Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Kama umethibitisha mtimue na hakikisha ndugu wanajua maana anaweza kujiua mikononi mwako ukapata shida. Piga chini haraka kaanze maisha mapya.
 
"aliamua kununua kuku wagonjwa Ili kuwaua wangu waliokua bandani na nimesha wachanja siku Moja kabla,niliposafiri kikazi kurudi nikakuta kuku wote wamekufa na yeye alianzisha kisafari mshenzi ili nisimkute nyumbani!kisa eti nauza na kuweka hela mfukoni kwani alienunua ni nani na wao wamekosa nini Hadi wawaue!!?

Malalamiko ya jamaa!!!

Hao ndio wanawake MKUU!!SASA BASI AKISHAGONGWA TU NA UKAJUA KWAMBA AMEGONGWA ATAKUANZISHIA VISA HADI UTACHANGANYIKIWA!!!
 
"aliamua kununua kuku wagonjwa Ili kuwaua wangu waliokua bandani na nimesha wachanja siku Moja kabla,niliposafiri kikazi kurudi nikakuta kuku wote wamekufa na yeye alianzisha kisafari mshenzi ili nisimkute nyumbani!kisa eti nauza na kuweka hela mfukoni kwani alienunua ni nani na wao wamekosa nini Hadi wawaue!!?

Malalamiko ya jamaa!!!

Hai ndio wanawake MKUU!!SAS BASI AKISHAGONGWA TU NA UKAJUA KWAMBA AMEGONGWA ATAKUANZISHIA VISA HADI UTACHANGANYIKIWA!!!
Aende tu mkuu..huko ni kuuwana kwa Stress.
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Una mke mzuri aise.
Ah wee bwana sasa unataka kumuacha mkeo alafu ubakie single for life au unaleta mwanamke mwengine ndani hapo?
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Kuchapiwa ni Siri ya ndani mkuu. Ungemalizana nae kimya kimya, kama kumrudisha kwao n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom