Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hajasema anawezza kuwa kitu, amesema anaweza kuwa chochote. Labda mimi ndio sijaeleza vizuri. Yaani yeye anasema anaweza kuwa chochote ukitakacho wewe, sababu kuu, haonekani, mimi sijamuona mpaka leo. Kwa hio hapo ni fikra zako tu, ukifikiria mti unaongea na wewe, kwake sawa, ukifikiria jini anaonea na wewe kwake sawa, ukifikiria mtu anaongea na wewe kwake sawa.

Lakini mbona niliandika mwenyewe anasema yeye ni mtu. Au nimbishie hilo?

Hilo la kila kitu "lina uhalisi": wake sijakuelewa. Huo uhalisi unaupata kwa kuuona, kuusikia, kuusoma au vipi? Uhalisi wako wewe ni upi> Mimi siujui.
Simba.
Mkuu kila jambo lina chanzo chake na ukijua chanzo cha kitu ndio uhalisia wake, mfano mimi mtu niliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu hivyo chanzo changu ni Mungu na uhalisi wangu unatokana na yeye, ili niweze kuishi na kutimiza kusudi lake katika dunia hii ili nipasa niwe na mwili wenye kuendana na nature ya ulimwengu huu, hivyo nikafanyika mwili kisha akanipa nafsi ya uhai( pumzi), ambapo ikawa kiunganishi kati yangu mtu(halisi yangu) na mwili(asili yangu). Hakuna kitu kinachoweza kuwa chochote, halisi ya kitu haibadiliki kamwe.

Hapo kwenye kuwa chochote umenielewesha vyema kwamba mimi ndo naweza kumtafsiri vyovyote hiyo ni sawa kabisa.

Ni vyema ameweka wazi kuwa yeye ni mtu, swali langu je yupo katika dimension ipi, je bado ana nafsi hai? Kama sio, anawezaje kuwasiliana na kiumbe chenye mwili kwa kutumia milango ya fahamu( umesema huwa unaisikia sauti yake na una record), kwa nijuavyo mimi kiumbe kisicho na nafsi hai hutumia either ndoto ama kumtumia mtu mwenye nafsi hai kufikisha ujumbe wake, sasa inawezekanaje kwa Arsis kutumia sauti kukufikishia ujumbe bila kutumia medium yeyote.
 
ndio kwanza nayaona maswali yakobaada kunistua. Ngoja nijibu moja moja.

AlhamduliLlah, sijawahi kufikiria kuhudsu uchumi binafsi toka zizliwe, nimekikuta kila kitu kipo kwetu.

Binafasi kwa sasa nina familia ya wake wawili na watoto sita. Kila mmoja anakaa nyumbani kwake.

Nina fanya biashara ya kutengeza magari, kwa sasa mimi naelekeza tu vijana. Nina duka la spea za magari vifaa vya umeme tu wa magari (electrical system) vipya na used. Vyote ka gari ndogo na kubwa za aina yote. kama sina spea, nakuagizia faster kutoka nje ya Tanzania. Uzoefu wa miaka mingi, kuanzia ma control bocx mpaka clips za umeme wa magari. Duka langu limezoeleka sana na wanunuzi wangu wakubwa ni mafundi umeme wa magari, hapo tabata.

Similiki gari, sijawahi kumiliki lakini ni zangu, kwa maana natumia za mama, baba na wake zangu. Sijaona umuhimu wa kumiliki gari langu binafsi.

Sina mali sina akiba benki, sijawahi kuhitaji. Mali za shamba la babu yangu, zinazomuhusu babangu mimi nnazishughulikia lakini ni zake hazihiusu, isipokua mwenyewe ananipa safdaka yake apendavyo kwa kumfanyia kazi zake.

Huwezi kuamini, sijawahi kununua chakula nyumba zangu zote mbili. Chakula mpaka leo kinatoka kwa wazazi wangu na uzee wangu. Nikinunua kitu labda ni zawadi nikisafiri. Nashukuru Mungu nimepata wazazi wema kabisa. Mwenyezi Mungu awaweke. Mimi na babangu mzazi ukituona utafikiri ni mtu na mdogo wake, mama yangu ndio kabisa, hata enzi za babu nje nje, yeye ndio nilikua naenda nae kama partner wangu. Sasa basi tena mambo hayo. Nimetubu.

Natumai nimekujibu kuhusu uchumi. Kama kuna lingine, uliza tu.
Simba.
Una kitu fulani hivi cha ziada 👏🏾
 
Arsis vile vijiti vya dawa unaloweka ndani ya wiki halafu unapaka na kunywa vinapatikana/unavyo kwasasa?
na kama hutojali hiyo dawa ya ngozi inaitwaje au inapatikana wapi?
Vijiti hakuna hata kimoja, miaka mingi sana sijatumia. Nilifundisha namna zingine na Arsis.

Dawa ile kuna mtu mimi nilinunua na jana sijui juzi imewekwa namba hapa kwenye uzi na JF ipo namba ipo na uzi zake nyingi tu, JF inaitwa Zainab Clay. Tafuta tu.
Simba.
 
Asante mkuu
kuna maswali niliuliza kuhusu utatu mtakatifu hapa sijapata aliyejibu hata mmoja yaani wakristo wanapenda mambo mepesi mepesi tu ukienda deep kidogo tu juu ya imani yao wanakwepa.
ety wakristo Mbona sisi waislamu mnatusimanga tunafuga majini lakini tupo hapa na tunawajibu tu, Muda mwingine Arsis anaongea mambo yanyopingana na quran lakini tunamsikiliza huenda katika maneno yake ukapata faida.
Arsis; Usilaumu na usilinganishe Wakristo na Waislam, linganisha Ukristo na Uislam. Wewe fundisha elimu yako, wao wafundishe elimu yao, wote tupate elimu.

Msitafute mshindi. Akishinda mkristo muislam tabatizwa, watasema Aleluya, akishinda Muislam Mkristo atashahadia, watasema Allahu Akbar.

Mbona nyinyi Waislam mna kitabu kizuri sana, kinafundisha kila kitu lakini mnasema Adam mtu wa kwanza. Wapi imeandikwa? Mnasema Adam ana mke anaitwa Hawa, wapi imeandikwa? Mnasema "Wakristo" wapi imeandikwa?

Nataka majibu ya elimu ya vitabu. Kila mtu aone, na yule sheikh anaongea sauti yake inaletwa na yeye ajibu pia.

Waislam mnaharibu Qur'an. Niseme zaidi?
Simba.
 
Safi, basi weka kipind au uanzishe uzi mwingine ili usiingiliane na huu uwe unaelezea Dawa na inatibu nini, ili walau huyo kiumbe wa fimbo watu wa jF wafaidike nae,
unaeza elezea ugonjwa huu na huu Dawa yake ni hii hii, au ukichukua hiki na hiki ukafanya hivi kinatibu hivi hapo kwa week mpaka mwezi utakua umefanya kazi kubwa sana na ndipo tutaona ufanisi na hakika wa habari zako
Arsis; Kipindi cha nini? Unapata attention hapa 24 hours unataka kipindi? Why?
Simba.
 
Bwana mkubwa, katika posti zilizopita Arsis aligusia time travelling, naomba atupe elimu kuhusu time traveling, pia alitaka Kuna miji kama Rhapta na mji mwengine upo mtwara ilizama je, kwanini miji hiyo ilizama?
 
Hapa unamaanisha ulikuwa unakula/unamtomber Mama yako kabla ya kutubu?
Arsis; Kwani tukiongea kiheshima kuna tatizo?
Kwani hio binadam ni ajabu kwao? Mama yake yake yeye sio mama yako wewe. kwani wewe umetoka wapi?
Wacheni kua na fikira mbaya mbaya, tufundishane biology hapa tuone wewe umetoka wapi? au hujui?
Simba.
 
Bwana mkubwa, katika posti zilizopita Arsis aligusia time travelling, naomba atupe elimu kuhusu time traveling, pia alitaka Kuna miji kama Rhapta na mji mwengine upo mtwara ilizama je, kwanini miji hiyo ilizama?
Arsis" Raptha ipo Kilwa. Kila mahali duniani ipo miji chini ya bahari. Inaangamizwa, nenda Lamu, unaona mji upo chini ya bahari, maji meupe kabisa kila siku, hata vumbi hakuna. Uliza jirani waytu wa Lamu kwanini? Uliza kwanini wengi wanakimbia Lamu mpaka leo, wanaitwa wagunya, wamejaa Mombasa, Tanza, Pemba, Ungja, Mwanza Dodoma, Somalia. Dar. why?

Nyinyi mnafikiri mmeumbwa watu wa kwanza? Ndio mnadanganyana sijui adam miaka 7000 nyuma, you are all fools to believe that. Especially Muslims are the biggest fools of all. Mna Qur'an kila mahali, hamuijui badala ya kusoma Qur'an mkaifundisha mnafundisha biblia.
Simba.
 
Dah hatari Sana, kwa hiyo huwez kufafanua kwa faida ya wengi.
Sisi tunawaona kama vile wanafaidi sana maisha na kila mtu anatamani ingekuwa yeye, nakwambia watu hawa huwa wanatamani kuwa huru kama sisi lakini hawawezi. Ni neema ya Mungu tu ndio itawatoa huko na si vinginevyo. Shetani kweli ni baba wa uongo.
 
Asante mkuu
kuna maswali niliuliza kuhusu utatu mtakatifu hapa sijapayata aliyejibu hata mmoja yaani wakristo wanapenda mambo mepesi mepesi tu ukienda deep kidogo tu juu ya imani yao wanakwepa.
ety wakristo Mbona sisi waislamu mnatusimanga tunafuga majini lakini tupo hapa na tunawajibu tu, Muda mwingine Arsis anaongea mambo yanyopingana na quran lakini tunamsikiliza huenda katika maneno yake ukapata faida.
Yale hayajibiki,kwasababu ukijibu hakuna utatu tena mtakatifu.

Inahitaji imani ya hali ya juu sana kuamini mambo ambayo hayaingii akilini
 
Hii ni Part One Bwana Simba una majibu yako na Maswali Etugrul Bey ikijibiwa nishtue.
Arsis: Huyo sheikh wako hana elimu nzuri hata kidogo, mwambie jana nimejibu arsh ni nini hajaelewa? Hao watumishi aliwaweka yeye?
Nimemuuliza Qareen nin?i hakujibu, nikamwambia asome Qur'an.

Mwambie hakujua na kutoa jibu la jana, kuhusu Arsh atajua kua watumishi ni Qareen?

Hana elimu ya maana huyo, ana elimu ya kupogtisha watu tu. Hao ndio Waislam wanadanganyana kwa kufoka foka, sauti yake sio ya kielimu, utafikiri ana makohozi saa zote kinywani. Hana hata ladha ya kusikilizw. Wewe mama huyo elimu yake ya Qur'an ni ndogo sana.

Hio sauti yake unajua kwanini iko hivyo?
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom