However najua sibishan na wew bali ni Ile roho ya mwovu ikaayo ndani yako, but nitazidi kukuombea ufunguliweWewe kaa tu ignore
Kama unaweza kuamini hata uongo, Mungu ukimuamini kwa imani tu utajuaje unachoamini ni kweli na si uongo?Mungu anataka kuaminiwa kwa imani tu, hajataka athibitishwe kwa logic na akanushwe kwa falacy, kwani ufahamu wetu upo kinyume na uhalisia wake. Sisi ufahamu wetu unataka uwe kwenye mipaka ya wakati na mahali, wakati Mungu yupo kinyume na hicho.
Achana nayo mapepo hayo.Una ndugu wengi ngoja waje Kiranga
Kweli, na shetan anawatumia bila wenyewe kujua masikin, huwa nawasikitikia sana.Achana nayo mapepo hayo.
Huenda uongo ukawa ukweli usiyoujua, haijapatapo kutokea mtu kujua yote kwa wakati wote.Kama unaweza kuamini hata uongo, Mungu ukimuamini kwa imani tu utajuaje unachoamini ni kweli na si uongo?
Au siyoWewe ni kiazi wa muda humu ,hivyo sina sababu ya kukueleza , sio kwa ubaya ila ni hivyo tu.
*HiviIvi umesoma ukaelewa kweli iyo point??
Au umeshtuka kutoka usingizini??
Hoja ya kuwapo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ambaye kauumba ukimwengu huu ni potofu kimantiki.Huenda uongo ukawa ukweli usiyoujua, haijapatapo kutokea mtu kujua yote kwa wakati wote.
Siwezi kuogopa kuamini kwa kuwa kuna watu wanaona ninachokiamini ni uongo wakati ukweli wao hawana.
Wakija kushituka watakuta tayari mtumbwi umekwisha kujaa, wataishia kwenye makomeo ya mbinguni.Kweli, na shetan anawatumia bila wenyewe kujua masikin, huwa nawasikitikia sana.
Nini huthibitisha kuwa jambo linalosemwa lipo au halipo?Kwanza kabisa, kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.
Narudia tena, kisichopo, hakithibitishiki kuwa hakipo.
Kwa sanabu hakipo, na kama hakipo, hakithibitishiki kuwa hakipo, uthibitisho unaendana na kilichopo.
Tunaweza kujenga hoja kama za proof by contradiction kuonesha contradiction zinazoonesha kitu fulani hakiwezi kuwapo. Katika hii dhana ya Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) hayupo, nimeelezea sana Epicurean Paradox mpaka michoro nimeiweka hapa. Google Epicurean Paradox, soma, ielewe, kama una swali kuhusiana an Epicurean Paradox lilete hapa.
Zaidi.
Mzigo wa uthibitisho unamuangukia yule anayesema kitu kipo.
Ndiyo maana Polisi wakija nyumbani kwako, wakisema una madawa ya kulevya, wao wanaosema una madawa ya kulevya wanatakiwa wafanye msako mpaka wayapate, wathibitishe yapo.
Hawakwambii wewe unayesema huna madawa ya kulevya uthibitishe huna madawa ya kulevya.
In principle, we cannot prove a negative, but we can show contradictions that shows the impossibility of a negative.
Swali la kuuliza hapa, ni kuwauliza wanaosema Mungu yupo, wathibitishe Mungu yupo.
Unasema Mungu yupo?
Kama unasema hivyo, thibitisha Mungu yupo
Mungu anataka kuaminiwa tu 🤣🤣🤣Mungu anataka kuaminiwa kwa imani tu, hajataka athibitishwe kwa logic na akanushwe kwa falacy, kwani ufahamu wetu upo kinyume na uhalisia wake. Sisi ufahamu wetu unataka uwe kwenye mipaka ya wakati na mahali, wakati Mungu yupo kinyume na hicho.
Uthibitisho kwa muktadha wa maongezi haya ni kwa kutumia mantiki, kuangalia hoja kimantiki, kuangalia truth table kimantiki, kuangalia contradictions.Nini huthibitisha kuwa jambo linalosemwa lipo au halipo?
Uthibitisho maana yake ni nini?
Sifa ya imani tofauti na kusadiki, lazima ithibitike kweli.Imani zote ni imani tu hazina uthibitisho wa imani ya kweli wala ya uwongo , hiyo ya kusema imani yako ndio sahihi na inapaswa kufuatwa ni ego za kimani na kampeni zake tu
Habari ya kuwapo kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu, hakuna ilipothibitishwa.Sifa ya imani tofauti na kusadiki, lazima ithibitike kweli.
Jambo ambalo halijathitika kweli haliwezi kuwa imani.
Usichanganye imani na kusadiki (Faith and belief).
🚮Sifa ya imani tofauti na kusadiki, lazima ithibitike kweli.
Jambo ambalo halijathitika kweli haliwezi kuwa imani.
Usichanganye imani na kusadiki (Faith and belief).