Nimeamua kuwa Atheist

Nimeamua kuwa Atheist

CARD YA MWISHO KABISA YA WAABUDU MUNGU NI VITISHO VYA MOTO WA JEHANAMU NA HUKUMU YA MWISHO WA KUSADIKIKA.

Faraja yao wao ni kwenda huko ktk mbingu za kusadikika ambako wanaimba na kusujudu wengine watangonoka na mabikra 70 WHAT A SHAME kwa wafia dini
Sio kweli mkuu mbona wenye kuamini Mungu hutenda sana matendo ambayo wamekatazwa kufanya na kwamba wameambiwa ukifanya utaenda kuchomwa moto ila bado wanayatenda hayo matendo.
 
Kama hivyo ndivyo alivyoamua ni haki yake ila siku zote uthibitisho sio ndio wenye kufanya jambo kuwepo na ndio maana kuna mambo yalipingwa sana huko zamani kwa sababu hayakuwa na uthibitisho wa kisayansi, ila baada ya miaka mingi mbele leo hii yana uthibitisho hivyo kutokuwepo kwa uthibitisho haiondoi uwepo wa kitu.
Yeah hata magonjwa , majanga ya asili ya lionekana ni laana za Mungu ila yalipo kuja kujulina sababu zake na njia ya kujinga nayo hiyo sababu ya Mungu ikafa .
 
Upo sahihi sana mkuu, ndio maana baadhi yao wamekuwa wakishikilia sana masuala ya uthibitisho ili ukishindwa kuthibitisha naona kwao huwapa faraja.
Amini nakuambia natambua vile wap u feel najua sometimes u feel quilty lakini hukaza fuvu.

Ya kina kiranga na kina min na atheist wengine humu tuwaachie tu wao wenyewe,

Kama una amini Mungu we endelea kuamini.

Kama huamini endelea kutokuamini.

Ila tu nashauri please usifuate trending na mikumbo ya wanafalsafa ambayo umeikuta uku kwa intaneti
 
Kufahamu sio tatizo hata mimi nafahamu Mungu zaidi ya 10000 duniani kote na wala si amini uwepo wa hata mmoja
Huko kutokuamini kwako hutokana na ufahamu na si kwa kukosa ufahamu, sasa tunapozaliwa tunakuwa hatuamini wala kupinga Mungu/miungu kwa sababu hatuna ufahamu wowote kuhusu kinachoitwa Mungu tumekosa ufahamu.
 
Amini nakuambia natambua vile wap u feel najua sometimes u feel quilty lakini hukaza fuvu.

Ya kina kiranga na kina min na atheist wengine humu tuwaachie tu wao wenyewe,

Kama una amini Mungu we endelea kuamini.

Kama huamini endelea kutokuamini.

Ila tu nashauri please usifuate trending na mikumbo ya wanafalsafa ambayo umeikuta uku kwa intaneti
Hata kufuata biblia na Quran tu ni kufuta trending ulizozikuta tu
 
Huko kutokuamini kwako hutokana na ufahamu na si kwa kukosa ufahamu, sasa tunapozaliwa tunakuwa hatuamini wala kupinga Mungu/miungu kwa sababu hatuna ufahamu wowote kuhusu kinachoitwa Mungu tumekosa ufahamu.
Upo swa tu
 
Wala hakuna faraja , watu wanataka kuujua ukweli , ukiona mtu anataka mpaka uthibitisho ujue alisha amani mpaka basi ila kuna vitu kavitilia mashaka akaacha kuamini
Wapo watu wanaamini Mungu au dini na bado vipo vitu ambavyo wanavitilia mashaka au kupinga hivyo vitu, ndio maana huwa nashangaa mtu ametilia mashaka baadhi ya vitu halafu anarukia kuwa atheist kana kwamba atheism ndio kuna majibu ya mashaka yake.

Hata ukipewa uthibitisho wa kuwepo huyo Mungu bado yale mashaka yako yataendelea kuwepo maana huo uthibitisho wa kuwepo Mungu hauondoi hayo mashaka.
 
Wapo watu wanaamini Mungu au dini na bado vipo vitu ambavyo wanavitilia mashaka au kupinga hivyo vitu, ndio maana huwa nashangaa mtu ametilia mashaka baadhi ya vitu halafu anarukia kuwa atheist kana kwamba atheism ndio kuna majibu ya mashaka yake.

Hata ukipewa uthibitisho wa kuwepo huyo Mungu bado yale mashaka yako yataendelea kuwepo maana huo uthibitisho wa kuwepo Mungu hauondoi hayo mashaka.
Kipi kinacho kushangaza hapo sasa ? Kwamba unashangaa mtu kutilia mashaka uwepo wa Mungu halafu asimwamini🤔 ndio maana mda tu nilikuwa kuelewi hoja zako zina lengo gani
 
Mama samia yupo hivyo sina haja ya kuomba uthibitisho wa uwepo wake nitaonekana kichaa dhana ya Mungu ni tata na hasa ukichukulia vitabu vinavyosemakana ni vya kwake ndio kuna mikanganyiko kibao
Hata huku kudai uthibitisho wa kuwepo Mungu unashangaza pia, kwa sababu watu hawaamini kwa sababu wana uthibitisho.
 
Hata huku kudai uthibitisho wa kuwepo Mungu unashangaza pia, kwa sababu watu hawaamini kwa sababu wana uthibitisho.
Wewe upo sawa ,mimi nawahoji wale wana dai uthibitisho upo ,ndio maana sihoji kanisani au misikitini
 
Yeah hata magonjwa , majanga ya asili ya lionekana ni laana za Mungu ila yalipo kuja kujulina sababu zake na njia ya kujinga nayo hiyo sababu ya Mungu ikafa .
Mbona magonjwa na majanga bado yapo na yanahusishwa na Mungu? Hauoni watu wakiomba Mungu awaepushe na magonjwa na mabalaa?

Kukosekana uthibitisho wa kuwepo kitu haiwi uthibitisho wa kutokuwepo hicho kitu, kuna mambo yalishindwa kuthibitika huko nyuma kwa sababu mbalimbali.
 
Mbona magonjwa na majanga bado yapo na yanahusishwa na Mungu? Hauoni watu wakiomba Mungu awaepushe na magonjwa na mabalaa?

Kukosekana uthibitisho wa kuwepo kitu haiwi uthibitisho wa kutokuwepo hicho kitu, kuna mambo yalishindwa kuthibitika huko nyuma kwa sababu mbalimbali.
Sasa haya mahubiri ungeyapeleka tu mahali husika
 
Kipi kinacho kushangaza hapo sasa ? Kwamba unashangaa mtu kutilia mashaka uwepo wa Mungu halafu asimwamini🤔 ndio maana mda tu nilikuwa kuelewi hoja zako zina lengo gani
Kuna kutilia mashaka uwepo wa Mungu na kutilia mashaka masuala yenye kuhusiana ama kuhusishwa na Mungu, ukifuatilia vizuri visa vya atheists huwa naona wengi walikuwa wanatilia mashaka baadhi ya mambo yenye kuhusu ama kuhusishwa na Mungu.
 
Kuna kutilia mashaka uwepo wa Mungu na kutilia mashaka masuala yenye kuhusiana ama kuhusishwa na Mungu, ukifuatilia vizuri visa vya atheists huwa naona wengi walikuwa wanatilia mashaka baadhi ya mambo yenye kuhusu ama kuhusishwa na Mungu.
Ok
 
Nimefanya tafiti yakinifu nimekuja kugundua Mungu hayupo. Ni story tu za kutupa matumaini hewa.

Nimeamua kuwa Atheist. Nitaupa muda nao ukizingua namrudia Yesu.

Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana.

Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana.

Ni maamuz yangu binafsi.
hii conclusion nilifikia baada ya oct 29 naamini Mungu yupo kwa definition ipo nguvu inayonizidi ilionipa uhai ila story za Mungu ni wa haki sijui ana upendo hazipo hayo ni mambo yaliletwa ili kututawala tu
 
hii conclusion nilifikia baada ya oct 29 naamini Mungu yupo kwa definition ipo nguvu inayonizidi ilionipa uhai ila story za Mungu ni wa haki sijui ana upendo hazipo hayo ni mambo yaliletwa ili kututawala tu
Wewe ndio mfano halisi nilichokisema humu kuwa kuna kutilia mashaka uwepo wa Mungu na kutilia mashaka yale yenye kuhusishwa na Mungu, sasa unakuta mtu anaenda kuwa atheist na kupinga uwepo wa Mungu kiujumla kisa tu hakubaliani au ana mashaka na madai ya huo upendo wa Mungu.
 
Back
Top Bottom