Mwami Atale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 466
- 1,711
Ni kweli lakini usisahau pia kuna Siri ambazo sio za kila mtu...... Kuna vitu watu huwa hawaambiwi mpk waulizeNa atashangaa zaidi,Allah anasema katika qur'an yeye yupo karibu nasi kuliko hata sisi tulivyo karibu na mshipa wetu wa shingo,sasa ebu jiulize mshipa wa shingo upo mwilini mwako lkn Mungu yupo karibu zaidi kuliko huo mshipa
Nimepata jibu moja,sisi viumbe tumepuliziwa roho itakayo kwake,kwahiyo roho ambayo ipo ndani yetu hakika ndio ukaribu wetu na mungu zaidi.
Lakini kwa kukazia zaidi,iwapo bwana simba akitaka kuongea na arsis huwa anaongea nae kwa mawazo tu na kumbuka huyo ni kiumbe wa Mungu,je vp kuhusu muumba mwenyewe?
Kuna mazungumzo ya dharula na mazungumzo rasmi... Simba akiwa ndani huzungumza na Arsis kwa dharula lkn akiwa kwenye mlango wa kiroho huzungumza mazungumzo rasmi🤝🤝
Swali Kama Arsis anaweza ongea popote na akawa comfortable kulikuwa na ulazima gani kumwambia awashe gar kwenda baharini???
Kwahyo hata Allah yupo kila sehemu na anasikia na kujibu popote lakini Kuna maeneo ukienda kunakuwa na mazungumzo rasmi 🤝🤝
Logic yangu ni hiyo