UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,383
- 8,668
Naona mkuu unataka kujadili suala la peponi na motoni ndio unaona mie naona noma kuzungumzia, haya nakujibu wasioamini wanaenda motoni.Mkuu nimekuuliza swali very plain, ukanijibu lakini kuna kipande hukugusia, nikakukumbusha
Haya ndo majibu yako
Mimi nimetafsiri labda unaona noma, kama hamna noma weka jibu tulione
Haya funguka sasa.