Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kama unazungumzia waliopakwa mafuta, kweli waweza kuwa wengi, ila Kristo ni mmoja
Nafurahi umekiri Kristo wapo wengi. Hao wengi kwanini waliitwa Kristo?

Hili suala kwa mtazamo wangu hata Waislam wata vimba, misimamo yao kuhusu Ksristo mimi naiona inaenda kinyume na Qur'an.
Simba.
 
Nafurahi umekiri Kristo wapo wengi. Hao wengi kwanini waliitwa Kristo?

Hili suala kwa mtazamo wangu hata Waislam wata vimba, misimamo yao kuhusu Ksristo mimi naiona inaenda kinyume na Qur'an.
Simba.
Si unajua hata miungu iko mingi? Ila kuna Mungu. Nyie mnamwita Allah. Hivi kuna allah pia? Yani vi allah vidogo vidogo
 
Si unajua hata miungu iko mingi? Ila kuna Mungu. Nyie mnamwita Allah. Hivi kuna allah pia? Yani vi allah vidogo vidogo
Hivyo unavyosema wewe vinaitwa iIlah Kiarabu siyo Allah. Allah ni mmoja tu.

Umeulizwa juu hapo kuhusu Kristo, nimeona umekubali kuwa wapo wengi.

Usibadili nagoli. Arsis kakuminya kabari ya koo kiulaini kabisa. Naufatilia mjadala kwa karibu sana. Tena nimeona juu hapo alikuonya.
 
Uzi ulikuwa unashuka vizuri ila hapa umezidisha

Kagera hadi Mtwara anakubeba pamoja na gari lako kwa dakika 3, 🤣🤣🤣,

hakuna haja ya kuweka mafuta kwenye gari,..

hii ngumu kumeza, inakataa kabisa..

nasoma uzi kama vile naangalia katuni

View attachment 3072158
Inawezekana ndugu yangu Mimi pia nilisumuliwa ni suala la elimu zaidi, ukweli hupo ndani ya elimu lakini uhalisia ni kile tunachokiona kwa macho ya kawaida, tofautisha ukweli na uhalisia kwa kutafuta elimu
 
Hivyo unavyosema wewe vinaitwa iIlah Kiarabu siyo Allah. Allah ni mmoja tu.

Umeulizwa juu hapo kuhusu Kristo, nimeona umekubali kuwa wapo wengi.

Usibadili nagoli. Arsis kajuminyw kabari ya koo kiulaini kabisa. Naufatilia mjadala kwa karibu sana. Tena nimeona juu hapo alikuonya.
Nimesema hivi, wapakwa mafuta yawezekana wapo wengi. Wapo manabii, wapo mitume, wapo wafalme pia. Wote hao hawakutambuliwa/shwa kama Kristo. Kristo Yesu ni mpakwa mafuta wa Bwana. Mbona kabla ya hao waliotangulia kupakwa mafuta hawakuwa na wafuasi? Wapo kina Daudi, Cyrus, Haruni, n.k. Ni Yesu pekee kupitia ujio wake na mafundisho yake leo hii ulimwengu umemjua Mungu wa kweli kupitia yeye.


NB: isijekuwa tukaleta mtafaruku wa kimtazamo hapa. Tubaki na mitazamo yetu tofauti mradi tunajua ni nani tunayemwabudu. Naendelea kusoma uzi. Naendelea pia kujifunza mengi. Kina Kibuki ndama mulaki. Kina Arsis na Bakora. Dunia isiyoonekana, n.k. Arsis tuendelee
 
Ha! Hivi hujanisoma humu kua pale ndio lango la kwenda dunia zingine? Na pale jirani ndio kituo cha kukutana na Arsis?

Mule Ikulu kuna mambo makubwa sana kwa kujulisha tu, Sina ujuzi napo zaidi wala siruhusiwi kuuliz ya mule ndani, Naogopa.
Inaonyesha haupendi madaraka mkuu ila madaraka yanakupenda.
 
Sio kisu. Sema jambia 😁. Wanakutenga kisha wanakuuliza kama we wa Mtume au wa Kristo. Jihad
Jambia zinapaka sigi, habari mpya hii kwangu.

Mimi wa mitume yote pamoja na Masih Issa akiwemo, ambae wengi wanatafsiri kristo, unafahamu kua Kristo inatoka kwenye neno la Kigiriki?

Tafsiri yangu mimi ya neno Masih au Kristo ni tofauti kidogo, yeyote ataependa kuijua anambie tu.

Jihad kwa Kiswahili ni juhudi, wewe hufanyi juhudi unapokata siagi kwa jambia?
Simba.
 
Mkuu Samahan I! Nina changamoto kubwa kulingana na namna ulivyoeleza na majibu ya arsis nimekua interested sana huenda nkapata nusra kupitia kwenu na sheikh bakora

Nina changamoto ya jini ambaye hunifanyisha zinaa ndotoni tangu nikiwa secondary mpaka hivi sasa ingawa nmebahatika kuoa na nina watoto lakini nimewahi kuota naambiwa napendelea familia yangu wakati nina mke na mtoto na mwanamke nisiyemjua ndoton akanionesha na mtoto wa kike na tangu kipindi hicho nmekuwa nasumbuliwa na upingufu wa nguvu za kiume Pamoja na kufanya sana ibada na kufanyiwa ruqya lakini bado hali ipo.

Siku 1 nikaoteshwa kwenda kwa mganga wa kupunga majini kuwa atamaliza tatizo langu nikaenda kweli kwa huyo mganga ajabu kufika anadai ni jini mzuri wa utajir anafanya vitimbi ili nijue yupo na nikubali kula chano!! Nilipouliza chano ni nini akasema kazuiwa asiseme katu ila ninunue mbuzi ili afanye kazi hoyo

Kulingana na maelezo yako ni kuwa chano hufanywa na majini wa kichawi naweza kusadiki hilo kulingana na vitimbi vyake kuanzia kukubbania katika rizki,mahusiano na mambo mengine.

Ombi nimefanyiwa ruqya mara nyingi tu bila mafanikio na yule mganga wa kishirikina anasema siwezi mtoa jini huyo kwakua kanipenda,sio mchafu na ana nguvu kubwa kiasi akitaka utaona kama jini mahaba au umerogwa na yeye adionekane unaweza kunisaidia vipi kwa sheikh bakora kukabiliana nae ili atoke niwe salama mimi na familia yangu kwa vitimbi vyake kwa maana naambiwa atanipa pete nyekundu baada ya chano ingaww sijui maagano yake.
Ndugu wewe ni wa Tanga?
 
Jambia zinapaka sigi, habari mpya hii kwangu.

Mimi wa mitume yote pamoja na Masih Issa akiwemo, ambae wengi wanatafsiri kristo, unafahamu kua Kristo inatoka kwenye neno la Kigiriki?

Tafsiri yangu mimi ya neno Masih au Kristo ni tofauti kidogo, yeyote ataependa kuijua anambie tu.

Jihad kwa Kiswahili ni juhudi, wewe hufanyi juhudi unapokata siagi kwa jambia?
Simba.
Hiyo juhudi ilikuwa si mchezo na bado si lelemama. Hii IS inaendeleza huu uhuni in the name of Allah.

Nafahamu na nimepitia rejea kuhusu Masihi na Kristo. Nachojua hakuna jina lililotoka hewani, maana Adam alipewa jukumu la kuwapa viumbe majina. Hivyo.binadamu alitoa majina kwa vitu kulingana na mazingira yake. Hivyo sitashangaa kwa Christos kuwa ni neno la Kigiriki. Ni title. Walikuwepo waliotangulia kupakwa mafuta ila ni Yesu pekee ndiye aliyelibeba kwa upekee jina (au cheo) la Kristo. Nitajie labda ni nani mwingine aliyebeba jina hilo katika uwepo wao. Kwamba alikuwepo Kristo Haruni, akaja Kristo Daudi, hadi akaja Kristo Yesu. Hapo utakuwa nami umenielewesha maana naweza kuwa nisijue hayo
 
Hiyo juhudi ilikuwa si mchezo na bado si lelemama. Hii IS inaendeleza huu uhuni in the name of Allah.

Nafahamu na nimepitia rejea kuhusu Masihi na Kristo. Nachojua hakuna jina lililotoka hewani, maana Adam alipewa jukumu la kuwapa viumbe majina. Hivyo.binadamu alitoa majina kwa vitu kulingana na mazingira yake. Hivyo sitashangaa kwa Christos kuwa ni neno la Kigiriki. Ni title. Walikuwepo waliotangulia kupakwa mafuta ila ni Yesu pekee ndiye aliyelibeba kwa upekee jina (au cheo) la Kristo. Nitajie labda ni nani mwingine aliyebeba jina hilo katika uwepo wao. Kwamba alikuwepo Kristo Haruni, akaja Kristo Daudi, hadi akaja Kristo Yesu. Hapo utakuwa nami umenielewesha maana naweza kuwa nisijue hayo
Mie mbona nilimaliza hilo ulipokiri kua wapo wengi, mengine hayo utayosema mimi ninachota elimu, sipo hapa kuwachambau wala sina muda wa kuwachambua huyu alifanya nini yule alifanya nini, mimi hawapo wote hao kwenye Qur'an, yupo mmoja Masih Isa bin Mariam ambae naamini ndio nyinyi mnawita Yesu Kristo.

Isipokua hujanijibu kwa nini walipewa jina au cheo hicho cha Kristo?
Simba.
 
Mie mbona nilimaliza hilo ulipokiri kua wapo wengi, mengine hayo utayosema mimi ninachota elimu, sipo hapa kuwachambau wala sina muda wa kuwachambua huyu alifanya nini yule alifanya nini, mimi hawapo wote hao kwenye Qur'an, yupo mmoja Masih Isa bin Mariam ambae naamini ndio nyinyi mnawita Yessu Kristo.

Isipokua hujanijibu kwa nini walipewa jina au cheo hicho cha Kristo?
Simba.
Kristos kwa maana nyingine ni mpakwa mafuta wa Bwana. Pamoja na kwamba waliotangulia walipewa cheo cha Messiah, bado hakikuwapa hadhi ya Yesu. Kama ambayo nilisema tena kuwa hata Mungu anajua kuna miungu. Hivyo kuwepo Kristos wengine sio hoja sana
 
Kristos kwa maana nyingine ni mpakwa mafuta wa Bwana. Pamoja na kwamba waliotangulia walipewa cheo cha Messiah, bado hakikuwapa hadhi ya Yesu. Kama ambayo nilisema tena kuwa hata Mungu anajua kuna miungu. Hivyo kuwepo Kristos wengine sio hoja sana
Kwa hio wote walikua "wapakwa mafuta wa bwana"?

Inamaanisha nini hio kupakwa mafuta?

Unajua nakuuliza hivyo hata sisi Tanga tuna kusingwa kwa mafuta linaitwa singo.

Najaribu kufikiri tu, huu utamaduni tunautoa wapi?
Simba.
 
Kristos kwa maana nyingine ni mpakwa mafuta wa Bwana. Pamoja na kwamba waliotangulia walipewa cheo cha Messiah, bado hakikuwapa hadhi ya Yesu. Kama ambayo nilisema tena kuwa hata Mungu anajua kuna miungu. Hivyo kuwepo Kristos wengine sio hoja sana
Hio point yako ya "miungu wengine" nimekuelewa, kwa hio Mungu anajua kuna miungu wengine kawaumba yeye au watu tu wamejiamulia kua huyu mungu, yule sio mungu?

Maulamaa wa Kiislam wanatufundisha kua wenye Qur'an tunajifunza kua Firauni wa wakati wa Musa alisema yeye mungu.
Simba.
 
Mwami Atale ndugu yangu kuna kitu nataka kufahamu kimenipa hamu kidogo,umesema huwa unapenda kuomba dua na kuwa na mazungumzo na Mungu kwenye milima huko,kwanza sishangai kuwa huenda kwenye milima.kuna siri fulani,maana hata mussa aliongea na Allah mlima sinai,mtume alikuwa anashinda sana jabar hila huko mlimani wakati anatafuta muongozo toka kwa Allah

Umesema kuna siri nyingi au manufaa ya kufanya maombi huko,kama hutojali waeza shea na sisi baadhi ya mambo
Jabal Nour lipo Makkah, huko juu juu ya hilo jabali ndio kuna pango linaitwa Hira.

Watu wanaofanya tahajudi (meditation) hependelea sehemu za utulivu na ukimya.

Hio hata sisi tunashauriwa kufanya tahajud usiku, wakati kupo kimyaaa.
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom