Nimefukuzwa kazi kisa nimekula chakula cha boss, inauma sana

Habari wadau.

Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .

Nilianza kazi vizuri tu, ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa, nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.

Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa, nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi. Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.

Mungu anisamehe kwa kweli, kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mimi nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.

Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote, kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.

Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe, na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.

Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara, kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.

Naombeni ushauri bandugu hii job niipige chini au nifanyeje? Maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
Inawezekana vipi mshahara wako usimamishwe bila sababu zilizo bayana... na hizo kesi ofisini kwa HR yeye anakwambia tatizo ni nini?? Haiwezekani kuwe na kesi zisizo na sababu.... Lazima kuna mahala na wewe unaacha mianya mingi ya kushughulikiwa
 
Nasema hivi, as long as una uhakika wakupiga kazi vilivyo basi ni haki yako kulipwaaa, maybe kama unafanya kazi bila mkataba. Kuna haki zinazomlinda mfanyakazi.
 
Hii nayo ni chai boss wako alijuaje au stori bado haijaisha unamaanisha ulikua mandasi ya breakfast
 
Habari wadau.

Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .

Nilianza kazi vizuri tu, ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa, nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.

Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa, nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi. Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.

Mungu anisamehe kwa kweli, kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mimi nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.

Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote, kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.

Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe, na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.

Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara, kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.

Naombeni ushauri bandugu hii job niipige chini au nifanyeje? Maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
Haueleweki Dogo, title inasema umefukuzwa kazi, chini unauliza eti hii kazi niipige chini au?
 
Habari wadau.

Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .

Nilianza kazi vizuri tu, ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa, nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.

Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa, nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi. Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.

Mungu anisamehe kwa kweli, kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mimi nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.

Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote, kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.

Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe, na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.

Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara, kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.

Naombeni ushauri bandugu hii job niipige chini au nifanyeje? Maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
We mjinga kweli, yaani mwanamke akitoka kwenye chumba chako ndiyo kaliwa tunda? Je kama alikuwa kaja kukuletea ratiba yako ya kazi....hao marafiki zako walijuwaje kama umemla uroda huyo dada kama si wewe mwenyewe kuwasimulia? Nenda kajipe vidole kule, mshamba wewe.
 
We mjinga kweli, yaani mwanamke akitoka kwenye chumba chako ndiyo kaliwa tunda? Je kama alikuwa kaja kukuletea ratiba yako ya kazi....hao marafiki zako walijuwaje kama umemla uroda huyo dada kama si wewe mwenyewe kuwasimulia? Nenda kajipe vidole kule, mshamba wewe.
Kuna pindi nimepanga naye jirani ni chawa wa boss alimuona wakati anaingia akaset stop watch kuangalia atatoka baada ya muda gani
 
Acha uongo mkuu.

Hakuna mwanamke ambaye anajitambua atapiga simu mwenyewe akikuomba aje kwako bila ya wewe kumshawishi aje ghetto kwako mkuu.

Anyway, pambana utafute kazi nyingine mkuuu.
 
Acha uongo mkuu.

Hakuna mwanamke ambaye anajitambua atapiga simu mwenyewe akikuomba aje kwako bila ya wewe kumshawishi aje ghetto kwako mkuu.

Anyway, pambana utafute kazi nyingine mkuuu.
Uliza shekhe wangu uambiwe mambo ya Tanga,huko mabinti huwa hawafuatwi wanakufuata ni kawaida sana.
 
Habari wadau.

Miezi kadhaa iliyopita nilibahatika nilipata kazi katika kampuni moja kubwa ya uzalishaji .

Nilianza kazi vizuri tu, ila siku ya kwanza tu naingia ofisini sekretari wa boss akaonyesha kunichangamkia kama tulishawai kuonana before mpaka nikaogopa, nikajitahidi kumkwepa sana lakini hakuwezekana.

Weekend moja akanipigia simu anakuja ghetto maana hata namba aliniomba nikampa, nikamwambia sipo nyumbani nimetoka kidogo lakini ghafla nikashangaa mlango unagongwa kumbe wakati anapiga simu teyari alishakuwa amefika na sikuwahi kumuelekeza ninapoishi. Kumbe wakati anapiga simu alikuwa anasikilizia nitamjibu vipi iwapo atataka kuja kwangu.

Mungu anisamehe kwa kweli, kama kawaida alipoingia tunduni tu sekretari wa boss na mimi nikaweka nyavuni pasipo kujua kwamba ni chakula ya boss wangu.

Siku moja tu kwa kweli imeharibu ajira yangu yote, kumbe kuna watu walimuona wakati anatoka ghetto wakaenda kumwambia Mr.Boss man kwamba nimekula tunda yake.

Kibaya zaidi boss ana undugu na mwenye kampuni kwa hiyo boss akaongea na Hr mshahara wangu nisiingiziwe, na nifanyiwe figisu mpaka kazi niione chungu.

Huwezi amini miezi yote miwili sikupata mshahara, kila siku mm nina kesi ofisini kwa Hr.

Naombeni ushauri bandugu hii job niipige chini au nifanyeje? Maana wajuba wamenambia yote unayopitia ni sababu umekula chakula ya boss ila mm kiukweli sikujua kama ile manzi sekretari ni kipoozeo ya boss.
Kamuombe radhi
 
aisee sijui nisemeje. ila uikosea sana wewe umeajiriwa ndani ya siku za mwanzo kabisa ukaingia kichwa kichwa. Wajanja wanaingia akwa nidhamu ya hali ya juu, wanasoma mchezo wote ulivyo kabla ya kufanya mambo. Sasa kichwa cha chini kimezidi akili kichwa cha juu
 
Back
Top Bottom