Hii kampuni kila mtu ni boss unaweza fukuzwa hata na mtoto wa boss nasikia harafu Hr yeye anafanya finishing tu.Mbona kwenye uzi wako sijaona ulijofukuzwa kazi?
Au macho yangu mabovu
Huyo mwanamke uliyelala nae pia amefukuzwa kazi?Huyo boss ameniambia hataki kuniona kazini lakini yeye sio mwajiri (HR) ni ndugu tu wa mwenye kampuni,ila ni mtu ambaye wafanyakazi wanamuogopa sana .Wanasema akisema hakutaki lazima tu utafukuzwa mda si mrefu sababu mwenye kiwanda ni kaka yake sijuhi umenielewa??Ishu je nimkazie nimwambie kwamba yeye ajaniajiri hawezi nifukuza au nijikatae.
Ongea nae kistaarabu,Huyo boss ameniambia hataki kuniona kazini lakini yeye sio mwajiri (HR) ni ndugu tu wa mwenye kampuni,ila ni mtu ambaye wafanyakazi wanamuogopa sana .Wanasema akisema hakutaki lazima tu utafukuzwa mda si mrefu sababu mwenye kiwanda ni kaka yake sijuhi umenielewa??Ishu je nimkazie nimwambie kwamba yeye ajaniajiri hawezi nifukuza au nijikatae.
Umefaidi mbunye kazi ya nini tena
Naombeni ushauri bandugu hii job niipge chini au nifanyeje,????.
ChaiHabari wadau..!
Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .
Nilianza kazi vizuri tu ,ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa ,nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.
Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa ,nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi .Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.
Mungu anisamehe kwa kweli ,kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mm nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.
Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote,kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.
Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe,na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.
Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara,kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.
Naombeni ushauri bandugu hii job niipge chini au nifanyeje,????maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss.Ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
Chai hiyo ujamstukia tuHeading umefukuzwa kazi. Content unaomba ushauri
Kazi kweli kweli tutaona mengi aisee.Uipige chini wakati according to your heading umefukuzwa kazi ?
Anyway dont shit where you eat....
Hahahaaaaa mazafantaUmefaidi mbunye kazi ya nini tena
Chai plus alkasusuHabari wadau..!
Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .
Nilianza kazi vizuri tu ,ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa ,nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.
Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa ,nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi .Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.
Mungu anisamehe kwa kweli ,kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mm nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.
Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote,kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.
Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe,na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.
Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara,kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.
Naombeni ushauri bandugu hii job niipge chini au nifanyeje,????maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss.Ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa ,nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi .Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.