za kazin sawa"
"Ila mama na wewe sasa unanitumiaje Hela wakazi yenyewe haijapatikana "
"Imani ni kuwa na hakika na mambo ya tarajiwayo ni baina ya mambo yasiyo onekana"
"Amina tuma mama"
Alikata nikaweka sm pembeni nakuendelea kulala
Nilikuja kuamka saa mbili nikakuta bibi ameshapika chai nikanywa na kwenda kufua nguo
Mchana mama alituma 150000 ili nikanunue nguo
Nyie mama yangu ananipenda basi tu
Mungu anitunzie mama yangu ili aje afaidi matunda ya mwanae
Baada ya kumaliza kazi zote niliamua kukaa zangu chumbani kwangu nikiwa bz napitia picha za mimi na . marafiki zangu kipindi tukiwa chuo
Nilijikuta njisikia vibaya kwani marafiki zangu wote walikuwa wanamisha Yao mazuri tu na kazi nzuri na baadhi yao walikuwa tayari wameshapata wenzi wa maisha yao
Ila mimi sasa sina kazi Sina mchumba Wala msebure miaka ndio hiyo inaenda
MTUNZI......... Ritha stories
WHATSAPP...........0763836152
Nikiwa katika ndimbwi la mawazo nilishitushwa na sm yangu ilikuwa inaita
Haraka niliichukua na kuangalia alikuwa ni rafiki yang Tuli
"Hallo my Tuli".
"Nyooo baada ya kukupigia ndio unajifanya my Tuli"
"Aaaa bwana usiniambie umenuna"
"Nisinune vp wakati hata sim hutaki kunipigia sijui ndo ushapata rafiki mwingine kwaiyo umenisahau"
" Aaa weee naanzaje kukuacha rafiki yang kipenzi "
"Mh hay bhn ,haya tuachane na hayo sikia nimekupigia kukupa habari njema "
"Usiniambie unaolewa"
"We nawe unawazaga kuolewa tu"
"Sasa kimebaki nini kama wewe umesha soma na kazi tayar "..
"Bibi wewe niache kula bata eti nikimbilie kuolewa hivi unadhani ndoa mchezo we zisikie kwa watu tu na uziache hivyo hivyo, hembu ngoja niende kwenye point, ni hivi hapa kazini Kuna nafasi za kazi za watu wa 5 wawili wa kozi yko na hawa wengine wakitengo kingine sasa hapa nimeshakenua meno kwa meneja ili upate nafasi"
"Weeee usiniambie "
"Ndio hivyo mpenzi kwaiyo kesho nakuomba ufike Dar mapema ili kesho kutwa ukafanye interview"
"Ndio maana nakupenda T wangu Mungu akuweke my dear "
"Usijali my utoke sasa maana umeshachoma maandazi hadi ukipita unanukia hiliki tu"
"Hahhahaha hay mpenzi asante sana "
"Poa basi ngoja niende kwa shemeji yako "
"Haya mpe hi"
Tuliagana nikakimbia nje huku nikishangilia na kwenda kumkumbatia bibi akiwa zake bz kufuma mikeka
"Wewe unata kunivunja mabega yangu"
"Bibi na wewe jitahidi kuwa mzungu hata kwa mda basi hapa ulitakiwa usema hey be careful and why you're so happy, sio unataka kunivunja "
"Nimekosa nn hadi niwe mzungu "
"Achana na hayo ni hivi nnimepigiwa sm na T anasema Kuna nafasi ya kazi huko dar kwaiyo natakiwa kuondoka kesho "
"Mama yako ameshaniambia"..
" Mama amekwambia "ilibidi niiulize kwanza kwani mama kajuje T amempigia hapana T hawezi kumpigia mama
"Alisema kuwa Mungu kamwambia "
"Oooo! Basi ndio hivyo "
"Kwaiyo kesho nabaki pekee yangu " bibi aliongea kwa unyonge nilijikuta na jisikia vibaya nikamkumbatia na kumwambia
"Hapana huatakuwa peke yako niko na wewe japo kimwili hatutakuwa wote ila kiroho Niko na wewe"
"Kwaiyo tutoke kwenye huu mwili tuishi kiroho"
",Wewe tena hata sijui babu alikupataje"
"Eee muache Mpenzi wangu"
"Umezidi mwanamke hauko romantic hata kidogo uko kibabe tu"
"Mwezio alinipendea ubabe sasa wewe endelea na uromantic wako"
"Subiri uone kama sijakupindua "
"Si mpaka uweze"
Basi tukipiga story pale ilipofika jioni nilimwaga nguo zote kitandani nikachagua zile nzuri Kisha nikaziweka kwenye begi
Mara sim ikaita kuangalia ni mama
"Hello dada Vanessa"niliongea kimatani, huwa nimezoea kumtania basi akiwa vibaya ananichambaga mpaka basi
"Koma wewe nani dada yako"
"Hahahahahaha wamesha kuvurugwa tayari "
"Mbona hujaniambia kama unaenda kufanya interview kesho kutwa "
"Hee mama we siumeshajua kabla yangu "
"Hata kama ungeniambia "
"Sawa dear mama nisamehe "
"Haya umeshajiandaa"
"Ndio mama "
"Na nguo ulinunua'"
"Hapana nitanunua nilifika huko huko "
"Kwaiyo kwenye hiyo interview utaenda umevaa
nini "
'" nguo za kuvaa zipo nyingi"
"Haya utajua mwenyewe,ila jitahidi kwenda ukiwa smart"
"Hilo tu usijali"
"Haya jioni njema"
"Haya mama byee"
"Alafu uoshe hizo nywele usije kwenda kwenye office za watu na minywele inayonuka "
"Mama bhn ushaanza mambo yako"
"Mambo yangu yamefanya nn we osha hicho kichwa tena ikiwezekana ukasuke kama huna hela sema nikutumie "
"Kusuka tena bora nioshe tu"
"Osha na usuke nakutumia hela ukasuke sasa ole wako bibi yako aniambie hujasuka".
"Sasa mama nasuka sangp wakati safari ni kesho asubuhi "
"Sasaivi unanyonyesha au uko mazishini"
"Eeee haya nitaenda "
"Na uoge vizuri "
"Tena haya mama"
Hakutaka hata kuaga akakata sm
Nyie ngoja niwaambie moja kati ya vitu ambavyo sipendi ni kitu kinaitwa kusuka Nina unywele huo balaa ila nasuka mara moja kwa miezi na zinakuwa kama maboga alafu zimejaa yaani hewa haipiti kwenye ngozi
Huwa natamani kuzinyoa ila mama yangu sasa heee alishaniambia ole wangu ninyoe yan anazipenda kama zake vile
Namvutia waya tu siku atasikia Nina upala
Basi niliosha nywele mda huo muamala ukasoma mama kasha tuma hela huyu mwanamke na nywele ni bala
Baada ya kumaliza kuosha nikaenda kusuka kwa dada mmoja hivi jirani yetu
Kesho yake niliamka asubuhi nikaongozana na bibi hadi stendi tukaagana Kisha nikapanda gari na safari ya kuja dar ikaanza
MY BOSS MY LOVE 03
MTUNZI........... RITHA STORIES
WHATSAPP..... ...0763826152
Baada ya masaa kadhaa nilifika dar nikaona nipite kununua nguo ili nilifika nyumbani nipumzike
*****Nilinunua nguo Kisha nikapanda dala dala hadi kigamboni huko ndiko alikuwa akiishi rafiki yang Tuli
"Heeee mrembo wa kitanga naona umeshaingia "
"Acha maneno mengi we nikaalibishe ndani alafu nipe ugari nile zangu maana hapa naona giza tu"
"Wewe tena nakula hujambo,mh za huko utokako"
"Nitokako nzuri , naomba chakula basi au unataka nife kwa njaa"
"Bwanaee usini pelekeshe we umefika tuliza mshono hapo "
Alienda jikon akaniletea chakula kwajinsi nilivyokuwa na njaa nilikifakamia chap nikamaliza
"Bado tu hujajifunza kula kama mtoto wa kike"
"Unikome yaani ninanjaa alafu nianze kuokota punje moja moja ili iweje au nimekuwa ndege ,
haya unaweza kunisalimia hapa naona mwanga"
"Mh huyo shemeji kazi anayo naona huko aliko aandae mashamba ya kulima maana mke anae"
Basi tulipiga story kama zote mda wa kulala ulipofika tulilala
Nilikuja kuamshwa na sim ya mama akitaka tuombe
Alianza kuimba nyimbo za kusifu akaingia kwenye za kuambudu,Toba kisha akaanza kuomba mimi nilikuwa narudia Yale maneno aliyokuwa anatamka
Aliomba hadi ikafika mda nikachoka nikabaki namsikiliza tu ............ kwanzia saa kumi hadi saa kumi na mbili na robo ndio tukamaliza akaniaga na kunitakia siku njema
"Mh mama yako anakipawa Cha kuomba sio poa yaani mda wote huo haishiwi maneno"
"Nakwambia Kuna watu Mungu kawabariki mimi nikiomba Sana dakika 5 "
"Haya nisikupigishe story ukachelewa bure "
Niliinuka nikaenda kuoga Kisha nikatangulia kutoka yeye siku hiyo alikuwa anachelewa kuingia kazin
Nilifika kwenye hiyo kampuni nilikutana watu wengi yaani kama wamelala pale
Niliangalia watu walivyokuwa wengi na watu wanao hitajika mh moyo ukishuka nikaona hapa sijui labda Mungu aweke mkono wake
lakin nilikumbuka mama alisema kuwa hata kama kutakuwa na watu Zaid ya elfu kumi na wakawa wanahitaji mtu mmoja mimi naamini utapita na ninakili hilo sio mimi tu unatakiwa pia ukili hivyo
Basi nilikaa zamu yangu ilipofika nikaingia nikafanya interview ikaenda vizuri tu Kisha nikaambiwa nitapewa jibu
Baada ya kuambiwa hivyo nilirudi nyumban
Wiki ilipita sijapokea sm wiki ya pili ikapita mh hapo nikaamini kuwa sitopata
Jioni Tuli alikuja akanambia kuwa wamechagua wengine na leo wameanza kazi
Nilijisikia vibaya nikakumbuka mama alivyokuwa anasema kuwa ameoneshwa na maombi yote tuliyokuwa tumeomba jumlisha na sadaka ambazo tumekuwa tukitoka
Nikajikuta nasema kwa sauti yenye maumivu sana
"Mungu kwann lakin"...... Tuli alisikia akanitia moyo pale mwisho nikaona nimpigie mama nimpe taarifa
"Hallo mama"
"Umeshindaje mwanangu mzuri "
"Vibaya ile kazi nimekosa tena"
"Amekwambia nani kuwa umekosa kazi "
"Mama sio kaniambia nani watu wame shachaguliwa na kazi wameanza "
"Subiri wakat wako wa kuchaguliwa unafika Kwan Mungu wangu hawezi kuongea uongo "
Ukweli nilimuona mama kama nini sijui nikaamua kukata sm
Nilipanga nguo zangu tayar kurudi kijijini
"Lakin Lilian kwanini usikae tu hapa tukatafuta kaz nyingine kuliko kwenda kijijini "
"Hapana Tuli bora nikakae na bibi yangu"
Tukiwa bado tunaongea sm yangu iliita niliichuka nakuwangalia ilikuwa ni namba ngeni
Nilibonye kitufe cha kupokea (natumia kiswaswadu)
"Hello"
Ilisikika sauti upande wa pili alikuwa ni mwanamke
"Yes hello"
"Naongea na miss LILIAN ADRIAN"
"ndio ni mm"
Aliongea kitu ambacho kilinishtua nikabaki nimetoa macho
"Wewe vp mbona umekuwa hivyo" Tuli aliuliza baada ya kuona nimetoa macho nilimuangalia na kusema
"Nimepata kazi"weeee aliruka na kushangilia
"Uuuu asante Mungu kukumpatia kazi rafiki yang kipenzi "
"Ila sio kwenye kampuni unayofanya kazi "
"Heee kwa ulifanya interview na kampuni gani"
''moja tu ila Hawa walio nipigia nilifanya interview mwaka mmoja ulio pita ''
"Heee hii inawezekana je"
"Sijui " nilibaki nimekaa tu yaani sikuelewi nini kimetokea nikaona nimpigie mama nimpe taarifa
"Mama nimepata kazi "
"Nilikwambia kuwa Mungu wangu ni Mungu wa kweli akisema anatimiza"
"Amina ila sio kwenye hii niliyoenda kufanya interview bali ni Ike niliyofanya mwaka Jana "
"Mwanangu Mungu hawahi Wala hachelewi Bali anajibu kwa wakati na huu ndio wakat wenyewe "
MY BOSS MY LOVE NO 4
Mtunzi......... Ritha stories
Whatsapp no 0763826152
"sasa hiyo kampuni si Iko dodoma"
"Ndio mama"
"Kwaiyo inakuwaje"
"Inabidi niende na nimeambiwa kuwa natakiwa kuanza kazi kesho kutwa"
"Heee sasa utaweza kupata nyumba kesho "
"sidhani mama mimi naona niende tu nitalala gest alafu nitafuta ndani ya siku mbili hivi nitakuwa nimepata"
"Haya basi ngoja nitakutumia Hela kesho mchana naimani nauli utakuwa nayo"
"Ndio mama "
Alikata sm tukabaki tunayapanga na Tuli wangu
Kesho asubuhi alinisindikiza hadi stend akanipa sma yake kubwa pia akanipa na Hela kiasi
Nilimshukuru Sana Kisha nikapanda gari
Nilifika dodoma muda wa saa kumi nikaenda kwenye gest mbayo nilifikia mwaka Jana
Nilichukua chumba nikalala nilikuja kuamka saa tatu' nikatoka na kwenda kupata chakula
Kesho yake asubuhi niliamka nikajiandaa Kisha nikaenda kupanda dala dala saa kumi na mbili na dakika 45 nikiwa tayar ofisini
Kwakuwa ilikuwa Bado mapema ilibidi nisubiri maana watu walikuwa Bado
Saa moja na nusu ndio watu wakaanza kuingia
"Habari yako dada"
"Nzuri, nikusaidie nn"
Nilijieleza bale akanambia meneja hajafika msubiri
Basi nikakaa kumsubiri
Baada kama nusu saa alifika nikaenda ofisini kwake
"Miss Lilian "
"Yes"
'karibu sana '
'asant '
"Okay shika hili file alafu uende gorofa ya tatu juu chumba no 5 ukifika huko utampa hilo file alafu atakwambia Cha kufanya '"
"Sawa asante sana"
"Karibu"niliinuka na kuondoka nikapanda lift hadi sehemu husika
Nilifika nikagonga mlango Kisha nikaruhusiwa kuingia
"Karibu"alinikaribisha baada ya kuingia ndani
"Asante"
"Bila Shaka wewe ndio miss Lilian Adrian"
"Yeah ndio mimi"
"Okay unatakiwa kusaini huu mkataba "nilipokea nikausoma baada ya kusoma nikalidhika nao nikasain
then akamuita mdada mmoja hivi akasema kuwa huyo ndio atakuwa msaidizi wangu kwakipindi hili ambacho Bado ni mgeni
akamwambia anipeleke kwenye office yangu
Nilimshukuru Sana Mungu kwani nimepata kazi nzuri na ina msharaha mnono
"Waooo office ninzur so poa yaani imekaa kimataifa Zaid nilirudi nyuma na kuangalia mlangoni kulikuwa na jina langu waoo kweli Mungu akikuinua anakuweka viwango vya juu zaidi"
"Samahani we ni ndugu yake Mr Sam ee" aliniuliza yule dada (Recho)
"Mr Sam ndio nani "
" Chef Director"
"Hapana sio ndugu yangu kwann"
" No nimeuliza maana hii kampuni hawaajili mtu asiekuw na uzoefu,na shangaa wewe huna uzoefu na umeajiliwa"
Nilitabasamu na kumwambia
"Ni Mungu tu''"
"Mmh haya bhana basi mimi naondoka ukihitaji kitu utaniita"
"Sawa asante sana "
Aliondoka nikachukua sm na kumpigia mama aliniambia kuwa nikifika kabla sijakaa kwenye kiti changu nimpigie
Alipokea akasema nivyema kumshukuru Mungu na kuomba ulinzi pamoja na kuvunja maroho yote machafu pia kama Kuna kitu kilichomtoa Alie kuwa kabla yangu kisinipate
Basi akaomba mimi kama kawaida yangu namfatiliza kile anacho ongea
Baada ya maombi akaniambia sasa unaweza kukaa Mungu akutangulie katika kazi yako mwanangu
Nikaitika "amen " Kisha nikakata sm na kuanza kazi
Nilifanya kazi hadi mda wa chai nikamfuata Recho tukaenda sehemu ya chakula
Tukifika tukaagiza chai ikaletwa tukanywa mda wakulipa akasema kuwa mimi sitakiwi kulipa kwakua watu walioko ngazi ya juu wana pata chakula bure
Nilishangaa maana sijawahi kuisikia hii
Yaani nimekunywa chai kwa kujibana kumbe ni bure
Tuliinuka na kurudi ofisini ratiba zingine zikaendelea
Mchana ulifika tukaenda kula safari hii nilipiga msosi haswaa chezea vya bure wewe
Wakati tukiwa tunakula nilimuuliza Recho kuhusu nyumba kama anaweza kujua mdalali aniunganishe nao
Akanambia atanifanyia mpango
Kweli jion ilipofika mda wa kuondoka akanipa namba ya dalali nikamtafuta tukapanga kuonana
Kwakuwa ilikuwa bado mapema nikaenda kuonana nae akanipeleka kwenye baadhi ya nyumba nikaangalia
Baada ya kuzunguka sikupata nyumba maana bei ilikuwa juu sana nikiangalia na Hela yangu haitoshi kabisa
Nikamuomba anipeleke ambazo bei yake iko kawaida tu
Tukapata ila shida kukawa ni mbali na kazin
Nikabiga mahesabu ya nauli na hiyo Kodi nikaona nibora nikapange kwenye zile ambazo ziko karibu na kazin ambako sihitaji kupanda gari
Nikaona hapa nina haja ya kukopa Hela nikampigia Tuli nikaongea nae hakuwa na neno kipenzi changu alikubari na baada ya dakika kumi tu akanitumia Kisha akasema
Hain haja ya kunilipa nimekupa kama best friend wangu
Nyie nilishukuru hadi nikatamani kumpigia magoti kwenye sm
Nikalipia miezi yangu sita iliyobaki nikanunua vitu vyichache kama ndoo ya maji na ya kuogea,jiko la mkaa,sufuria 2,sahani mbili, vijiko viwili,
Na vingine vidogo vidogo
Kisha nikarudi kule gest nikalala kumalizia hela yangu
Kesho yake nikaingia job Kama kawaida
MY BOSS MY LOVE 05
Mtunzi........ Ritha stories
WHATSAPP .......0763826152
Nilifanya kazi ipofika jioni nikaenda kule gest nikachukua nguo zangu
Na kumkabidhi chumba Kisha nikaenda kule nilikopanga
Nilifika nikafungua mlango nikaingia
Niliangalia mazingira ya chumba kilikuwa kinachekesha yaani hamna hata godoro ni mkeka na neti ndoo mbili sufuria sahani mbili jiko na beseni ndogo basi
Nilitandika mkeka na kuweka neti kish nikaenda kuoga. (choo na bafu vilikuwa humo humo ndani"
Baada ya kutoka kuoga nilikaa na kupiga story na Tuli hadi saa tano ndio ni kalala
Wiki iliisha huku maisha yakisoga kama kawaida
Siku moja hivi ilikuwa ni weekend
Nikiwa nje nafua liliingia gari mule ndani akashuka mkaka mmoja hivi nilivyomuona tu nilidondoka pale pale na kuzimia
Nilikuja kuamka nikiwa hospital yaani nafungua macho tu namkuta yule kaka kakaa pembeni yangu nikazimia tena
Baada ya mda niliamka tena safari hii hakuwepo
Niliamka na kukaa huku nikiwa na mwazo nilijiuliza hivi nimeona mzimu au nilikuwa naota
Na kama nikuota mbona Niko hapa hapana ni kweli sasa inawezekanaje frank akawa hai jamani au kaanza kunitokea
Sijakaa sawa akaingia nesi
"Heee umeamka?"
(A aha nimelala yaani haya maswali ya kijinga huwa siyapendagi mm yaani mtu anakuja anakuuliza kitu ambacho anajibu nacho kabisa ) niliongea kichwani
"Samahani sana nesi nimefikaje hapa"
" Umeletwa ukiwa umepoteza fahamu "
"Ooo nimeletwa na nani"
"Na jirani yako"
Jirani yupi mbona yule mmama hayupo
Niliwaza maana pale nilipopanga tunakaa wawili tu yaani mimi na mmama mmoja hivi tena na yeye hayupo sasa huyo jirani ni yupi ,ona sasa nilivyoanza kuvurugwa nimeshahau kama pale Kuna mlinzi nahisi atakuwa ndio amenileta hapa
Nikiwa bado nawaza yule kaka akaingia
Nilitoa macho kuhakikisha naota au naona mzimu
Lakin hakuwa mzimu maana alikuwa akiongea na nesi sasa Kam ni mzimu inamaana ningemuona mim
tu
nesi akaondoka yule kaka akasogea karibu yangu na kuniuliza
"Vp hali yako unajisikiaje" sikumjibu zaidi nilikuwa namuangalia kwa huzuni sana nilijikuta namkumbatia huku nikilia
"Frank kwann uliniacha" niliongea na kilio Cha kwikwi hakunijibu Bali alikuwa akinipapasa mgongoni kama ana nibalembeleza vile
Nilijitoa na kumshika usoni "frank asante asante kwakuja tena kwenye maisha yangu nakupenda sana " yaani nilikuwa Kam chizi gafla tu msikini kaka wawatu alikuwa ananiangalia tu sijui alikuwa anawaza nn au aliniona chizi
Nililia Sana mwisho akaamua kuongea
Mmmm akakohoa kidogo Kisha akasema
"Pole kwa yaliyo kukuta lakin mimi sio Frank ila ni Bosco "
"No wewe ni frank wangu "
"Dada samahani najua hauko sawa ila mimi sio huyo Frank "
Alivyoongea hivyo nilimuachia Kisha nikasogea pembeni huku mchozi yakushuka tu nilimkumba Frank wangu sana nikabaki nalia tu
Alipoona hali yangu akaondoka na kuniacha mwenyewe
Alikaa kama lisaa akarudi tena nilimuangalia vile vyokuwa akiingia yaani hata kutembea anatembea kama frank wangu
"Unajisikiaje kwa sasa"aliuliza baada ya kukaa
"Niko sawa asante" nilijibu kama vile Niko sawa ila sikuwa sawa kabisa kila nilivyomungalia kumbukumbu zote nikiwa na Frank zilikuwa zinajirudia kichwani moyo uliuma sana
Akilini niliwaza inakuwaje watu wakafanana namna hii
Doctor alikuja akasema kuwa niko sawa naweza kwenda nyumbani
Basi tukatoka tuliingia kwenye gari na kurudi nyumbani njia nzima nilikuwa namuangalia tu
Tulifika akashuka na kuja kunifungulia mlango
"Unakaa chumba kipi" aliuliza nikamuonesha akataka kunishika ila nikamwambia niko sawa so naweza kutembea mwenyewe
Basi nikaingia ndani sikutaka hata aingie ndani maana kilivyo hakufai hata mtu kuja
Alielewa akahakikisha nimeingia ndani
Nilifika ndani nikajikuta picha yote ya maisha yangu na Frank ilirudi kwenye kichwa changu
Nilikaa chini kama mzigo kilio kikaanza upya
"Frank kwann lakin"
Nilikumbuka siku ya kwanza kuonana na Frank
Ilikuwa siku ya j 4 kipindi hicho ndio naingia chuo mwaka wakwanza
Siku hiyo nilikuwa nimetoka kumuona mama yangu mdogo gongolamboto nikiwa nimesimama kusubiri gari alikuja mkaka mmoja na kusimama nyuma yangu akanifunika koti kwa nyuma
Nilishtuka sana na kugeuka akaniangalia kama vile hajikatokea kitu akasema
"Umechafuka" aliponiambia hivyo lilinishtuka nikataka kugeuka akasema
"Kuwa na amani nisubiri hapa nakuja"
Nilibaki kimya tu kugeuka nilitamani ila nilifikilia watu walioko nyuma nikaona hiii ni aibu
Baada ya dakika chache akawa amerudi ameshika mfuko hata hakunisemesha
Alinishika mkono tukaongozana yaani nilikuwa kimya nikifikilia kweli siku hiyo ilikuwa siku yangu ya kuingia kwenye siku zangu
Lakin nilisahau na kutoka bila hata bila kuvaa Pedi
Tuliongozana hadi tuka pita lile eneo nililokuwa akaniachia na kunipa ule mfuko
Nilitaka kukataa ila sikuwa na namna maana hata sikuwa na akiba zaidi ya nauli tu
Basi nikapokea na kwenda msalani nikafika huko nikaangalia kwenye ule mfuko kuliwa na gauni chupi na Pedi sabuni na mafuta
Nilibadilisha na kutoka chakushangaza sikumkuta niliangaza macho huku na huko ila hakuwepo
Nikaona nimsubiri ili nimshukuru na pia nimpe koti lake
Nilikaa wee hadi mda ukaenda sana lakin hakutokea
MTUNZI....... RITHA STORIES
WHATSAPP.........0763836152
Kwa majina natwa Lilian Adrian jina la tatu mliache nitawatajia siku nyingine
Mimi ni Binti wa miaka 27
Nimezaliwa mkoani Tanga mama yangu ni msambaa alafu baba yangu nasakia ni mpemba
Ninavyosema nasikia iko hivi ngoja nifafanue mimi Simjui baba yangu kwa sura Wala kwasauti
Mama alisema kuwa alimpa mimba kipindi Bado yuko shule akaikataa ile mimba na akatoroka kukwepa kufungwa
Aliamua kupambana mwenyewe alinizaa na kunilea hadi nilipofika miaka 7 akawa amepata mwanaume wa kumuoa akaniacha mm kwa Bibi yangu Tanga na yeye akaenda kuishi mwanza
Namshukuru Mungu mama yangu pamoja na bibi yngu wamekuwa ni watu wathamani sana katika maisha wangu
Kwakua mama yangu aliishia njia katika ndoto zake alikuwa akilia sana na kumuomba Mungu nisiishie njiani
Mungu ni mwema nilisoma hadi nikamaliza elimu ya juu
Mama yangu alifurahi sana
Baada ya kumaliza chuo shida ikabaki kwenye kupata kazi nyie nilizunguka kwenye ma office ya watu mpaka basi miaka 4 yote natafuta kazi bila mafanikio
Mwishoni nikaamua kuachana na habari za kuatafuta kazi nikaniajili mwenyewe
Nilianza kufanya biashara ya vitafunwa mwanzo ilikuwa ni nzuri na yenye faida ila sijui akaingia mdudu gani nikawa siuzi kabisa
Mwanzo nilikuwa nauza chapati maandazi vitumbua na sambusa lakin ilifika mda vyote vikafa nikabaki nauza maandazi tena na yenyewe nilikuwa nauza siku mbili na mda mwingine yanabaki hadi siku ya 3 tunaamua kula siku nzima
"We Lilian kulikoni leo umelala hadi saizi" alikuwa Bibi yangu kipenzi amekuja kuniamsha
" Leo sipiki kitu"
"Hee kwann unaumwa?"
"Hapana Bibi siumwi ila nimechoka kila siku kuamka mapema napik alafu naambulia hasara "
"Sikia mjukuu wangu hasara ni jambo la kawaida kwenye biashara huwezi kupata faida kila siku ndio maana Kuna jua na mwezi kiangazi na masika hivyo hutakiwi kukata tamaa kabisa "
"Hata usihangaike kutafuta misamiati siendi
"Bibi Kila siku unaniambia hivyo hivi mara ya mwisho lini nimepika hayo maandazi yakaisha yaani Kila siku ni hasara tu hadi nachoka "
"Hata usijihangaishe kuongea misamiati siendi nimeshachoka kufanya kazi za hasara "
"Sawa pumzika basi "
Bibi aliondoka chumbani kwangu nikabaki nimelala huku navuta usingizi
Usingizi ukiwa umenoga nilishtuliwa na sm iliyokuwa inaita
"Aaaaa nani tena asubuhi yote hii" nikiangalia aliye kuwa napiga nikakuta ni mama heee nilikurupuka na kukaa nikapokea haraka
"Hallo shikamoo mama"
"Nina habari njema mwanangu"
"Umenishtua nikajua Kuna tatizo"
"We unawazaga matatizo tu"
"Okay niambie habari gani hizo "
"Nimeota umepata kazi tena yenye mshahara mzuri sana "
"Kumbe umeota nikajua unaniambia nimepata niende "
"Hiyo ndio shida yako huna Imani kabisa "
"Imani?mama ni mara ngapi umesema kuwa Mungu kakwambia kuwa napata kazi ?"
"Mwanangu Mungu huwa hadanganyi Wala hawahi au kuchelewa bali anafanya kwa wakati wake na bakuli kua huo Wakati ni sasa"
"Mmmm haya amina "
"Amina mwanangu sasa nakutumia Hela ukanunue nguo za kazin sawa"
"Ila mama na wewe sasa unanitumiaje Hela wakazi yenyewe haijapatikana "
"Imani ni kuwa na hakika na mambo ya tarajiwayo ni baina ya mambo yasiyo onekana"
"Amina tuma mama"
Alikata nikaweka sm pembeni nakuendelea kulala
Nilikuja kuamka saa mbili nikakuta bibi ameshapika chai nikanywa na kwenda kufua nguo
Mchana mama alituma 150000 ili nikanunue nguo
Nyie mama yangu ananipenda basi tu
Mungu anitunzie mama yangu ili aje afaidi matunda ya mwanae
Baada ya kumaliza kazi zote niliamua kukaa zangu chumbani kwangu nikiwa bz napitia picha za mimi na . marafiki zangu kipindi tukiwa chuo
Nilijikuta njisikia vibaya kwani marafiki zangu wote walikuwa wanamisha Yao mazuri tu na kazi nzuri na baadhi yao walikuwa tayari wameshapata wenzi wa maisha yao
Ila mimi sasa sina kazi Sina mchumba Wala msebure miaka ndio hiyo inaenda
MTUNZI......... Ritha stories
WHATSAPP...........0763836152
Nikiwa katika ndimbwi la mawazo nilishitushwa na sm yangu ilikuwa inaita
Haraka niliichukua na kuangalia alikuwa ni rafiki yang Tuli
"Hallo my Tuli".
"Nyooo baada ya kukupigia ndio unajifanya my Tuli"
"Aaaa bwana usiniambie umenuna"
"Nisinune vp wakati hata sim hutaki kunipigia sijui ndo ushapata rafiki mwingine kwaiyo umenisahau"
" Aaa weee naanzaje kukuacha rafiki yang kipenzi "
"Mh hay bhn ,haya tuachane na hayo sikia nimekupigia kukupa habari njema "
"Usiniambie unaolewa"
"We nawe unawazaga kuolewa tu"
"Sasa kimebaki nini kama wewe umesha soma na kazi tayar "..
"Bibi wewe niache kula bata eti nikimbilie kuolewa hivi unadhani ndoa mchezo we zisikie kwa watu tu na uziache hivyo hivyo, hembu ngoja niende kwenye point, ni hivi hapa kazini Kuna nafasi za kazi za watu wa 5 wawili wa kozi yko na hawa wengine wakitengo kingine sasa hapa nimeshakenua meno kwa meneja ili upate nafasi"
"Weeee usiniambie "
"Ndio hivyo mpenzi kwaiyo kesho nakuomba ufike Dar mapema ili kesho kutwa ukafanye interview"
"Ndio maana nakupenda T wangu Mungu akuweke my dear "
"Usijali my utoke sasa maana umeshachoma maandazi hadi ukipita unanukia hiliki tu"
"Hahhahaha hay mpenzi asante sana "
"Poa basi ngoja niende kwa shemeji yako "
"Haya mpe hi"
Tuliagana nikakimbia nje huku nikishangilia na kwenda kumkumbatia bibi akiwa zake bz kufuma mikeka
"Wewe unata kunivunja mabega yangu"
"Bibi na wewe jitahidi kuwa mzungu hata kwa mda basi hapa ulitakiwa usema hey be careful and why you're so happy, sio unataka kunivunja "
"Nimekosa nn hadi niwe mzungu "
"Achana na hayo ni hivi nnimepigiwa sm na T anasema Kuna nafasi ya kazi huko dar kwaiyo natakiwa kuondoka kesho "
"Mama yako ameshaniambia"..
" Mama amekwambia "ilibidi niiulize kwanza kwani mama kajuje T amempigia hapana T hawezi kumpigia mama
"Alisema kuwa Mungu kamwambia "
"Oooo! Basi ndio hivyo "
"Kwaiyo kesho nabaki pekee yangu " bibi aliongea kwa unyonge nilijikuta na jisikia vibaya nikamkumbatia na kumwambia
"Hapana huatakuwa peke yako niko na wewe japo kimwili hatutakuwa wote ila kiroho Niko na wewe"
"Kwaiyo tutoke kwenye huu mwili tuishi kiroho"
",Wewe tena hata sijui babu alikupataje"
"Eee muache Mpenzi wangu"
"Umezidi mwanamke hauko romantic hata kidogo uko kibabe tu"
"Mwezio alinipendea ubabe sasa wewe endelea na uromantic wako"
"Subiri uone kama sijakupindua "
"Si mpaka uweze"
Basi tukipiga story pale ilipofika jioni nilimwaga nguo zote kitandani nikachagua zile nzuri Kisha nikaziweka kwenye begi
Mara sim ikaita kuangalia ni mama
"Hello dada Vanessa"niliongea kimatani, huwa nimezoea kumtania basi akiwa vibaya ananichambaga mpaka basi
"Koma wewe nani dada yako"
"Hahahahahaha wamesha kuvurugwa tayari "
"Mbona hujaniambia kama unaenda kufanya interview kesho kutwa "
"Hee mama we siumeshajua kabla yangu "
"Hata kama ungeniambia "
"Sawa dear mama nisamehe "
"Haya umeshajiandaa"
"Ndio mama "
"Na nguo ulinunua'"
"Hapana nitanunua nilifika huko huko "
"Kwaiyo kwenye hiyo interview utaenda umevaa
nini "
'" nguo za kuvaa zipo nyingi"
"Haya utajua mwenyewe,ila jitahidi kwenda ukiwa smart"
"Hilo tu usijali"
"Haya jioni njema"
"Haya mama byee"
"Alafu uoshe hizo nywele usije kwenda kwenye office za watu na minywele inayonuka "
"Mama bhn ushaanza mambo yako"
"Mambo yangu yamefanya nn we osha hicho kichwa tena ikiwezekana ukasuke kama huna hela sema nikutumie "
"Kusuka tena bora nioshe tu"
"Osha na usuke nakutumia hela ukasuke sasa ole wako bibi yako aniambie hujasuka".
"Sasa mama nasuka sangp wakati safari ni kesho asubuhi "
"Sasaivi unanyonyesha au uko mazishini"
"Eeee haya nitaenda "
"Na uoge vizuri "
"Tena haya mama"
Hakutaka hata kuaga akakata sm
Nyie ngoja niwaambie moja kati ya vitu ambavyo sipendi ni kitu kinaitwa kusuka Nina unywele huo balaa ila nasuka mara moja kwa miezi na zinakuwa kama maboga alafu zimejaa yaani hewa haipiti kwenye ngozi
Huwa natamani kuzinyoa ila mama yangu sasa heee alishaniambia ole wangu ninyoe yan anazipenda kama zake vile
Namvutia waya tu siku atasikia Nina upala
Basi niliosha nywele mda huo muamala ukasoma mama kasha tuma hela huyu mwanamke na nywele ni bala
Baada ya kumaliza kuosha nikaenda kusuka kwa dada mmoja hivi jirani yetu
Kesho yake niliamka asubuhi nikaongozana na bibi hadi stendi tukaagana Kisha nikapanda gari na safari ya kuja dar ikaanza
MY BOSS MY LOVE 03
MTUNZI........... RITHA STORIES
WHATSAPP..... ...0763826152
Baada ya masaa kadhaa nilifika dar nikaona nipite kununua nguo ili nilifika nyumbani nipumzike
*****Nilinunua nguo Kisha nikapanda dala dala hadi kigamboni huko ndiko alikuwa akiishi rafiki yang Tuli
"Heeee mrembo wa kitanga naona umeshaingia "
"Acha maneno mengi we nikaalibishe ndani alafu nipe ugari nile zangu maana hapa naona giza tu"
"Wewe tena nakula hujambo,mh za huko utokako"
"Nitokako nzuri , naomba chakula basi au unataka nife kwa njaa"
"Bwanaee usini pelekeshe we umefika tuliza mshono hapo "
Alienda jikon akaniletea chakula kwajinsi nilivyokuwa na njaa nilikifakamia chap nikamaliza
"Bado tu hujajifunza kula kama mtoto wa kike"
"Unikome yaani ninanjaa alafu nianze kuokota punje moja moja ili iweje au nimekuwa ndege ,
haya unaweza kunisalimia hapa naona mwanga"
"Mh huyo shemeji kazi anayo naona huko aliko aandae mashamba ya kulima maana mke anae"
Basi tulipiga story kama zote mda wa kulala ulipofika tulilala
Nilikuja kuamshwa na sim ya mama akitaka tuombe
Alianza kuimba nyimbo za kusifu akaingia kwenye za kuambudu,Toba kisha akaanza kuomba mimi nilikuwa narudia Yale maneno aliyokuwa anatamka
Aliomba hadi ikafika mda nikachoka nikabaki namsikiliza tu ............ kwanzia saa kumi hadi saa kumi na mbili na robo ndio tukamaliza akaniaga na kunitakia siku njema
"Mh mama yako anakipawa Cha kuomba sio poa yaani mda wote huo haishiwi maneno"
"Nakwambia Kuna watu Mungu kawabariki mimi nikiomba Sana dakika 5 "
"Haya nisikupigishe story ukachelewa bure "
Niliinuka nikaenda kuoga Kisha nikatangulia kutoka yeye siku hiyo alikuwa anachelewa kuingia kazin
Nilifika kwenye hiyo kampuni nilikutana watu wengi yaani kama wamelala pale
Niliangalia watu walivyokuwa wengi na watu wanao hitajika mh moyo ukishuka nikaona hapa sijui labda Mungu aweke mkono wake
lakin nilikumbuka mama alisema kuwa hata kama kutakuwa na watu Zaid ya elfu kumi na wakawa wanahitaji mtu mmoja mimi naamini utapita na ninakili hilo sio mimi tu unatakiwa pia ukili hivyo
Basi nilikaa zamu yangu ilipofika nikaingia nikafanya interview ikaenda vizuri tu Kisha nikaambiwa nitapewa jibu
Baada ya kuambiwa hivyo nilirudi nyumban
Wiki ilipita sijapokea sm wiki ya pili ikapita mh hapo nikaamini kuwa sitopata
Jioni Tuli alikuja akanambia kuwa wamechagua wengine na leo wameanza kazi
Nilijisikia vibaya nikakumbuka mama alivyokuwa anasema kuwa ameoneshwa na maombi yote tuliyokuwa tumeomba jumlisha na sadaka ambazo tumekuwa tukitoka
Nikajikuta nasema kwa sauti yenye maumivu sana
"Mungu kwann lakin"...... Tuli alisikia akanitia moyo pale mwisho nikaona nimpigie mama nimpe taarifa
"Hallo mama"
"Umeshindaje mwanangu mzuri "
"Vibaya ile kazi nimekosa tena"
"Amekwambia nani kuwa umekosa kazi "
"Mama sio kaniambia nani watu wame shachaguliwa na kazi wameanza "
"Subiri wakat wako wa kuchaguliwa unafika Kwan Mungu wangu hawezi kuongea uongo "
Ukweli nilimuona mama kama nini sijui nikaamua kukata sm
Nilipanga nguo zangu tayar kurudi kijijini
"Lakin Lilian kwanini usikae tu hapa tukatafuta kaz nyingine kuliko kwenda kijijini "
"Hapana Tuli bora nikakae na bibi yangu"
Tukiwa bado tunaongea sm yangu iliita niliichuka nakuwangalia ilikuwa ni namba ngeni
Nilibonye kitufe cha kupokea (natumia kiswaswadu)
"Hello"
Ilisikika sauti upande wa pili alikuwa ni mwanamke
"Yes hello"
"Naongea na miss LILIAN ADRIAN"
"ndio ni mm"
Aliongea kitu ambacho kilinishtua nikabaki nimetoa macho
"Wewe vp mbona umekuwa hivyo" Tuli aliuliza baada ya kuona nimetoa macho nilimuangalia na kusema
"Nimepata kazi"weeee aliruka na kushangilia
"Uuuu asante Mungu kukumpatia kazi rafiki yang kipenzi "
"Ila sio kwenye kampuni unayofanya kazi "
"Heee kwa ulifanya interview na kampuni gani"
''moja tu ila Hawa walio nipigia nilifanya interview mwaka mmoja ulio pita ''
"Heee hii inawezekana je"
"Sijui " nilibaki nimekaa tu yaani sikuelewi nini kimetokea nikaona nimpigie mama nimpe taarifa
"Mama nimepata kazi "
"Nilikwambia kuwa Mungu wangu ni Mungu wa kweli akisema anatimiza"
"Amina ila sio kwenye hii niliyoenda kufanya interview bali ni Ike niliyofanya mwaka Jana "
"Mwanangu Mungu hawahi Wala hachelewi Bali anajibu kwa wakati na huu ndio wakat wenyewe "
MY BOSS MY LOVE NO 4
Mtunzi......... Ritha stories
Whatsapp no 0763826152
"sasa hiyo kampuni si Iko dodoma"
"Ndio mama"
"Kwaiyo inakuwaje"
"Inabidi niende na nimeambiwa kuwa natakiwa kuanza kazi kesho kutwa"
"Heee sasa utaweza kupata nyumba kesho "
"sidhani mama mimi naona niende tu nitalala gest alafu nitafuta ndani ya siku mbili hivi nitakuwa nimepata"
"Haya basi ngoja nitakutumia Hela kesho mchana naimani nauli utakuwa nayo"
"Ndio mama "
Alikata sm tukabaki tunayapanga na Tuli wangu
Kesho asubuhi alinisindikiza hadi stend akanipa sma yake kubwa pia akanipa na Hela kiasi
Nilimshukuru Sana Kisha nikapanda gari
Nilifika dodoma muda wa saa kumi nikaenda kwenye gest mbayo nilifikia mwaka Jana
Nilichukua chumba nikalala nilikuja kuamka saa tatu' nikatoka na kwenda kupata chakula
Kesho yake asubuhi niliamka nikajiandaa Kisha nikaenda kupanda dala dala saa kumi na mbili na dakika 45 nikiwa tayar ofisini
Kwakuwa ilikuwa Bado mapema ilibidi nisubiri maana watu walikuwa Bado
Saa moja na nusu ndio watu wakaanza kuingia
"Habari yako dada"
"Nzuri, nikusaidie nn"
Nilijieleza bale akanambia meneja hajafika msubiri
Basi nikakaa kumsubiri
Baada kama nusu saa alifika nikaenda ofisini kwake
"Miss Lilian "
"Yes"
'karibu sana '
'asant '
"Okay shika hili file alafu uende gorofa ya tatu juu chumba no 5 ukifika huko utampa hilo file alafu atakwambia Cha kufanya '"
"Sawa asante sana"
"Karibu"niliinuka na kuondoka nikapanda lift hadi sehemu husika
Nilifika nikagonga mlango Kisha nikaruhusiwa kuingia
"Karibu"alinikaribisha baada ya kuingia ndani
"Asante"
"Bila Shaka wewe ndio miss Lilian Adrian"
"Yeah ndio mimi"
"Okay unatakiwa kusaini huu mkataba "nilipokea nikausoma baada ya kusoma nikalidhika nao nikasain
then akamuita mdada mmoja hivi akasema kuwa huyo ndio atakuwa msaidizi wangu kwakipindi hili ambacho Bado ni mgeni
akamwambia anipeleke kwenye office yangu
Nilimshukuru Sana Mungu kwani nimepata kazi nzuri na ina msharaha mnono
"Waooo office ninzur so poa yaani imekaa kimataifa Zaid nilirudi nyuma na kuangalia mlangoni kulikuwa na jina langu waoo kweli Mungu akikuinua anakuweka viwango vya juu zaidi"
"Samahani we ni ndugu yake Mr Sam ee" aliniuliza yule dada (Recho)
"Mr Sam ndio nani "
" Chef Director"
"Hapana sio ndugu yangu kwann"
" No nimeuliza maana hii kampuni hawaajili mtu asiekuw na uzoefu,na shangaa wewe huna uzoefu na umeajiliwa"
Nilitabasamu na kumwambia
"Ni Mungu tu''"
"Mmh haya bhana basi mimi naondoka ukihitaji kitu utaniita"
"Sawa asante sana "
Aliondoka nikachukua sm na kumpigia mama aliniambia kuwa nikifika kabla sijakaa kwenye kiti changu nimpigie
Alipokea akasema nivyema kumshukuru Mungu na kuomba ulinzi pamoja na kuvunja maroho yote machafu pia kama Kuna kitu kilichomtoa Alie kuwa kabla yangu kisinipate
Basi akaomba mimi kama kawaida yangu namfatiliza kile anacho ongea
Baada ya maombi akaniambia sasa unaweza kukaa Mungu akutangulie katika kazi yako mwanangu
Nikaitika "amen " Kisha nikakata sm na kuanza kazi
Nilifanya kazi hadi mda wa chai nikamfuata Recho tukaenda sehemu ya chakula
Tukifika tukaagiza chai ikaletwa tukanywa mda wakulipa akasema kuwa mimi sitakiwi kulipa kwakua watu walioko ngazi ya juu wana pata chakula bure
Nilishangaa maana sijawahi kuisikia hii
Yaani nimekunywa chai kwa kujibana kumbe ni bure
Tuliinuka na kurudi ofisini ratiba zingine zikaendelea
Mchana ulifika tukaenda kula safari hii nilipiga msosi haswaa chezea vya bure wewe
Wakati tukiwa tunakula nilimuuliza Recho kuhusu nyumba kama anaweza kujua mdalali aniunganishe nao
Akanambia atanifanyia mpango
Kweli jion ilipofika mda wa kuondoka akanipa namba ya dalali nikamtafuta tukapanga kuonana
Kwakuwa ilikuwa bado mapema nikaenda kuonana nae akanipeleka kwenye baadhi ya nyumba nikaangalia
Baada ya kuzunguka sikupata nyumba maana bei ilikuwa juu sana nikiangalia na Hela yangu haitoshi kabisa
Nikamuomba anipeleke ambazo bei yake iko kawaida tu
Tukapata ila shida kukawa ni mbali na kazin
Nikabiga mahesabu ya nauli na hiyo Kodi nikaona nibora nikapange kwenye zile ambazo ziko karibu na kazin ambako sihitaji kupanda gari
Nikaona hapa nina haja ya kukopa Hela nikampigia Tuli nikaongea nae hakuwa na neno kipenzi changu alikubari na baada ya dakika kumi tu akanitumia Kisha akasema
Hain haja ya kunilipa nimekupa kama best friend wangu
Nyie nilishukuru hadi nikatamani kumpigia magoti kwenye sm
Nikalipia miezi yangu sita iliyobaki nikanunua vitu vyichache kama ndoo ya maji na ya kuogea,jiko la mkaa,sufuria 2,sahani mbili, vijiko viwili,
Na vingine vidogo vidogo
Kisha nikarudi kule gest nikalala kumalizia hela yangu
Kesho yake nikaingia job Kama kawaida
MY BOSS MY LOVE 05
Mtunzi........ Ritha stories
WHATSAPP .......0763826152
Nilifanya kazi ipofika jioni nikaenda kule gest nikachukua nguo zangu
Na kumkabidhi chumba Kisha nikaenda kule nilikopanga
Nilifika nikafungua mlango nikaingia
Niliangalia mazingira ya chumba kilikuwa kinachekesha yaani hamna hata godoro ni mkeka na neti ndoo mbili sufuria sahani mbili jiko na beseni ndogo basi
Nilitandika mkeka na kuweka neti kish nikaenda kuoga. (choo na bafu vilikuwa humo humo ndani"
Baada ya kutoka kuoga nilikaa na kupiga story na Tuli hadi saa tano ndio ni kalala
Wiki iliisha huku maisha yakisoga kama kawaida
Siku moja hivi ilikuwa ni weekend
Nikiwa nje nafua liliingia gari mule ndani akashuka mkaka mmoja hivi nilivyomuona tu nilidondoka pale pale na kuzimia
Nilikuja kuamka nikiwa hospital yaani nafungua macho tu namkuta yule kaka kakaa pembeni yangu nikazimia tena
Baada ya mda niliamka tena safari hii hakuwepo
Niliamka na kukaa huku nikiwa na mwazo nilijiuliza hivi nimeona mzimu au nilikuwa naota
Na kama nikuota mbona Niko hapa hapana ni kweli sasa inawezekanaje frank akawa hai jamani au kaanza kunitokea
Sijakaa sawa akaingia nesi
"Heee umeamka?"
(A aha nimelala yaani haya maswali ya kijinga huwa siyapendagi mm yaani mtu anakuja anakuuliza kitu ambacho anajibu nacho kabisa ) niliongea kichwani
"Samahani sana nesi nimefikaje hapa"
" Umeletwa ukiwa umepoteza fahamu "
"Ooo nimeletwa na nani"
"Na jirani yako"
Jirani yupi mbona yule mmama hayupo
Niliwaza maana pale nilipopanga tunakaa wawili tu yaani mimi na mmama mmoja hivi tena na yeye hayupo sasa huyo jirani ni yupi ,ona sasa nilivyoanza kuvurugwa nimeshahau kama pale Kuna mlinzi nahisi atakuwa ndio amenileta hapa
Nikiwa bado nawaza yule kaka akaingia
Nilitoa macho kuhakikisha naota au naona mzimu
Lakin hakuwa mzimu maana alikuwa akiongea na nesi sasa Kam ni mzimu inamaana ningemuona mim
tu
nesi akaondoka yule kaka akasogea karibu yangu na kuniuliza
"Vp hali yako unajisikiaje" sikumjibu zaidi nilikuwa namuangalia kwa huzuni sana nilijikuta namkumbatia huku nikilia
"Frank kwann uliniacha" niliongea na kilio Cha kwikwi hakunijibu Bali alikuwa akinipapasa mgongoni kama ana nibalembeleza vile
Nilijitoa na kumshika usoni "frank asante asante kwakuja tena kwenye maisha yangu nakupenda sana " yaani nilikuwa Kam chizi gafla tu msikini kaka wawatu alikuwa ananiangalia tu sijui alikuwa anawaza nn au aliniona chizi
Nililia Sana mwisho akaamua kuongea
Mmmm akakohoa kidogo Kisha akasema
"Pole kwa yaliyo kukuta lakin mimi sio Frank ila ni Bosco "
"No wewe ni frank wangu "
"Dada samahani najua hauko sawa ila mimi sio huyo Frank "
Alivyoongea hivyo nilimuachia Kisha nikasogea pembeni huku mchozi yakushuka tu nilimkumba Frank wangu sana nikabaki nalia tu
Alipoona hali yangu akaondoka na kuniacha mwenyewe
Alikaa kama lisaa akarudi tena nilimuangalia vile vyokuwa akiingia yaani hata kutembea anatembea kama frank wangu
"Unajisikiaje kwa sasa"aliuliza baada ya kukaa
"Niko sawa asante" nilijibu kama vile Niko sawa ila sikuwa sawa kabisa kila nilivyomungalia kumbukumbu zote nikiwa na Frank zilikuwa zinajirudia kichwani moyo uliuma sana
Akilini niliwaza inakuwaje watu wakafanana namna hii
Doctor alikuja akasema kuwa niko sawa naweza kwenda nyumbani
Basi tukatoka tuliingia kwenye gari na kurudi nyumbani njia nzima nilikuwa namuangalia tu
Tulifika akashuka na kuja kunifungulia mlango
"Unakaa chumba kipi" aliuliza nikamuonesha akataka kunishika ila nikamwambia niko sawa so naweza kutembea mwenyewe
Basi nikaingia ndani sikutaka hata aingie ndani maana kilivyo hakufai hata mtu kuja
Alielewa akahakikisha nimeingia ndani
Nilifika ndani nikajikuta picha yote ya maisha yangu na Frank ilirudi kwenye kichwa changu
Nilikaa chini kama mzigo kilio kikaanza upya
"Frank kwann lakin"
Nilikumbuka siku ya kwanza kuonana na Frank
Ilikuwa siku ya j 4 kipindi hicho ndio naingia chuo mwaka wakwanza
Siku hiyo nilikuwa nimetoka kumuona mama yangu mdogo gongolamboto nikiwa nimesimama kusubiri gari alikuja mkaka mmoja na kusimama nyuma yangu akanifunika koti kwa nyuma
Nilishtuka sana na kugeuka akaniangalia kama vile hajikatokea kitu akasema
"Umechafuka" aliponiambia hivyo lilinishtuka nikataka kugeuka akasema
"Kuwa na amani nisubiri hapa nakuja"
Nilibaki kimya tu kugeuka nilitamani ila nilifikilia watu walioko nyuma nikaona hiii ni aibu
Baada ya dakika chache akawa amerudi ameshika mfuko hata hakunisemesha
Alinishika mkono tukaongozana yaani nilikuwa kimya nikifikilia kweli siku hiyo ilikuwa siku yangu ya kuingia kwenye siku zangu
Lakin nilisahau na kutoka bila hata bila kuvaa Pedi
Tuliongozana hadi tuka pita lile eneo nililokuwa akaniachia na kunipa ule mfuko
Nilitaka kukataa ila sikuwa na namna maana hata sikuwa na akiba zaidi ya nauli tu
Basi nikapokea na kwenda msalani nikafika huko nikaangalia kwenye ule mfuko kuliwa na gauni chupi na Pedi sabuni na mafuta
Nilibadilisha na kutoka chakushangaza sikumkuta niliangaza macho huku na huko ila hakuwepo
Nikaona nimsubiri ili nimshukuru na pia nimpe koti lake
Nilikaa wee hadi mda ukaenda sana lakin hakutokea