Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Usidanganyike mkuu.. hata hao wenye bikra wanaliwa sana.. wakishaolewa tu uhuni unaanza.
Nikweli hata mimi nna ushahidi wa jamaa yangu alichapiwa na mwanamke aliyemuoa bikira. Chanzo ni kisasi mwanamke alimkamata anacheat nayeye akaanza kucheat na jamaa mwingine, ambaye alianza kumpa hela nyingi sana imefika hatua mwanamke ameshindwa kumuacha mchepuko maana anamtegemea kwenye biashara zake.
 
Pole sana kiongozi, naona ni tatizo kubwa na linahitaji solution kutoka kwa wakubwa...
Binafsi nakushauri yafuatayo
1. Kambla ya hii changamoto ulikuwa unampenda mke wako kwa dhati
2. Je yeye anakupenda kwa dhati na mnashirikina kwenye mipango ya familia?
3. Kama majibu ya hapo juu ni NDIO; nafikiri ujitenge naye kitandani, Ila muache tu akae hapo hata mwezi mmoja
😡😡Mwenzi mmoja wote afanye nini au unataka huyo mchawi apate nafasi ya kuiteka nafsi ya huyo muhanga?. Huyu jamaa hatakiwa hata kuwaza mara mbili juu ya chatu huyo anayeiwinda roho yake.
 
Kuchapiwa ni Siri ya ndani mkuu. Ungemalizana nae kimya kimya, kama kumrudisha kwao n.k
Reaction ya kwanza ni ngumu mkuu, usiposhirikisha watu au mtu wa karibu esp wazee ndio mwanzo wa majanga.
 
Hata hii ni sawa ila kwa alie hide msg content kwenye notification panel hutaweza kuona ujumbe wowote na wala msg imetoka kwa nani .
Of course, hakuna sababu ya msingi kuficha ni elimu kama elimu zingine/nyingine-zo
 
Ilikuaje mkuu ?
Nilikuwa nataka nioe mkurya lakini kazaliwa na kuishi sana Kenya,yaani hatukumaliza nae hata miezi 3 ,ni mtu wa matukio flani hivi , maana mara nyingi nilikuwa natokea kwa kushitukiza nakutana na moments za ajabu sana na reaction zake utazani mwizi aliyefumaniwa ,nikavaa
Lakini ukiweza kusonga mbele songa ukiona huwezi baki nae tu japo huyo kwa sasa si wako tena kwanza atakuwa na hisia fake nawewe hata kusex nawewe atasex lakini kwa kutegea hisia za mwamba huyo mchapaji mwanamke akichepuki kirahisi bro.
Kukaa nae huyo ni tatizo wafunge hesabu tu
 
Nilikuwa nataka nioe mkurya lakini kazaliwa na kuishi sana Kenya,yaani hatukumaliza nae hata miezi 3 ,ni mtu wa matukio flani hivi , maana mara nyingi nilikuwa natokea kwa kushitukiza nakutana na moments za ajabu sana na reaction zake utazani mwizi aliyefumaniwa ,nikavaa
Kukaa nae huyo ni tatizo wafunge hesabu tu
Hongera kwa kung'oa kisiki.
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Si huwa mnatuona wajinga tunaosukuma #KATAANDOA
 
😡😡Mwenzi mmoja wote afanye nini au unataka huyo mchawi apate nafasi ya kuiteka nafsi ya huyo muhanga?. Huyu jamaa hatakiwa hata kuwaza mara mbili juu ya chatu huyo anayeiwinda roho yake.
Nashukuru Mungu hukuwa Lawyer (hakimu) kwani tungepata hasara ya kupoteza watu, kwa kuwa kazi yako ingekuwa ni kutoa hukumu za kunyonga tu, hata kabla ya kufikiria mazingira ya jumla ya tukio na uhalisia wa maisha....
Kutoa solution ya masuala magumu hakuhitaji watu wenye kutoa suluhisho kwa mihemko!
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Utaacha wangapi bro, Hizo sababu ulizotoa hazina maana........ Tupo kwenye ulimwengu wa we need somemore. Kwahiyo mke alihitaji nyongeza ya hicho unachokipata. Kakipata kwa mshikaji. Mwana anaweza kapiga kimoja tu ila wewe kila siku ata 6. Ujue ulimwengu vizuri
 
downloadfile-9.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom