Nje ya jamiiforums naenda kanisani mkuu. Huwezi kuishi kwenye conservative society kama Tanzania bila kuvaa koti la dini.
Hata hivyo tunahoji uwepo wa Mungu tu, mafundisho mengine ya dini ni mazuri na yanafaa.
Pia imani ni suala binafsi sana. Wapo wengi wanaokiri hizi imani ila wana matendo maovu. Usichoke kutafuta majibu kutoka vyanzo mbalimbali.
Mwisho wa siku kile kilichopo ndani kabisa ya moyo wako ni wewe tu ndo unajua.
Karen Armstrong.
Yeye alikuwa mtawa (nun) wa Kanisa Katoliki zamani, kisha akaacha utawa na kuwa mwandishi na mwanafalsafa wa dini.
Nje ya jamiiforums naenda kanisani mkuu. Huwezi kuishi kwenye conservative society kama Tanzania bila kuvaa koti la dini.
Hata hivyo tunahoji uwepo wa Mungu tu, mafundisho mengine ya dini ni mazuri na yanafaa.
Pia imani ni suala binafsi sana. Wapo wengi wanaokiri hizi imani ila wana matendo maovu. Usichoke kutafuta majibu kutoka vyanzo mbalimbali.
Mwisho wa siku kile kilichopo ndani kabisa ya moyo wako ni wewe tu ndo unajua.
Karen Armstrong ni mwandishi na mchambuzi wa dini kutoka Uingereza
Aliwahi kuwa mtawa wa Kanisa Katoliki (nun) akiwa kijana lakini baadaye akaacha utawa kutokana na changamoto za maisha ya kidini na kiimani
Baadaye akajikita kuandika vitabu kuhusu historia ya dini, falsafa ya imani na uelewa wa Mungu, akisisitiza mazungumzo kati ya waumini na wasioamini
Hizi ni aina za atheist according na uyu jamaa
Scientific / Rational atheist – Anakataa Mungu kwa sababu ya sayansi au mantiki
Experiential atheist – Kutokuamini kunatokana na uzoefu mbaya wa dini
Conceptual atheist – Hupinga taswira fulani ya Mungu, sio lazima kiroho chote
Moral protest atheist – Anakataa Mungu kutokana na uwepo wa uovu duniani
Apathetic atheist (Apatheism) – Hajali sana swali la Mungu
Najaribu kuvumbua na kuchimba kwamba wewe ni aina gani ya atheist
(Unajua nashangaa Nini hii ni maajabu)